FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Hongera kwa leba!.ila du si mchezo hadi wenzio kuleta barua zao uwaandikie.ubuyu wote ulikiwa nao kabisaSecondary; ni vingi tu vilivyofanya nijulikane shule nzima hata shule jirani lakini kubwa ilikuwa mwandiko mzuri shule nzima....ilifikia hatua watoto wa kishua wananiletea barua za kwenda kwa maboyfriend wao niwachongee mwandiko( ila kwa sasa navyoandika bata ana nafuu)
Kingine ni muonekano ukibebwa na guu kweli, shule ilikuwa ni day ...muda wa kutoka shule baadhi ya watu waume kwa wake walikuwa wakitoka nje kuniona tu ( ule uzuri uliisha baada ya mahudhurio ya leba)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi ya utotoni yana ladha ambayo huwezi ipata tena hata iweje.Pole kwa kupoteza washindani mkuu.
Mimi nimepindua meza kuanzia std 5 baada ya shuleni kuhamia mchuchu nikawa nimejikabidhi, kwa hiyo nikaanza kusoma ili niwe namfundisha mimi tu. Nikashangaa kumbe vitu ni virahisi.
Ikawa kila kitu naulizwa mimi, mpaka darasani wanashangaa huyu kilaza ndo kawa mkali hivi.
Nakumbuka kata yetu ilikuwa na shule 5 mock ya kwanza nikawafunika, yule mtoto ananikumbatia mpaka nikaona aibu. Jina likabandikwa shule zote wale top 10.
Mapenzi ya utotoni yana ladha ambayo huwezi ipata tena hata iweje.
Mimi rekodi yangu hadi leo c Shule TU nadhani hata Tz na dunia kwa ujumla haijavunjwa
kwanza KABISA
plak yangu ya kwanza kufanya ilikuwa siku ya mtihan wa taifa
Hapo ndo nikajua
ma tritation,ma qualitative,ma elastic,ma equilibrium ma fudi test etc
hata Sijui nilifanyaje fanyaje matokeo yakaja nikiwa na A flat PCB
ilikuwa kumaliza mwaka MZIMA bila kwenda Shule ilikuwa c ajabu.yaani mpaka wanafunzi wakawa wanadhani me mgeni kila nikienda
Uhuni na Utukutu,Hapo sisemi nisije onekana najipaisha
UONGO hahahahhah hiyo Hadi leo hii HAKUNA aliyevunjaga
Usalama wa Taifa fake
hahaha hapo nilikuwa naendaga Hadi ofisini kwa Mwl mkuu napiga chai fulesh bila shida
Niliwahi hitishaga maandamano hiyo primary
uli kiki Sana Hadi vyombo vya nje viliuripoti
O Level niliwekaga mgomo
Hahahahah Afisa elimu aliomba poo
Ni mengi
Chuo Nikisema watanijua humu
Sent using Jamii Forums mobile app
2010Umemaliza mwaka gani?
Humu kila mtu alikua namba moja (john kisomo)?
Ina mana wale tuliokuwa tunakamata mkia kama mimi humu hawamo?
Kila mtu kaenda chuo?wa la saba na form four hapa hawapo ehee??
Wale wa di nne za kuunga unga hawapo???
Wale wa ziro kama mimi hawapo???
Wale wa veta na setifiketi hawapo????
Duuuh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya darasa sio elimu ya maisha.huku mtaani kwenye utafutaji tunawaburuza tu.Mkuu wewe ni jasiri kupata ziro si kitu cha mchezo
Kwa watoto wa geti kali, tulikuwa tunawagonga kwa bao la mkono. Akifanikiwa kukupa chupi yake na sidira kwisha kaziHaahahahaha ndio nn kunichekesha hivyo,nlikuwa nasoma na kaka zangu wangekupa kipigo balaa, maana hata ukinisimamisha tu wakikuona basi kazi unayo
Acha kabisa😀Hahaha umenikumbusha mbali sana aisee!!!They are held us like a cattle where shall I be now tonight? ?Where shall I be this time tomorrow? ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lili disappear😅Wacha Wee!
Lazima nikutafute... Huenda hilo wowowo lako likanifaaa hata tu kwa kula kwa macho!
Elimu ya darasa sio elimu ya maisha.huku mtaani kwenye utafutaji tunawaburuza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha primary kulikuwa na kitabu cha kiswahili chenye story ya mwanafunzi mchafu aliyeitwa cholo. Sasa kuna jamaa mmoja classmate siku yanukaguzi wa usafi alikuwa mchafu balaa. mwalimu akamwita mbele kisha akampa jina la cholo. Hadi leo tumamwitaga cholo.
Hahahaha
Dahh ww bado kijana mdogo aise. Hivi kumbe nimekula chumvi ee mwaka 2011 nimeshamaliza chuo.KITU kilichonipa umaarufu O-LEVEL nilipendwa na mtoto mkali kuliko wote shule nzima (baba yake alikua mhindi mama yake muarabu), walimu, mabishoo, ma genius wa shule wote walimuimbisha dogo lakini dogo aligoma akawa ananielewa mimi tu,, (Pitia ID yangu kuna uzi nimesimulia kisa hiki unaitwa "KOSA LANGU")
Kilichonipa umaarufu baada ya kupendwa na uyu mtoto mkali, ni kwamba nilikua domo zege, dogo alijilengesha lakini wapi mzee sina habari, jamaa yangu alikua anakula rafiki yake, wote wanajadili pamoja na demu mwenyewe jinsi gani niwe na mtoto lakini wapi, mzee sina habari kichwani mwangu nilikua naiwaza man u, mpira na kutumikia altare kupiga chetezo.. .
Sasa siku moja katika harakati za hapa na pale skuli natembea mara paah mtoto uyu hapa anakuja mbele yangu, mimi ni nani bwana mpaka nikutane nae, mzee uyo nikakunja njia kwenda ofisi ya waalimu ile kuingia tu ndani nikakuta kupo kimyaa kumbe kulikua na kikao, ticha mmoja akaniuliza eenh vipi? mi lile wenge nikasema mwalimu ABC kanituma chaki kumbe lile wenge yule ticha alikuepo mle ofisini sikumuona akasema we dogo mi si nipo hapa.
Basi ticha alokua anafukuzia yule dg na anajua mi ndio kikwazo akadakia show wazee fimbo nilizochezea pale kama ingekua ni mtaji basi leo hii ningekua milionea, nilivopigwa nikajua kesi imeisha kumbe wapi bwana kesho yake parade yule ticha akaja kaniita kama wewe ni kijana upo kidato cha nne na kuna demu unamuogopa yupo kidato cha kwanza njoo hapa mbele utoe morning speech, mzee nikakaza wapi ticha kanifuata kanishika mkono mpaka pale mbele akani dis kinoma afu akanipachika jina la Domo gundi, mwisho akanipa adhabu ya kutoa morning speech wiki nzima, na viranja walivokua wananiita Welcome domo gundi ilifanya niwe maarufu sana shule nzima
Ilikua mwaka 2010 au 11 kitu kama hicho, Leo hii uyo dada ni best yangu sana sema kila tuki chat ananitania sana, mwisho wa siku tumebaki kua marafiki wakubwa na mimi niliishia kua mpenzi mtazamaji lakini maarufu.
Sent using Jamii Forums mobile app