Sasa ushasema watumiaji wa JF hutumia kwa siri sana.Habari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
πΉ Ulijisikiaje?
πΉ Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
πΉBaada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! π’π
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
ππππHabari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
πΉ Ulijisikiaje?
πΉ Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
πΉBaada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! π’π
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
nyonyo kubwa kalio dogoπ€£Usije kurudi hapa ukaanza kuwaeleza wanaJF Makiwendo mwenyewe tako hanaπ€£
Yaan ni mshana tuu na paschal Mayala nadhani ndo Wana majina Yao halisiHahaha hivi ni kwa nini member huwa hawataki kufahamika uhalisia wao?
WatajeπYeah wengi tu .
Au ndo demiss chamdeko, maana hilo saga mimi lilinipita sikujua hata nini kilitokea...Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.
Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
HujakoseaKuna kasauti kaniambiaga wewe ndio yeye etiπ€
ππππKuna kasauti kaniambiaga wewe ndio yeye etiπ€
Mm huwaga sijifichi kufungua JF, nafungua kokote, ofisini, barabarani, Club, kanisani, Kweny Party kokote nafungua, ila cha kushangaza sijawahi ona mtu mwingine yoyote akitumia JF hadharani.
Na kwa watu ninaojuana nao kila mtu anajua natumia JF, maana ukikaa na mm tukipiga story then story zikiisha, ntachukua simu ntaingia JF.
Kuna siku nilifungua JF kweny watu wengi sasa kuna jamaa akawa anaangalia sana simu yangu, yaan anatoa macho knoma anataka kujua kinachoendelea kweny screen, nikamsoma nikasema kimoyomoyo huyu ni familia na anataka kujua ID yangu, nikapunguza brightness hadi mwisho, nikaona kapuuzia.
Daaah aisee ni vibaya sanaaπ€£π€£π€£Kwenye usafiri wa umma nikamwona mmama anasoma uzi wa kula tunda kimasihara, nilisikitika sana...
πππππππKuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.
Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Chizi MaarifaNilikutana na Chizi Maarifa. Aisee, nitajibu maswali yako.