Ok kama hutojal naomba nije pmHahahhahahah hahah na uzee wote huu watalinda nini sasa
Au sio kijanawa iyunga boys !#Primary : 1,:Football and I was very smart .
#O level :Sifa za primary ndo niliingia nazo O level .
#Advanced level :Football only .
#Chuo ...Every body minds his/her own f**ng business .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikua na upumbavu uliopitiliza mzee baba [emoji28][emoji28]kuna wakati choo kilijaa pale shule, wanafunzi walizamika kujisadia wajuapo
kama kawaida watu wakufurahisha makundi, kuna siku nilipoona walimu wanaenda porini nikaropoka wanaenda kujisaidia... kilichonipata kilinipa umaarufu sana...
mi nakumbuka shuleni nilikuwa bright mno alafu mi ndo nilikuwa navaa viatu peke yangu 1992 PRIMARY. hahaha dah, sasa pia nilikuwa mtu wa kusikiliza sana redio hasa dunia yetu leo mchana na DW, BBC SWAHILI NA SAUTI YA AMERIKA, habari zote muhimu wanafunzi walizipata kwangu hata baadhi ya walimu kwenye mikutano mbali mbali nikawa naitwa kuelezea kwa fact nini kinaendelea Huko duniani,
Nilipata umaarufu sana nilipoanza kuchambua masuala ya vita ya kimataifa YEMEN, YUGOSLAVIA, na wengine wengi,
Mzee wangu alikuwa na library moja balaa magazeti yoote yapo, hata yale ya Scientific america na National Geographic yanayotoka kila mwaka alikuwa nayo ya mwaka 1961 hadi 1998 humo kumesheheni nondo, mambo ya sayansi , geography , magalaxy ma big bang, na kila kitu niliyasoma na kuwaeleza wengine kama story,
Nilikuwa najua sana hesabu hiyo mpaka chuo kikuu nilikuwa kipanga mnoooo,
ISHU MOJA AMBAYO INANISHANGAZA ILIKUWA NIKIANZISHA KUONGELEA JAMBO MPAKA WATU WOTE WAKUSANYIKE KUNISIKILIZA MBAYA ZAID NA NINAO WAZIDI UMRI, NIKAPATA JINA LA ENCYCLOPEDIA BRITANNICA
Hivi bado una uzur napendaga sana wadada wanaoujua kiswahili !Nilikuwa mkali wa Kiswahili balaa, ikatokea kupendwa na walimu woteeee, kuna wengine wakawaga wananipa mitihani nasahihisha, na kingine nilikuwa kadogo kadogo halafu kazuriiiiiiii na kasafi hhahaha aiseee ukubwani taabu sana stress zimefanya kasura kangu kapotee ovyo ovyo tu mfyuuuuu
Baba swalehe .
Mi nilikua kilaza hadi jina langu nilikua nasahaumi nakumbuka shuleni nilikuwa bright mno alafu mi ndo nilikuwa navaa viatu peke yangu 1992 PRIMARY. hahaha dah, sasa pia nilikuwa mtu wa kusikiliza sana redio hasa dunia yetu leo mchana na DW, BBC SWAHILI NA SAUTI YA AMERIKA, habari zote muhimu wanafunzi walizipata kwangu hata baadhi ya walimu kwenye mikutano mbali mbali nikawa naitwa kuelezea kwa fact nini kinaendelea Huko duniani,
Nilipata umaarufu sana nilipoanza kuchambua masuala ya vita ya kimataifa YEMEN, YUGOSLAVIA, na wengine wengi,
Mzee wangu alikuwa na library moja balaa magazeti yoote yapo, hata yale ya Scientific america na National Geographic yanayotoka kila mwaka alikuwa nayo ya mwaka 1961 hadi 1998 humo kumesheheni nondo, mambo ya sayansi , geography , magalaxy ma big bang, na kila kitu niliyasoma na kuwaeleza wengine kama story,
Nilikuwa najua sana hesabu hiyo mpaka chuo kikuu nilikuwa kipanga mnoooo,
ISHU MOJA AMBAYO INANISHANGAZA ILIKUWA NIKIANZISHA KUONGELEA JAMBO MPAKA WATU WOTE WAKUSANYIKE KUNISIKILIZA MBAYA ZAID NA NINAO WAZIDI UMRI, NIKAPATA JINA LA ENCYCLOPEDIA BRITANNICA
Umedanganya hapa, 1992 hakukuwa na BBC SWAHILI,DW wala SAUTI YA AMERIKA.
Fresh mkuu , zaman sana nlipiga tech that place but it was njuka only sikua interested na yale machumaBaba swalehe .
Baba fulani mjinga mjinga[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
Niaje mkuu .??
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaUmedanganya hapa, 1992 hakukuwa na BBC SWAHILI,DW wala SAUTI YA AMERIKA.
Kuna watu humu baba zetu mwaka huo mimi nazaliwa aiseeAre you serious?
Wakati wa vita ya Ghuba ya Uajemi (Bush Mkubwa vs Sadam 1991) tulikuwa tunasikiliza kupitia DW.
Kuna watu humu baba zetu mwaka huo mimi nazaliwa aisee
shikamoo babaMwaka huo ilikuwa kila siku jioni lazima msikilize BBC Swahili, DW, tulikuwa tunasikiliza kupitia short wave frequencies.
Nakumbuka Sadam anatishia kupiga Bomu la nyuklia eti liuwe dunia nzima.
Sasa huyo jamaa anasema eti hazikuwepo. Hizo radio ni za long sana.