Je, umewahi kujiuliza kuhusu ukimya wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na uuzwaji wa Bandari za Tanganyika?

Katika kichwa chako cha habari ondoa neno "UUZWAJI" Hakuna bandari inayouzwa unachofanya ni uchonganishi kwa umma.
Bosi usinifokee, naumia sana na nchi yangu kuliko siasa zenu, narudia tena sijaandika uuzwaji kwa bahati mbaya, au kwa kupotosha umma. nimeandika kwa tafsiri ya kisheria ambayo tayari nilishaitolea maelezo huko nyuma katika maandiko mengine.

narudia tena swali lako lilipaswa kuwa kwa nini unasema uuzwaji? ningekujibu kistaarabu kadili nilivyosoma mkataba, kwa sababu unajifanya ujuaji kaa na maana yako, sisikilizi wanasiasa wanitafsirie mkataba, kama wewe nimesoma na kuuelewa ndio maana natoa tafsiri kadili ninavyoelewa na ilivyo katika sheria. tofauti yako mimi na wewe ni tuna line of diference, your making politics and am not a politician.

usinifundishe eti niseme imekodishwa kwa sababu hakuna bei iliyowekwa au nieleze imeandikwa shilingi ngapi? sasa , kwani umeambiwa imekodishwa kwa shilingi ngapi?, au umeelezwa bei ya ukodishwaji? au imekodishwa bure?

nasisitiza ule ni uuzwaji, na sio ukodishaji, kama issue ni pesa hata kukodisha wangesema imekodishwa kwa shilingi ngapi. period
 
ahsante kwa mjibu mazuri mkuu mpigania nchi mwenzangu
 
samahani chief, nilikuwa najibu uliyemjibu,
 
Wa kuwapuuza tu hao, wanataka mwanasheria wa serikali ajiropokee tu kama wao? Ana utaratibu wake na muda wake ukifika ataongea km kuna ulazima wowote
Kiongozi kutoa ufafanuzi kwa wananchi kwa wakati ni muhimu na ni wajibu. Hawezi kuacha nyumba inateketea kwa moto eti aje kuzima kwa wakati wake. Tunataka nchi yetu iendelee kuwa kisiwa cha amani na utengemano.
 
Kiongozi kutoa ufafanuzi kwa wananchi kwa wakati ni muhimu na ni wajibu. Hawezi kuacha nyumba inateketea kwa moto eti aje kuzima kwa wakati wake. Tunataka nchi yetu iendelee kuwa kisiwa cha amani na utengemano.
Moto huo uko wapi unaoteketeza nchi hii?!!! Haupo na wala hakuna chanzo (source) cha uwepo wa moto huo. Kilichopo ni mpango kabambe na wa kisasa wa naendeleo ya kiuchumi ambao hata wawakilishi wetu bungeni wameona tija kubwa iliyopo ndo maana wakapitisha......mpango km huo hauwezi kuwa chanzo cha moto sababu watanzania wanataka maendeleo.

Kakikundi kadogo ka wezi na mafisadi na wenye chuki za kikabila na dini kenye wasomi uchwara kadhaa wanaohaha kutafuta fursa na umaarufu kwa watz walioonyesha kuwakataa tayari huku mtaani, hakina hadhi ya kuitwa moto wala vuguvugu........watashindwa kuitikisa nchi hii hata wajitahidi vp! Watz wapo macho na wanajua wanachokitaka. Hivyo futa kauli kuwa kuna moto; hakuna mtz mwenye akili timamu atakayeabzisha moto kwa ajili ya wachache hao waovu!!
 
Lakini mwanasheria mkuu kukaa kimya ni udhaifu.yeye anafanya kazi kwa mujibu wa sheria na siyo matakwa ya rais.kwa jambo kubwa kama hili la bandari inatakiwa na yeye aitishe kikao na waandishi wa habari kutoa ushauri wake na siyo kukaa kimya.
 
jibu swali, nenda kwenye hoja mama
 
In law concept "silence means admit or admission of the stated fact"
 
Huyo binti ataitumbukiza nchi kubaya hiyo nafasi haiwezi kabisa
 
Kama hukuandamana wewe ni mnafiki
ndio maana upo uko jamii forum unatetea chama chako mama hii ni digitalization age kuandamana ni analogia inaweza kuwa altenative ya digitalization to supliment the desired effects ,

we shall speak out through out and the massage is sent to the whole world, kwamba Tz ilishawahi kuwa na chief mangungo wa msovero katika karne ya 21, ndio maana wenzako wameenda kushitaki instagram, kuomba poo, kama digital ni mbaya kaandamane wewe.

digitalization msg ni zalidi ya physical maandamano.

ndio maana hamuishi kutetea upuuzi wenu,
 
Samia alikuwa anawahadaa na maridhiano feki kumbe ilikuwa ni gia ya kuwapumbaza auze nchi.

Ndio maana mimi kila siku nililuwa nawauliza machadema humu kwamba mnaridhiana kitu gani? Sikuwahi kupewa jibu.

Jiulizeni kwanini Ndugai alitoka hadharani kutamka yale kisha hangaya akaja kumkaripia mbele ya hadhara hadi akajiuzulu?
 
Kama kwenye ule mjadala wa juzi sikuona chochote cha maana alichosema Rostam, heri kutila mkumbo ni mwanasiasa, lakini Rostam hakustahili kuwa pale , aheri wangemuweka lema au zitto.
Inawezekana Usichokijua ni kwamba huyu Rostam ndiyo yupo katikati ya hilo deal na hivi anahangaika kuwa-brainwash Watanzania kupitia media mbalimbali na midahalo ya kutengenezwa kama hii. na kuna muda wanataka kupenyeza agenda za kidini ili kushinikiza wenye maamuzi katika jambo hili waamue katika mlengo huo/ au wale wanaopingana na vipengele vya mkataba basi waonekane hawana hoja za msingi zaidi ya msukumo wa udini au kuwatisha wasiendelee na mjadala. Ukiangalia kwa umakini wote wanaotaka kulibariki jambo hili hawataki kabisa kuongelea vipengele vya mkataba husika, sanasana unakuta wanaongelea nadharia tu za faida ambazo kimsingi hazijawa stated popote kwenye mkataba husika.
Nafikiri watanzania wameona na tuwashuru wale wote walioweza kuangalia mkataba kwa jicho la tofauti kwakweli wamewasadia sana Watz. na hasa kama yupo alievujisha mkataba huo kwenye mitandao huyu anastahili pongezi zote.
 
Katiba mpya bora ni muhimu ! Ili kuepuka makaripio mengine huko mbele ya safari !!
 
kuna haja ya kuwa na Rais wa Tanganyika katika kusimamia rasilimali za watu wa tanganyika
 
Haya yote chiefs of contract negotiation .. Lord denning na covax wanakuja kutolea ufafanuzi juu ya hoja zako mkuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…