Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Sasa mbona ulikuwa unakataa na hapa unakubali?
Anyway siku njema.

Nimekataa kusema nawakandia ninyi wakati sivyo.

Mimi kuwaambia single mother watafute pesa ndio kuwakandia?
Kuhusu ukweli wa ninyi kutokupewa kipaombele kwenye mahusiano na vijana below 40 Hilo liko duniani kote. Sio Tanzania tuu.

Ndio maana nikawapa ushauri wa Bure. Sasa kumbe Mimi ndio mbaya tena
 
Kumbe ni hivi? Iwapo ni hivyo, basi Watu hawa hawako sahihi hata kidogo, kwani ikiwa ni hivyo, basi ni unyanyasaji wa grade ya juu kabisa. Sasa ngoja hawa nije niandae mkutano online niwaalike walete hoja zao hizo Ili niwasikilize niwaelimishe jinsi gani hawatendi haki kabisa na asiyetenda haki anarudisha nyuma maendeleo na ustawi wa jamii, hana analoboresha.

Msife moyo, mjiamini tena mjiamini kwamba, kuwa mzazi mmoja pale inapokuwa haikwepeki siyo dhambi kiasi kuwa binadamu mwingine akunyanyase.

Narejea sasa kutoka Sikonge, Wana sikonge oyeee...
 
Kabisa mama
Andaa mkutano wa online uwaelimishe hao wenye imani potofu.

Oyeeee....
Japo mimi kwetu ni Kaliua hukohuko Tabora
 
KATIKA HARAKATI ZANGU ZA UDALALI WA NYUMBA HAPA MOSHI nakutanaga na wadau aseeeeeee wengi wa humu humu jf wakihitaji makazi hata fremu............................ ila ni watu wa zito balaaaa ....mara manager wa benki mara ABC hahahaah sema ndo life lilivyo
 
Katrina katrina katrina, utanifanya nikose uteuzi
 
Umeandika kama mtoto
 
We mtoto acha kulialia humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…