Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

So whats ur point?
1. kuhusiana na quinine kutokutumika kama dawa kwa sasa ni kwa sababu ya side effects zake na si kwa sababu ya parasital adaptation sasa hivi kuna kitu kama "artemisinins" ambayo ni very effective with lesser side effects .

2. Kuhusiana na adapatation ya plasmodium au kama ulivyoiita evolution ( 😅😅😅) bado ni speculation na haijapita kama fact maana bado "wanadhani" labda plasmodium ali evolve kutoka
Plasmodium brasilianum ambaye alikuwa ana infect monkeys kisha akaja kuwa plasmodium malariae ambaye ndiye anayetesa binadamu keyword ni LABDA . NA MPAKA SASA HAKUNA EVOLVEF SPECIES YA PLASMODIUM MALARIAE .

Conclussion
umejaribu ku twist maneno kwa vipoint HEWA ambavyo hata layman tu anaweza kukujibu come with good points labda unaweza kuni convice
 
Mimi nilikuwa naamini viongozi wa dini ni watu wema kuliko wengine lakini nilichokuja kushuhudia kwa wale watu Imani yangu iliisha kabisa.
Hili pia mimi nililiamini zamani ila sasa hapana.
 
Niliamini Hapa Duniani ukiwa na ndugu wenye uwezo au ukitokea familia inajiweza kiuchumi basi na wewe maisha umeyapatia.

sasa nagundua kumbe nilikua naota bado nipo kwenye maisha yenyewe sasa ambayo yamenifanya nigundue uwezo wa ndugu zako si kigezo cha wewe kufanikiwa kwa haraka katika maisha.
Niliamini hivo ila ukiona wanazo tafuta kwa jasho.
 
Quinine iliachwa kwasababu ya side effects tu? Reports za malaria ku resist hii dawa zipo ni wewe tu kusoma ujue ([emoji23][emoji23][emoji23]).

Statement hiyo apo soma kuhusu quinine

"Quinine has not been entirely abandoned as a treatment for malaria, but its use has been limited in some cases due to various factors, including side effects and the development of resistance"

Niseme nikubali ni side effects peke yake (japo sio kweli) ndo zilifanya quinine iachwe nambie kuhusu chloroquine sasa

Nimekupa quote kutoka kitabu cha medical parasitology kuhusu chloroquine hii hapa

"chloroquine was an effective treatment for malaria. However, as the parasite population was exposed to the drug over many years, some individual parasites with genetic mutations that allowed them to survive chloroquine treatment had a survival advantage. These resistant parasites were more likely to survive, reproduce, and pass on their resistance genes to the next generation of parasites. This led to the evolution of chloroquine-resistant strains of Plasmodium, making the drug less effective in certain regions".

Pia nimeongelea evolution ya plasmodium in response tu "drug resistance"
sababu ulisema unataka evidence yoyote proved ya evolution sasa hivi nimekupa hiyo apo. Kuhusu strain wa plasmodium brasilianum wa monkey ku evolve kuwa plasmodium falciparum bado ni hypothesis inahitaji research na hypothesis hukurupuki tu kuleta kwenye science lazima utuambie why ume hypothesize kitu kama hicho na sababu ya hii hypothesis ilikuwa hii hapa

"The idea that Plasmodium falciparum, the species responsible for the most severe and deadly form of malaria in humans, may have originated from a related parasite in monkeys, Plasmodium brasilianum, has been proposed as a hypothesis in the study of malaria's evolutionary history. This hypothesis is based on genetic and evolutionary evidence that suggests a complex history of host-switching events between primates and these malaria parasites".

Naona pia na utofauti wa Evolution na adaptation unakupa shida (jaribu kusoma hapa uelewe utofauti pia uongeze na source tofauti apa nimekupa mwanzo tu). [ Sentensi yako hii: "Kuhusiana na adapatation ya plasmodium au kama ulivyoiita evolution"]

Adaptation refers to the specific traits or characteristics that organisms develop over time to better suit their environment or improve their chances of survival and reproduction.

Evolution: Evolution is a broader concept that encompasses the long-term change in the genetic makeup of a population of organisms over generations.

Conclusion: Badala ya kutoa point unawahi ku attack mtu kwa kujaribu kuonyesha kuwa hajui chochote ndo maana umesema "vi point hewa hata layman anaweza kukujibu". Hii fallacy kwenye logical argument inaitwa Ad Hominem.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
grand millenial yuko wapi ametuita watu "layman" tunataka kuona argument zake yeye kama "intellectual"

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Katika maisha kila mtu ana amini katika kile anachokiamini kuanzia kwenye maisha binafsi, dini, uchumi, siasa n.k.

Kuna watu wanaamini biashara bila ndumba haiendi, kuna wanao amini mapenzi bila pesa lazima mwanamke Aku cheat n.k.

Mimi kwa upande wangu nilikuwa naamini kutumia miti shamba kujitibu ni ujinga tena nikihusisha na ushirikina lakini kwa sasa hapana siamini hivyo nimejua kuwa miti na mimea kwa ujumla ina siri nyingi na ni tiba sana.

Vipi wewe kwa upande wako Ulishawahi kubadili mawazo yako na kuacha kuamini kitu ambacho ulikiamini awali ? na Kwanini?
Mimi nilikua naamini mafuta ndio yananenepesha watu ila sasa nimebadili mtazamo naamini kua wanga na sukari ndio adui mkuu sababu nimejifanyia majaribio nimeamini
 
😂😂😂😂😂So Muhammad ndo kasema tumeumbwa bila hivyo watu walikuwa wanaamini hawajaumbwa....😂hivi hauchoki kuonekana mjinga
Kwani ulivyosema tufanye tumeumbwa .. tusingefanya tungiwa atujaumbwa?
Huchoki kujifanya mjuaji kumbe mjinga??
 
Mungu angekuwa real Kama huyo Allah unayemsemea 😂angekutokea wewe na Mimi...why mtu mmoja aamke usingizini atupe sheria za kuoa watoto na bikra za mbinguni afu tumwamini
Mfano wa hiyo sheria ya kuoa watoto ni ipi?
Nimekwambia share Basi hiyo qur an yako ya kipekee ambayo ina aya ambazo sisi hatuzijui.
Kuhusu kuoa bikira mbinguni hilo ni kweli na hizo ni fadhila za mola wetu kwa tuliomuamini tunaoa bikira duniani na mbinguni pia ila kwa nyie ambao hamjamuamini mtaishia kuoa wa duniani.
Au wewe hujaoaga bikra??.
 
Sijasema Mungu hayupo..lakini huyo Mungu hajawahi kumtokea mtu yoyote kila mtu anabwabwaja za kichwani kwake ndo maana kila siku dini mpya zinaundwa
Kama hujasema Mungu hayupo maana yake yupo.
Basi hongera kwa kukubali uwepo wa Mungu.
 
Namwambia asome qur an .mnajiwekea akili sana.
Vipi wewe ukitaka mtu ajue unafanyaje?
Mtu ukitaka akujue, ukitaka uwe na relationship nae au friendship Cha kwanza unaji introduce. Unatokea, bana Mimi hapa ni fulani nataka fulani na fulani... Hutumii barua ishirini kila moja inasema hivi na kutuma watu buku matapeli . U become present. Allah wako ameshindwa kujiintroduce, Hana communication skills hata mtoto mdogo anamshinda. So akishajiintroduce nitamuamini yupo
 
Mfano wa hiyo sheria ya kuoa watoto ni ipi?
Nimekwambia share Basi hiyo qur an yako ya kipekee ambayo ina aya ambazo sisi hatuzijui.
Kuhusu kuoa bikira mbinguni hilo ni kweli na hizo ni fadhila za mola wetu kwa tuliomuamini tunaoa bikira duniani na mbinguni pia ila kwa nyie ambao hamjamuamini mtaishia kuoa wa duniani.
Au wewe hujaoaga bikra??.
Hoja ni mbona huyo Allah anaotwa tu na mtu mmoja pangoni alafu ghafla ndo dini nzima inaanzishwa na wajinga mnaamini
 
Kama hujasema Mungu hayupo maana yake yupo.
Basi hongera kwa kukubali uwepo wa Mungu.
Sijakubali chochote. ...bado doesnt prove yupo ..na it's not kwamba ndo Allah yupo au Muhammad mgonga watoto alikuwepo no...
 
Mwamba upo sahihi kabisa, naona watu wanakutisha hapa...usitishike baki na msimamo huohuo[emoji38][emoji23]....
Mi naungana na wewe kwamba haya mavitabu yametungwa tu, hasusani Quran ni kitabu chenye Mambo ya kitoto sana na ujinga mwingi. Ila kusema moja kwa moja kwamba Mungu hayupo, hapo naomba ubaki mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom