Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Habari za muda huu wanajamvi!

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?

Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana

Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.

#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Sasa ushasema watumiaji wa JF hutumia kwa siri sana.

Utajuaje huyu ni member wa JF na huyu si member wa JF?
 
Hongereni wote mlioweza kukutanishwa na JF 👏👏

Miaka ya zamani watu waliweza kukutanishwa kupitia events za JF parties kupitia mikoa mbalimbali waliopo.

Baada ya kuasisiwa hizi Siasa za Chuki na kutekana, wengi wanaogopa kukutana na kufahamiana tena.

Tukutane kwenye mabasi,Ndege, Treni ama kwenye viwanja vya Gymkhana tukicheza Golf pasipo kutambuana kwamba huyu Mzee aliyenifunga ndiyo Mzee Grahams 🤗
 
Habari za muda huu wanajamvi!

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?

Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana

Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.

#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
😂😂😂😂
 
Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.

Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Au ndo demiss chamdeko, maana hilo saga mimi lilinipita sikujua hata nini kilitokea...
 
Nimekutana nao wengi sana hata jumapili ile iliyopita nilikuwa na mmoja kwenye biashara fulani,nilichoweza kuwashinda ni wao kutonitambua kwa namna yoyote ile na hili nimeliweza kwa sababu mara zote sikuwa interested kutaka kuwajua na wasijue kama nawajua ila mmoja tu nilijichanganya baada ya kufanya nae kazi zaidi ya mara moja.

Ila nilichogundua kupitia niliokutana nao,humu mtu ukipachukulia serious kuna mambo mengi mazuri sana.nimekutana na washauri wa ujenzi,nimepata kununua vitu vizuri sometimes kwa bei za offer pia kushauriana mambo mengi sana na watu smart waliopo humu.
 
Mm huwaga sijifichi kufungua JF, nafungua kokote, ofisini, barabarani, Club, kanisani, Kweny Party kokote nafungua, ila cha kushangaza sijawahi ona mtu mwingine yoyote akitumia JF hadharani.

Na kwa watu ninaojuana nao kila mtu anajua natumia JF, maana ukikaa na mm tukipiga story then story zikiisha, ntachukua simu ntaingia JF.

Kuna siku nilifungua JF kweny watu wengi sasa kuna jamaa akawa anaangalia sana simu yangu, yaan anatoa macho knoma anataka kujua kinachoendelea kweny screen, nikamsoma nikasema kimoyomoyo huyu ni familia na anataka kujua ID yangu, nikapunguza brightness hadi mwisho, nikaona kapuuzia.

Kwenye usafiri wa umma nikamwona mmama anasoma uzi wa kula tunda kimasihara, nilisikitika sana...
Daaah aisee ni vibaya sanaa🤣🤣🤣
 
Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.

Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom