Je, umewahi kujiuliza kuhusu ukimya wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na uuzwaji wa Bandari za Tanganyika?

Haya yote chiefs of contract negotiation .. Lord denning na covax wanakuja kutolea ufafanuzi juu ya hoja zako mkuu!!
haya nasubiri, ila ubongo mdogo shida hizi ni factual issues wala ni wadau wa propaganda, kukimbilia kwenye udini, jinsia, huwezi kuona wanaongea kwa evidence yeyote. usikute hata mkataba wenyewe hawajauona wanasimuliwa majukwaani, waziri kasema.
 
haya nasubiri, ila ubongo mdogo shida hizi ni factual issues wala ni wadau wa propaganda, kukimbilia kwenye udini, jinsia, huwezi kuona wanaongea kwa evidence yeyote. usikute hata mkataba wenyewe hawajauona wanasimuliwa majukwaani, waziri kasema.
Ngoja waje tuone wanafafanua vp hoja hizi!! Njoeni tafadhali.. Chiefs of contract negotiation Ndugu Lord denning na covax
 
Yan niache kujiuliza familia itakula nini nijiulize habar za mwanasheria
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali hawajibiki kwa umma moja kwa moja.
Anawajibika kwa serikali.
Ushauri wake unabaki kuwa siri kwa serikali. Hawezi akajitokeza hadharani akasema sisi AG Chambers tulishauri hivi, team ikafanya hivi.
Ni kazi ya mshauriwa kuwajibika kwa umma.
Rais ndiye anayewajibika kwa umma moja kwa moja na wasaidizi wake nao huwajibika kwake moja kwa moja.
Anayetakiwa kutoa ufafanuzi ambao ni final and conclusive ni Rais. Umma unamjua Rais, haumjui AG.
Na umma siyo serikali.
AG anaweza kuitwa na Rais peke yake au ndani ya cabinet kutoa ufafanuzi lkn umma hauwezi kumuita AG kutoa ufafanuzi. Ushauri wa msaidizi yeyote kwa Rais ni siri. Iwe ni kwenye cabinet au ushauri wa moja kwa moja.
Umma unaweza kumuita Rais wao, waliyemchagua akaunde serikali, awape ufafanuzi.
Rais anaweza akamtuma Waziri Mkuu au Waziri mwenye dhamana.
 
mbona mashairi mengi?, by virtue of his post as per article 59 (3) of the CURT, ni member of parliament , ni mbuge huyu? kwa hiyo status yake ni chameleon like, mbuge na mwanasheria mkuu, anawajibika wa umma kama mbuge, alipashwa atolee ufafanuzi huo akiwa bungeni, na tujue msimamo wa serikali, au hujui kazi ya mbuge ni nini? alifanya nini bungeni? kwa hiyo mwanasheria Johari Hamza ndio anawajibika kwa umma? au ndio msemaji wa mwanasheria mkuu? tupe rejea zako, sio siasa
 
1. Anaingia bungeni kama mwanasheria mkuu wa serikali.
2. Hamza Johari alikuwa mwenyekiti wa kikosi cha majadiliano.
3. Rejea yangu ni Katiba ya JMT. Soma katiba vizuri kwenye Baraza la Mawaziri na Kwenye Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
 
1. Anaingia bungeni kama mwanasheria mkuu wa serikali.
2. Hamza Johari alikuwa mwenyekiti wa kikosi cha majadiliano.
3. Rejea yangu ni Katiba ya JMT. Soma katiba vizuri kwenye Baraza la Mawaziri na Kwenye Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
soma katiba wewe article 59 (3) by virtue of his post ni member of parliament (status yake ni mbuge), na pili angekuwa anaingia bungeni kama mwanasheria mkuu only, asingekuwa na priviledge ya chair in the parliament, asingekuwa na kiti bungeni, angekaa sehemu ya wageni waalikwa, kama viongozi wengine walikialikwa bungeni, ni mbunge kwa mujibu wa katiba na mbunge yeyote anawajibika moja kwa moja kwa wananchi.
 
Bungeni anamwakilisha nani?
(Yule ni mbunge anayeiwakilisha serikali).
 
Bungeni anamwakilisha nani?
(Yule ni mbunge anayeiwakilisha serikali).
shida hupendi kusoma, ndio maana mnasaini mikataba ya ajabu, hadi nchi nzima tunaoneka wapuuzi kwa ujinga wa kutokujua au mnajua, katiba inasema by virtu of his post the Attorney general is the member of parliament, sasa niambia mbuge ana kazi gani? awapo bungeni?
 
Nadhani AG angeweza kuwa ameongea kama kungekuwa na shida kwenye kile lilichojadiliwa Bungeni. Ana kazi nyingi mno hawezi kuamka na kuanza kuongelea TETESI za watu kwenye mitandao wanaojadili hewa pasipo kujua wanajadili nini
 
Nadhani AG angeweza kuwa ameongea kama kungekuwa na shida kwenye kile lilichojadiliwa Bungeni. Ana kazi nyingi mno hawezi kuamka na kuanza kuongelea TETESI za watu kwenye mitandao wanaojadili hewa pasipo kujua wanajadili nini
ahsante kwa kudhani, na endelea kudhani
 
Hili goma limekaa vibaya ndo maana watu wa CCM wenye akili wamekaa kimya wamewaachia hawa machawa ambao kazi yao ni kusifu tu, kwenye hili mtake msitake lazima mchomoe hicho kimeo
 
Epuka majungu hakuna kilichouzwa. Pia Tanganyika haipo. Ilizikwa mwaka 1964 siku ilipojibadilisha jina baada ya kuinyakua Zanzibar ( in profesa Mazrui"voice).
 
Epuka majungu hakuna kilichouzwa. Pia Tanganyika haipo. Ilizikwa mwaka 1964 siku ilipojibadilisha jina baada ya kuinyakua Zanzibar ( in profesa Mazrui"voice).
nenda kwenye hoja tafadhali madalali wa mali rasilimali za mama Tanganyika, jifunze kwanza namna ya kutumia neno majungu, kama kiwahili ni shida utaweza mkataba tata ulioandikwa kwa legal jagon, ulioandikwa kidhungu na kisheria? , habari ya kuuzwa nilishaijibu sirudii, Mimi ni Mtanganyika, period, kaa na profesa wako haniusu.
 
Huyu aliwekwa kimaslahi zaidi pasipo kuzingatia uwezo. Uwezo wake ni mdogo
Nadhani AG angeweza kuwa ameongea kama kungekuwa na shida kwenye kile lilichojadiliwa Bungeni. Ana kazi nyingi mno hawezi kuamka na kuanza kuongelea TETESI za watu kwenye mitandao wanaojadili hewa pasipo kujua wanajadili nini
 
Nadhani AG angeweza kuwa ameongea kama kungekuwa na shida kwenye kile lilichojadiliwa Bungeni. Ana kazi nyingi mno hawezi kuamka na kuanza kuongelea TETESI za watu kwenye mitandao wanaojadili hewa pasipo kujua wanajadili nini
Umekuwa msemaji wake kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…