Kwanza kabisa mkuu samahani sana Sijui Elimu yako Viumbe anga (celestial bodies) uliipata wapi maana inaonyesha jinsi gani ulivyo chaka sana na kuna muda ni bora kuficha ujinga kwa watu wengi si vyema kuonyesga ujuaji...
(Samahani kwa kutumia offensive words)
maana hilo kidogo ndo lilikuwa neno la heshima ambalo nilipata kulitumia.......
Facts Checks
- Ninashauri ili uweze kuzitetea hoja zako inatakiwa uwe na elimu kuhusu Hoja zako Maana inaonekana unajibu hoja bila kuwa na elimu yoyote...
Kwa sababu Solar system ni Complex Multicelestial body na kwa mtu mwenye ujuzi kidogo sana hata basic tu ya astronomy hawzi kuniambia kwamba solar system is only jua na mwezi...
Wakati huo Kwenye solar system tu kuna miezi zaidi ya 100 na zote zipo kwenye kila sayari ni kwa bahati mbaya tu dunia yetu ina mwezi mmoja .....
Unafikiri kwanini Quran haikutaja maumbo mengine kama sayari zingine,Asteroidi,vimondo na viumbe vingine
Ni kwa sababu mwandishi Alikuwa havioni hivyo vingine na hakuwa na Elimu ya other celestial bodied ila only Jua na mwezi na nyota ndiyo vilionekana kwao.....
- Nina shida kubwa sana kukuelimisha Ewe kijana mwenye qurani ya kugoogle namshukru Mungu qurani si"google" ipo kifuani mwangu... Vijana wa siku hizi wabishi kusoma nenda soma quran bado hujaielwa
Ila kwa kuwa wapenda Kusoma... Sawa...Nakusomesha skuli sasa...
Aya ulotoa al anbiya aya 30...
أَوَلَمْ يَرَ ٱلَّذِينَ كَفَرُوٓا۟ أَنَّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ كَانَتَا رَتْقًۭا فَفَتَقْنَٰهُمَا ۖ وَجَعَلْنَا مِنَ ٱلْمَآءِ كُلَّ شَىْءٍ حَىٍّ ۖ أَفَلَا يُؤْمِنُونَ
Kwa matamshi itasomwa hivi...
Awalam yara alladhiina kafaruu anna alssamawati waalardha/dhwa kanata ratqan fafataqnahuma wajaAAalna mina almai kulla shayin hayyin afala yuminuuuna....
Neno uliloshupalia Hilo
al-ardhi halimaanishi dunia kama ulivyoshupalia ila linamaanisha ardhi au Nchi..
So hapo sio dunia watafsiri wa siku hizi wasikupotoshe rudi kwenye aya moja kwa moja zisome uje na jibu....
Sasa najua unaweza ukasema ooh sijui dunia ni sawa na ardhi na ukaja na ushahidi wako wa kubahatisha....
Ila ziko versi zaidi ya 30 zinazotaja ,Duniya kama duniya na hazikuzungumzia Ardhi so kwanini lisitumike Neno duniya ambalo ndo Earth au World tumia akili ndugu usudanganyike...
Neno Duniya limetumika kwenye (kasome Albaqara aya 86; albaqara aya 200; kasome pia Al araf Aya ya 32 na 36😉
neno Ardhi humaanisha nini kwenye quran nimeshasema Ardhi au mahali sasa nakupa uthibitisho...
kasome Sura ya WARUMI au ArRUM (sura ya 30)
anza aya ya 1-3...
sana sana ntajikita kwenye Aya ya pili na ya tatu..
Ar-Rum : verse no (2)
....... غُلِبَتِ ٱلرُّوم
فِىٓ أَدْنَى ٱلْأَرْضِ وَهُم مِّنۢ بَعْدِ غَلَبِهِمْ سَيَغْلِبُونَ
ambayo hutamkika..
Ghulibatil Rumi....
Fii adnaa alardhi wahum min baAAdi ghalabihim sayaghlibuuna
sasa unajua hapo imemaanisha nini 🤣🤣 maana usije tu ukaniambia Dunia ndogo...
ukiwa unajua kiarabu hata kidogo utagundua hapo anasema Warumi wameshindwa au wamekuwa defeated "Fi adnaa alardhi " ......
sasa unajua maana yake ....
kumbuka kuwa Adnaa mzizi wake ni "dana" (دنا)
neno hilo hilo ndo linalounda neno Ad-duniya (الرنيا)...
So tulikuwa huko sote sio kwamba Tunataka mtupe hoka za kina ukaona sisi hatujui sehemu mlipo...
Kingine nimeona umejaribu kutoa hiyo aya ukisupport kwamba duniani ni zao la BIGBANG 🤣🤣🤣.
SO Kumbe kwa aya hiyo unakubalian na sisi kwamba dunia ni zao la BIGBANG then kama unakubalo then Dunia haikuumbwa na mtu it was naturally appeared then Quran yako itakuwa inajipinga 🤣🤣🤣
SOMETIMES YOU NEED TO BE CONFUSED TO BECOME THE SAGE.....