Je uliwahi kufumaniwa na mke wako hata meseji(za mapenzi) kwenye simu Yako?

Mi siwezi kukukomesha sababu huwezi kuwa na mwanamke aina yangu tunaotumia akili za bibi zetu Eva na Delilah, komaa na vilaza wenzio
Wewe ndo kilaza zaidi yangu. Maana huwezi fatilia Uzi wa kilaza na unajinasibu wazi Mimi sio wa aina Yako. Maajabu unafatilia Uzi wa kilaza umechelewa kulala na umeamkaje nao Uzi wa kilaza Mimi badala ya kuwa na mmeo upo na Mimi twende kazi kilaza mwenzangu
 
Hebu na hili la gari lisemee kidogo naona nalo lina jambo la kukomaa nalo
 
Kwa akili hizi we kweli kilaza
 
Kumbe ndio maana una jeuri yote hiyo mkeo ni mama anaesubiri uweke mkwanja mezani so inabidi tu akubaliane na lolote maana hana namna ingekuwa na kipato chake mkuu ungepata majibu. Hingera sana kwa kumfanya mkeo inferior hapo umewin sana
Eee na Kwa hili mkuu mwanamke wangu lazima awe na ni mama wa nyumbani.

Analisha kuku chotara na Hela yake sigusi na ana awasaidizi wa2 kwahiyo kuhusu Hela anazo tu kushika m5+ baada ya miezi 4 nikawaida na ana machine ya kusaga karanga nk
 

Labda uamue kuwa single, kwa haya ninayoyaona kwa mwanaume wa kibongo ukijumuisha na kaka na baba zangu, ni asilimia ndogo au hakuna kabisa mwanaume asiyechepuka.
Wanawake wanaamua wakubali yaishe maana hawana uhakika watapata asiyechepuka huko mbeleni.
 
Umeacha kuchepuka au unaendelea tajiri?
Lile tukio lilinipa mafunzo mengi sana. Kwanza nilijiona mjinga wa kiwango Cha juu kuchepuka. Shida nyingine Kwa kutokua na uzoefu kwenye kuchepuka, kukamatika ilikua rahisi sana.

Pili, nikaona jinsi Gani namuumiza mwenzangu wangu Kwa kuchepuka. Ikafika mahali naogopa kuchepuka sio Kwa kuogopa kukamatwa au kugundulika, nikawa sitaki kabisa kumuumiza mwenzangu hata asipojua au kugundulika.

Machungu aliyokua nayo yalinifanya nichukue kabisa kuchepuka....

Back to your question...au basi
 
Umeacha kuchepuka tajiri?
 
Mkuu uliupiga mwingi ,mzee nae akajua ila akakupa na njia sahihi ya kupitia🙌
 
Namimi Huwa nashangaa kabisa mtu kudili na simu ya mke wake Mimi Huwa ni emergency mno Tena muda mchache mno kushika simu yake

Nakumbuka mwanzoni ndo tumefunga ndoa akitongwa ananimbia nikampiga STOP kubwa.

Nikamwambia najua kutongozwa lazima utongozwe Hivi ni wajibu wako kujitambua kama mke wa mtu Mimi Sina muda wa kudili na simu Yako na kuku winda huo muda Sina jirinde mwenyew na kufata maagizo yangu

Siku ukikengeuka jua hakutakuwa na lugha nyingine utakayoniwmbia nikakuelewa kabisa.

Hii ikaisha hakuwahi nambia Tena labda itokee usumbufu Sasa kina midume ukiambiwa nimeolewa huwa haielew kwahiyo ni wajibu wangu ku block no maana yeye kwenye simu anajua vichache tu.
 
Ni ujinga kukagua simu ya mtu. Hiyo sio account ya pamoja kusema kila mtu ana haki nayo.
 
Ukamuonyesha umwamba kabisa na kukana juu kama hujui kitu vile
Kama angekuwa na simu mkononi kwamba huyu ni nani Yako nakwann anitukane.

Hapo ningejitetea Kiaina na Bado nisingekubali vilevile kuwa ni mchepuko. Shida yake akijua nikiona alivyo nitarudi kuuliza Kwa undani na pia nikiona msg ndo kabisa nianguke miguuni mwake nitubu.

Ikawa tofauti na siwezi badirika naona wananishambulia kuliko hata mzee baba yangu 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…