Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

😂😂😂Yaani me naumwa kisa siamini story za mfufua wafu mtembea majini na multiplier of breads and fish...sawa we una akili Sana mkuu
kwanini unadhani ni muhimu mimi kukueleza hilo swala???
 
😂😂😂So hao wafalme, manabii na mitume hawadai kupewa funuo? Afu kwa nini huyu Mungu hawezi kuongea na kila mtu mpaka awhisper kwa mtu mmoja
Mungu anaweza kuongea na kila mtu.
 
Hankuna
Kama science ni elimu sio Imani basi hamna haja ya kuendeleza ubishi hapa. Concept za science ziko proved by experiments halafu laws, facts, principles zimetengenezwa ni elimu yenye ukweli na yenye kukubali ukweli kama tu Kuna ushahidi wenye mantiki na unafanya kazi kisayansi ukipimwa kwenye experiments. Na tukifata scientific way ya kugundua ukweli na uongo, kipi kinafanya kazi na kipi hakifanyi swala la uwepo wa mungu sijui maombi kufanya kazi, safina ya nuhu vyote ni utopolo mtupu.

Na kuchambulia mfano wa safina kisayansi (logical examination)


Vipimo vya Safina ya noah ( biblia imeandikwa Kwa namna hii 300 cubits long, 50 cubits wide, and 30 cubits) ukilinganisha na meli ya Queens Mary

1.Safina ya Noah: 450 feet long, 75 feet wide, and 45 feet high.
Queen Mary: 1,019 feet long, 118 feet wide, and 181 feet high.


Ujazo wa safina ya Noah = Length × Width × Height = 450 ft × 75 ft × 45 ft = 1,518,750 cubic feet.

Ujazo wa Queen Mary = Length × Width × Height = 1,019 ft × 118 ft × 181 ft = 21,334,034 cubic feet.

Queen Mary ilikuwa kubwa mara ngapi kuliko safina ya Noah Ark?

Ujazo wa Queen Mary / Ujazo wa safina ya Noah = 21,334,034 cubic feet / 1,518,750 cubic feet = 14

Kwa hiyo Queen Mary ni karibu mara kumi na nne (14) kubwa kuliko safina ya Nuhu

Species tulizo nazo kulingana na data ni kama 8.7 million Kwa hiyo kama Noah alichukua wawili wa kila specie alibeba viumbe hai 17.4 million (apa nimepotezea lile agizo aliloambiwa kuchukua 7 Kwa wale ambao wanaweza kulika biblia ya kiingereza inawaita clean beasts)

Queens Mary wakati wa vita ya pili ya Dunia ilikuwa inajazwa mpaka uwezo wake mwisho ambao ni watu 16000 (japo ilitengenezwa na uwezo wa watu 2139) na ilikuwa imetengenezwa Kwa chuma tofauti na ya nuhu Kwa mbao

Kwa akili ya kawaida (logically) tu meli ambayo imetengenezwa na mbao inabeba wanyama 17.4 million na chakula chao na watu nane kwa mwaka mzima Kuna tembo huno, twiga, kifaru halafu meli ambayo ni mara 14 kuizidi ina uwezo wa mwisho wa watu 16000 insignia akilini kweli?

Imani unaweza kuchagua tu kuibeba hata ikiwa ya uongo. Ndo maana matatizo kama yanayoonekana kwenye hadithi ya safina ya nuhu mnayabeba tu na kudai ni ukweli huku uongo uko wazi. Science hsiko hivyo. Na ukweli uko kwenye science uongo utagubdulika kupitia utafiti na utarekebishwa ndio science inavyoenda

SOMA KWA UTULIVU HALAFU TAFAKARI UTAONA UTOFAUTI WA FACTS NA IMANI.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Hakuna sehemu sayansi imeshindwa toa majibu mkuu?
 
Based on which basis? Maana binadamu wa miaka 5000 nyuma ndiyo huyu huyu wa sasa, tuna features zoote walizokuwa nazo wao huko kudogo unapokuongelea wewe ni kupi.

Na hiyo enviromental control unayoiongelea ni ipi ambayo 5000 years back hawakuifanya?
Unajua moto uliweza kuwa tamed lini, Sasa miaka 5000 iliyopita mwanadamu si tiyari alikua anakaa kwenye nyumba kabisa pyramid zimeisha jengwa
 
Hankuna

Hakuna sehemu sayansi imeshindwa toa majibu mkuu?
Zipo kabisa na uzuri wa science kama imeshindwa kutoa majibu na ushahidi haupo au sio wa kutosha au ni hafifu science Ina utaratibu wa kukubali wazi kwamba haina majibu. Mfano tu dawa ya ugonjwa ikikosekana.

Ila dini inasema Ina majibu yote ushahidi wa kueleweka hakuna tunachoambiwa tukubali tu kwa IMANI bila kuomba ushahidi au maelezo yenye mantiki. Kwa utaratibu huu wa Imani kuna hatari ukaamini na uongo na ukaukomalia na tunayaona ndo maana nilitoa mfano wa nuhu na safina mtu mwenye Imani ya dini hapo bado ilitokea kweli pamoja na huo mfano mrahisi tu.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
naamini kuwa tuliumbwa but tumesahaulika au kutelekezwa au ss sio wa muhimu kwa alietuumba kama tunavodhani
 
Mjinga wewe! Bado upo ktk Karne ya giza. Mpaka Leo unaongea upuuzi huo eti hakuna mungu?? Hujiulizi ukiwa UMELALA!! Viungo vyote havifanyi kazi ispokua moyo! Je unajua SIRI YA TUKIO HILO?

Lofaa sana
Mungu ni kiumbe kilichotengenezwa na hawa Caucasian ili kumtisha mtu mweusi na kumtoa kwenye tamaduni zake lakini kiuhalisia hicho kiumbe hakipo,ila huu ulimwengu unanguvu kuu ya asili yaani natural, ukifanya mema utayaona mema yakija kwako na ukifanya mabaya utayaona pia na utayalipia hapahapa duniani na sio kutishiana eti Kuna moto wa jehanam, yaani Mungu yeye mwenyewe kakishindwa kiumbe chake (shetani wa mchongo) kikapigana mpaka na malaika vita kuu mbinguni ndo akuletee wewe binaadam ukishinde? Ni uzwazwa huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo la watu wanaojifanya hawaamini Mungu hujaribu kuiingiza science ktk imani hizi za dini,mfano ni wewe hapa chini.

si kila concept zimekuwa proved kwa majaribio,nyingine zimebaki katika maelezo peke yake.

Na tukifata scientific way ya kugundua ukweli na uongo, kipi kinafanya kazi na kipi hakifanyi swala la uwepo wa mungu sijui maombi kufanya kazi, safina ya nuhu vyote ni utopolo mtupu.


lakini ni utopolo unaokushughulisha.


hapa kwa sababu bible imetaja hesabu ukaona wacha uchukue calculator,vipi kuhusu Yesu kuelea!!!!

haiwezi kuingia akilizi kabisa,ni kama ile ya kuumba dunia kwa siku 6,alitumia excavator ya ukubwa gani kuhamisha milima!!!

swala ambalo wewe huwezi kulichukua akilini haimaanishi ni uongo,vipi mtu amaweza kuelea hewani kwa ungo wa makuti???

ndio sababu nakusisitiza usiichanganye na imani.

sasa huku kwenye imani umefanya tafiti gani moja tu ukagundua ni uongo!!!

mimi nafahamu ndio maana najua namna ya kutenga hivi vitu,wewe unachanganya ndio sababu unaona mruweruwe.
Nipe mfano wa concept ya science ambayo hsiko proved experimentally ni maelezo tu ?

Yuko wapi huyo anaepaa na ungo nimuone? Mbona mi najua watu husafiri Kwa ndege, mabasi, train, cable cars

Kutembea juu ya majibu na alikuwa na mwili kama binadamu [emoji23][emoji23] ni wadudu tu kama water striders ndo surface tension inawaruhusu kusimama juu ya maji

Najua aliumba bila vifaa alitamka tu vikaja, wanadamu walibumbwa kwa udongo [emoji23][emoji23]


Utafiti wa science unaonyesha dunia Ina umri wa zaidi ya hiyo miaka 6000 ambayo biblia inaonyesha

Utafiti wa archeologist haujawahi kupata ushahidi wa Wana wa Israeli kutumikishwa misri

Unataka tafiti gani za zaidi hizi hazitoshi?

Mbona sasa mnasemaga kwamba kuna mambo ya kisayansi kwenye biblia [emoji23][emoji23] na Quran (hasa waislamu eti kuna vitu uislamu ulijua kabla ya tafiti za science kugundua[emoji23][emoji23][emoji23]




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
naamini kuwa tuliumbwa but tumesahaulika au kutelekezwa au ss sio wa muhimu kwa alietuumba kama tunavodhani
Haha usiseme hivyo...sema katuumba katuacha tujitegemee
😅It makes more sense...haya mambo ya mtume kasema Nini ni propaganda tu
 
Mungu ni kiumbe kilichotengenezwa na hawa Caucasian ili kumtisha mtu mweusi na kumtoa kwenye tamaduni zake lakini kiuhalisia hicho kiumbe hakipo,ila huu ulimwengu unanguvu kuu ya asili yaani natural, ukifanya mema utayaona mema yakija kwako na ukifanya mabaya utayaona pia na utayalipia hapahapa duniani na sio kutishiana eti Kuna moto wa jehanam, yaani Mungu yeye mwenyewe kakishindwa kiumbe chake (shetani wa mchongo) kikapigana mpaka na malaika vita kuu mbinguni ndo akuletee wewe binaadam ukishinde? Ni uzwazwa huu

Sent using Jamii Forums mobile app
😂Watakuambia hakushindwa aliwafukuza
 
Nipe mfano wa concept ya science ambayo hsiko proved experimentally ni maelezo tu ?

Yuko wapi huyo anaepaa na ungo nimuone? Mbona mi najua watu husafiri Kwa ndege, mabasi, train, cable cars

Kutembea juu ya majibu na alikuwa na mwili kama binadamu [emoji23][emoji23] ni wadudu tu kama water striders ndo surface tension inawaruhusu kusimama juu ya maji

Najua aliumba bila vifaa alitamka tu vikaja, wanadamu walibumbwa kwa udongo [emoji23][emoji23]


Utafiti wa science unaonyesha dunia Ina umri wa zaidi ya hiyo miaka 6000 ambayo biblia inaonyesha

Utafiti wa archeologist haujawahi kupata ushahidi wa Wana wa Israeli kutumikishwa misri

Unataka tafiti gani za zaidi hizi hazitoshi?

Mbona sasa mnasemaga kwamba kuna mambo ya kisayansi kwenye biblia [emoji23][emoji23] na Quran (hasa waislamu eti kuna vitu uislamu ulijua kabla ya tafiti za science kugundua[emoji23][emoji23][emoji23]




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
😂😂Kuna mmoja wa sexual discharge kanikimbia
 
Kama science ni elimu sio Imani basi hamna haja ya kuendeleza ubishi hapa. Concept za science ziko proved by experiments halafu laws, facts, principles zimetengenezwa ni elimu yenye ukweli na yenye kukubali ukweli kama tu Kuna ushahidi wenye mantiki na unafanya kazi kisayansi ukipimwa kwenye experiments. Na tukifata scientific way ya kugundua ukweli na uongo, kipi kinafanya kazi na kipi hakifanyi swala la uwepo wa mungu sijui maombi kufanya kazi, safina ya nuhu vyote ni utopolo mtupu.

Na kuchambulia mfano wa safina kisayansi (logical examination)


Vipimo vya Safina ya noah ( biblia imeandikwa Kwa namna hii 300 cubits long, 50 cubits wide, and 30 cubits) ukilinganisha na meli ya Queens Mary

1.Safina ya Noah: 450 feet long, 75 feet wide, and 45 feet high.
Queen Mary: 1,019 feet long, 118 feet wide, and 181 feet high.


Ujazo wa safina ya Noah = Length × Width × Height = 450 ft × 75 ft × 45 ft = 1,518,750 cubic feet.

Ujazo wa Queen Mary = Length × Width × Height = 1,019 ft × 118 ft × 181 ft = 21,334,034 cubic feet.

Queen Mary ilikuwa kubwa mara ngapi kuliko safina ya Noah Ark?

Ujazo wa Queen Mary / Ujazo wa safina ya Noah = 21,334,034 cubic feet / 1,518,750 cubic feet = 14

Kwa hiyo Queen Mary ni karibu mara kumi na nne (14) kubwa kuliko safina ya Nuhu

Species tulizo nazo kulingana na data ni kama 8.7 million Kwa hiyo kama Noah alichukua wawili wa kila specie alibeba viumbe hai 17.4 million (apa nimepotezea lile agizo aliloambiwa kuchukua 7 Kwa wale ambao wanaweza kulika biblia ya kiingereza inawaita clean beasts)

Queens Mary wakati wa vita ya pili ya Dunia ilikuwa inajazwa mpaka uwezo wake mwisho ambao ni watu 16000 (japo ilitengenezwa na uwezo wa watu 2139) na ilikuwa imetengenezwa Kwa chuma tofauti na ya nuhu Kwa mbao

Kwa akili ya kawaida (logically) tu meli ambayo imetengenezwa na mbao inabeba wanyama 17.4 million na chakula chao na watu nane kwa mwaka mzima Kuna tembo huno, twiga, kifaru halafu meli ambayo ni mara 14 kuizidi ina uwezo wa mwisho wa watu 16000 insignia akilini kweli?

Imani unaweza kuchagua tu kuibeba hata ikiwa ya uongo. Ndo maana matatizo kama yanayoonekana kwenye hadithi ya safina ya nuhu mnayabeba tu na kudai ni ukweli huku uongo uko wazi. Science hsiko hivyo. Na ukweli uko kwenye science uongo utagubdulika kupitia utafiti na utarekebishwa ndio science inavyoenda

SOMA KWA UTULIVU HALAFU TAFAKARI UTAONA UTOFAUTI WA FACTS NA IMANI.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Wakikujibu Niite niko palee
 
But hakuna Sehemu Biblia wala Quran imetoa Original of the solar system halafu weww unataka mwwnzako akupe original ya solar system is it legit....kweli?

Maana biblia inasema Mungu aliumba Dunia na Mbingu haikusema kuhusu Sayari zingine na uwepo wa vimondo na Makazi kwenye sayari hizo zingine ambazo sasa hivi tunaziona
duuh! itakua huijui Qur an my friend anyway.. Qur an imeeleza origin of solar system kuwa ni ALLAH ndie kaumba ushahidi huu hapa...
Allah created the sun, the moon, and the planets, each with their own individual courses or orbit "It is He who created the night and the day, and the sun and the moon;all (the celestial bodies) swim along, each in its rounded course" (qur an 21:33)
Bado swali lipo palepale haya niambie wewe origin of solar system??.
 
Back
Top Bottom