Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Au ndo demiss chamdeko, maana hilo saga mimi lilinipita sikujua hata nini kilitokea...
Yaani kama utakumbuka ilikuwa ni balaa.
Watu walikuwa online hata kula nahisi walisahau.
Yule dada kila akitaka kujitetea, picha zaidi zinatumwa na mbaya zaidi kuna watu walikuwa wanamfahamu kumbe yaani ilikuwa ni vita muraaaa!!!!

Kipindi kile wanawake humu walidhalilika sana, hv unakumbuka sakata la 🦧na ile pisi watu walisema anaishi majuu kumbe yuko Ubungo na ni muhudumu pale Riverside bar?
Wanajf walienda mpaka kwenye ile bar kumpiga picha.
Ila wanaume wa Jf🙌🙌🙌🙌🙌

Pia kuna ile ya kualikwa nyumbani kwa member kisha mgeni akapiga picha muonekano wa chumba kuanzia ndani mpaka nje kisha watu wakaja kuvuana nguo hapa jukwaani?
Zamani ilikuwa raha sana
Afu kipindi kile ma-modereta walikuwa hawafuti post, mnachambana mpaka mmoja aibuke mshindi😂😂😂
 
Mimi uwa najiachia sana popote pale, mwaka huu mwezi wa 4 nilikuwa maeneo ya mlimani city kuna mzigo nilienda kununua sas wakati wanafanya packing nkakaa kwny kiti nikawa napitia humu kuna mdada alikuja akaona nikiwa naperuzi aliachia tabasam kisha akanambia nafurahi kukutana na member mwenzangu akanipa mkono akaondoka ila sijui alijua ID yangu coz uwa i don't care hata mtu ajue ila sikumjua yeye anatumia ID gan ni pisi haswaa kama upo please najua utakumbuka ili tukio.
 
Utoto mwingi na ujinga pia ulichangia kuwaza kumfanyia ivo huyo pisi kali
Kipindi hiko jukwaa la moto.
Yaani mtu akijifanya pisi kali, wanaume wanajichanga anatafutwa mmoja kuwakilisha, kikinuka sasa jukwaani hapatoshi😂

Sema ndio hivo, ni ujinga ushamba na ulimbukeni tu kwa baadhi ya watu.
Kipindi hiko yaani ukikosa hata robo saa jukwaani ujue umepitwa na vingi😆😆😆😆😆
 
Hapo mwisho wa maelezo yako unaweza kuwa umeelewa nilichomaanisha...Mwanaume kutoa picha za mgomvi wake ili iweje...

Ukifuatilia hata Drama nyingi humu wanaume ndiyo huwa wanazileta..kaenda kakutana na KE wa JF anarudi jukwaani kuanza kumtoa kasoro na mengineyo....kitu ambacho kwa KE wa JF ni nadra sana kukiona
Ndio, ni ulimbukeni wa mapenzi
Mbona watu tunamalizana kimya kimya?
Tatizo kuna wadada walikuwa wanajiona malaika na hao ndio walikuwa wanatafutwa😂
 
Yaani kama utakumbuka ilikuwa ni balaa.
Watu walikuwa online hata kula nahisi walisahau.
Yule dada kila akitaka kujitetea, picha zaidi zinatumwa na mbaya zaidi kuna watu walikuwa wanamfahamu kumbe yaani ilikuwa ni vita muraaaa!!!!

Kipindi kile wanawake humu walidhalilika sana, hv unakumbuka sakata la 🦧na ile pisi watu walisema anaishi majuu kumbe yuko Ubungo na ni muhudumu pale Riverside bar?
Wanajf walienda mpaka kwenye ile bar kumpiga picha.
Ila wanaume wa Jf🙌🙌🙌🙌🙌

Pia kuna ile ya kualikwa nyumbani kwa member kisha mgeni akapiga picha muonekano wa chumba kuanzia ndani mpaka nje kisha watu wakaja kuvuana nguo hapa jukwaani?
Zamani ilikuwa raha sana
Afu kipindi kile ma-modereta walikuwa hawafuti post, mnachambana mpaka mmoja aibuke mshindi😂😂😂
Tatizo huanza mnakutaka kwa ajili ya nini. Mimi kuna watu kibao tumefahamiana kupitia humu na wote ni watu wema. Mambo ya kuwinda mademu na kutambiana maisha ndo huwa chanzo cha hayo yote.

Wanajf wakiamuaga jambo lao huwa ni balaa, kuna yule mwamba wa kuitwa Parabora alikuwa kila siku anatutambia kuwa yupo Uswiss sijui Canada. Kuna siku watu wakamstukia, aloo. Alijuta na kuanzia siku hiyo sijawahi kumwona tena...
 
Yaani kama utakumbuka ilikuwa ni balaa.
Watu walikuwa online hata kula nahisi walisahau.
Yule dada kila akitaka kujitetea, picha zaidi zinatumwa na mbaya zaidi kuna watu walikuwa wanamfahamu kumbe yaani ilikuwa ni vita muraaaa!!!!

Kipindi kile wanawake humu walidhalilika sana, hv unakumbuka sakata la 🦧na ile pisi watu walisema anaishi majuu kumbe yuko Ubungo na ni muhudumu pale Riverside bar?
Wanajf walienda mpaka kwenye ile bar kumpiga picha.
Ila wanaume wa Jf🙌🙌🙌🙌🙌

Pia kuna ile ya kualikwa nyumbani kwa member kisha mgeni akapiga picha muonekano wa chumba kuanzia ndani mpaka nje kisha watu wakaja kuvuana nguo hapa jukwaani?
Zamani ilikuwa raha sana
Afu kipindi kile ma-modereta walikuwa hawafuti post, mnachambana mpaka mmoja aibuke mshindi😂😂😂
ILa demiss alikuwa wa moto na mcheshi sana kabla lile jambo kutokea,kulichangamka sana humu kipindi kile, nakumbuka hadi akaunti yake ya facebook tuliitembelea kuona picha.
 
Back
Top Bottom