Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

I second you chief...
Yesu kutembea juu ya maji sio historical information hio ni dini...hamna kitabu chochote Cha historia utasoma kwamba Yesu alitembea juu ya maji..ndo maana Yesu hata kwa waislamu yupo na ana story tofauti kabisa...ndo ujue hizi ni story tu kila mtu anakuja na
 
Bora niamini something that makes sense kuliko a naked couple in a magical garden with a talking snake...hii ni story za watoto wa chekechea
wewe unaamini ktk nini ili tukupime huko😂😂😂😂.

vipo vipimo tunavyo.
 
Nilikua nikidhania watu wana fanikiwa kirahisi kumbe mpaka mtu unatoboa inakua sio mchezo.
Watoto wa vigogo wa CCM wanatoboa kirahisi sana. Balaa lipo kwa sisi watoto wa walala hoi. Hauna connections, unajitajidi kuwa mzalendo labda utaambulia chochote kitu, unaishia kutukanawa na kuambiwa statements za dhihaka na watoto wa wakubwa huko serikalini.
 
uligunduaje mkuu kwamba ni hadithi za kutunga!!!

wewe umetunga kitabu gani???

vipi historia ya mkwawa na kinje nayo unaionaje si ni hadithi iliyotungwa pia au???
Historia ya mkwawa sio ya kutunga hata kidgo kwa sababu wapo wazee wetu ambao waliishi enzi hizo na wametusimulia kuhusu hayo Kwa mfano bibi angu alikuwepo enzi hizo aliwahi kunisimulia Japo kuhusu baadhi ya story ndani ya historia hiyo zimeongezwa na zingine kupunguzwa ila ni tofauti kabisa na Story ambazo hauna Authentification nazo
 
official kwa maana ya tangazo la serikali ama kwa maana ya uhalisia!!!!

...Sasa bible Ina story za mtaani kibao ndo maana kila kitabu kina story yake...huwezi kitegemea Kama reference

unataka kutegemea kama reference ukiwa unatafiti jambo gani??la kiimani ama kihistoria??
😂😂😂Kiimani ni Nini kwanza...kuamini kisa kipo kwenye kitabu ama ..if that's so, thank u...
 
ndio maana nitakusihi kwamba mambo usiyoyaamini yasikuumize kichwa,sababu once you stape in utakula za uzo sababu unajaribu kuingiza dhana zako ambazo hazifanyi kazi huko.

sisi wenzako mtu akisema katokewa na Mungu tunasubiri ishara za kimungu.wewe unasubiri akuletee chakula mezani.
😂Ishara za kimungu ndo kuleta waigizaji waact wanaanguka mapepo ama... Video zipo mtandaoni yaani siku hizi ndo maana huwezi mdanganya mtu...
 
🤣🤣🤣🤣🤣Unajua we ni mjinga Sana haya maswali nishayazoea...jibu lake ni sijui na wewe hujui..na huyo mtu aliyeandika kitabu miaka buku iliyopita hajui...acha kujikosha kila dini inasema Mungu wake ndo mwanzo wa kila kitu...sio Yahweh sio Allah sio brahma sio Odin sio Zeus .so haushtui mtu hapa...just coz watu hatujui doesn't mean unaweza tunga story yoyote na ukampachika Mungu wako...
Waambie pia hata story ya uumbaji Ukisoma Kweny bhagavad Gita its far more different na ukisoma kwenye Athrahesis za Samerian au mesopotonia Au old babilonian history ambavyo ni vitabu vya zamani kuliko Biblia na quran navyo vina hadithi zao za Uumbaji na

vinasema uumbaji una zaidi ya miaka 100000 ambayo kwenye biblia mnatuambia ni Miaka 6000 tu tangu dunia iumbwe ambayo sayansi na mazingira yanakataaa
 
Wewe mwenye hoja mbona huzitoi?
Alafu ni aibike kwa kipi ? Katika kutafuta elimu Kuna stage nne, Bahati mbaya wewe upo stage ya kwanza katika kujifunza katika stage hii Mtu hudhani anajua kila kitu na hapa mtu huwa anajifungia katika cage ya kudhani kuwa hayo anayo ya elewa ndio kweli, bila kujiuliza hivi hichi ninacho kiita kweli ni kweli ndio kweli?. There is alot of things beyond science my friend , Ongeza hekima yako katika kujifunza utajua mambo mengi ila kwa level yako you are so weak to argue this kind of topic.
Anyway...Nisaidie na hili swali pia mwanasayansi mbobezi wa karne hii.
What is origin of solar system?
But hakuna Sehemu Biblia wala Quran imetoa Original of the solar system halafu weww unataka mwwnzako akupe original ya solar system is it legit....kweli?

Maana biblia inasema Mungu aliumba Dunia na Mbingu haikusema kuhusu Sayari zingine na uwepo wa vimondo na Makazi kwenye sayari hizo zingine ambazo sasa hivi tunaziona
 
Historia ya mkwawa sio ya kutunga hata kidgo kwa sababu wapo wazee wetu ambao waliishi enzi hizo na wametusimulia kuhusu hayo Kwa mfano bibi angu alikuwepo enzi hizo aliwahi kunisimulia Japo kuhusu baadhi ya story ndani ya historia hiyo zimeongezwa na zingine kupunguzwa ila ni tofauti kabisa na Story ambazo hauna Authentification nazo
kwahiyo ulitaka bibi yako pia akusimulie story za Yesu kwamba alikuwa anamjua ili ukubali kwamba ni kweli kabisa!!!!

umesahau mkwawa ni wa juzi tu hapo!!
 
Ngoja nikupe hoja za kuonesha Mungu hayupo 👇

Watoto wachanga wasio elewa chochote kile, Kuzaliwa na matatizo kama unjiti, vichwa vikubwa, uchizi na kasoro nyingine nyingi, Ni uthibitisho wa kwamba Mungu Mkamilifu mwenye kuumba binadamu wakamilifu kimwili na kiakili tangu wawapo tumboni mwa mama zao Hayupo.

Majanga ya asili kama radi, mafuriko matetemeko ya ardhi na vimbunga yanayo Ua watu wasio na hatia mpaka watoto wachanga wasio na ufahamu wowote ule, Ni uthibitisho wa kwamba Mungu mwenye huruma na upendo Hayupo. Mfano tetemeko la Syria na Uturuki lililo ua maelfu ya watu na watoto.

Uwepo wa uovu, mabaya, maasi na dhambi Ni uthibitisho wa kwamba Mungu muweza wa yote na mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele Hayupo. Angekuwepo ange dhibiti maovu haya tangu mwanzoni.

Watu kufariki kwenye Ajali mbalimbali licha ya kumwomba Mungu awalinde wawapo safarini na hata kabla ya ajali yenyewe kutokea wengine hulia na kumwomba Mungu sana azuie ajali hiyo lakini hakuna kinachotokea, Mfano kuzama kwa meli, kuanguka kwa ndege, Ajali za mabasi, na vyombo vingine vya moto. Ni uthibitisho wa kwamba Mungu huyo anaye ombwa Hayupo.

Walemavu na wagonjwa mbalimbali wenye magonjwa yasiyo tibika kuendelea kuteseka na magonjwa yao, Licha ya kusali kila mara na kuomba Mungu wapone, Ni uthibitisho wa kwamba Mungu hayupo.
Watakuambia hoo ya Mungu mengi sijui ye ndo anapanga sijui he has a greater plan😂😂😂
 
😂Ishara za kimungu ndo kuleta waigizaji waact wanaanguka mapepo ama...
Yes hata wewe unaweza ukaigiza,uzuri sisi wenyewe tunajua ni kwa namna gani unaweza kugundua uongo.
Video zipo mtandaoni yaani siku hizi ndo maana huwezi mdanganya mtu...
wewe ni rahisi kukudanganya sababu,kwanza unataka uthibitisho kwa kila kitu.vipi mtu akikwambia Yesu anaponya na bibi yako asiyejiweza akasimama kukimbia???si kesho tutakukuta kanisani kwa huyo nabii unamfulia nguo😂😂😂
 
😂Ishara za kimungu ndo kuleta waigizaji waact wanaanguka mapepo ama... Video zipo mtandaoni yaani siku hizi ndo maana huwezi mdanganya mtu...
Na hakuna Mapepo Duniani Chief watu wana ugonjwa wa Afya ya Akili unaitwa Multiple Dissociate Identity Disorder (MDID) wanakuwa wanajiona kama wako Posesed Waje tuwatibu tu Ili wawe poa
 
Yes hata wewe unaweza ukaigiza,uzuri sisi wenyewe tunajua ni kwa namna gani unaweza kugundua uongo.

wewe ni rahisi kukudanganya sababu,kwanza unataka uthibitisho kwa kila kitu.vipi mtu akikwambia Yesu anaponya na bibi yako asiyejiweza akasimama kukimbia???si kesho tutakukuta kanisani kwa huyo nabii unamfulia nguo😂😂😂
Sasa kama hakuna uthibitisho Then you unataka kuniambia you Follow Blindly
 
sasa hapo ndio umetoa hoja zako za kwanini unasema hakuna mungu?
let's make it simple, Toja hoja zako kwanni unasem hakuna mungu , Forget about my point nataka kusikia kwa upande wako.
Maelezo yote uliyoyatoa unazunguka mulemule kwenye point zangu yaani unachokifanya ni ku-criticize hoja zangu mimi sina shida na hilo, Mimi nataka hoja zako Mr... plz tell me what make you say there is no god????
kuna utofauti kati ya kutoa hoja za kwanini unasema hakuna mungu na kukosoa hoja za wanaosema kuna mungu.
ulichokifanya wewe sio kutoa hoja za kwanini hamna mungu bali ni kukosoa hoja za kwanini kuna mungu.
have another try nakusubiri tena.
Kama na hapo umeshindwa kuelewa basi we can't go further let's agree to disagree
 
Back
Top Bottom