Je, umeionaje ngoma ya mapozi ya Diamond, Mr. Blue na Melody?

Kwa upande wangu Ngoma naweza kuipa rate ya 7.5
Na msanii alieupiga mwngi kuliko wenzake kwa mpangalio nitaanzaa na

1. Jay melody
2. Mr blue na mwisho namweka
3. Diamond Platinum

Ngoma ni nzuri ila sio Kali kihivyo sio hit song
Aisee..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…