mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,266
- 4,057
Akili za kuambiwa changanya na zako mwambaHahah sawa mkuu ngoja nifate ushauri wako huwenda kina dronedrake wanatusnitch wana 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kuambiwa changanya na zako mwambaHahah sawa mkuu ngoja nifate ushauri wako huwenda kina dronedrake wanatusnitch wana 😂
Napita kijana wangu 😂Baadhi niliosoma nao najua ID zao ila wao hawajui kama Mpaji ndo ID yangu ya humu nawazoom tu
Moja ni mwanaharakati humu nimewahi kutana nae tuliishia kupiga story
Dada yenu mmoja humu nliwahi onana nae Mlimani City wazeee ni Pini ya maaana nliishia kupiga nae story
Dah aisee kumbe watu wapo serious hivi na mahusiano!!?Mambo ya ndoa, mkewe alikuwa nyanda za juu kusini huko sijui ndio kisa kilianzia huko. Uzi wake wa msiba umo humu jf ila siukumbuki title yake, unaweza utafuta unaelezea mkasa wake. Nilisikitika sana kwa kifo chake ukizingatia ni mtu niliyekwisha muona ana kwa ana. I think id yake ilikuwa shayo ama shio, sina uhakika bado jina limenitoka
Mafwele humpati mtu.nitakutana nao soon ndipo nitapata fursa nzuri zaidi ya kueleza walivyo na tumezungumza nini 🐒
Mtu wa Mfumo.Sina nafasi yoyote mkuu ila nipo kama sipo.
Ni lenyewe phala hiliKuna kasauti kaniambiaga wewe ndio yeye eti🤔
Nipigieeee nijitayarishe nipigie kwenye my yas kwingine sipatikaniii 😹Uwe tayari tu.
Nipo naelekea TACRI kula ndiziNapita kijana wangu 😂
Napiga vdo call hupokei!Nipigieeee nijitayarishe nipigie kwenye my yas kwingine sipatikaniii 😹
Kumbuka kua wife wako nae ana marafiki zake pia anao waamini,Mimi simu yangu hashiki mtu zaidi ya wife
ulirogwa wakati wa Ibada inaendelea gentleman ndiyo maana una mawenge ya aina hiyo 🐒Mafwele humpati mtu.
Nakwambieje hukamati mutu Babu.😂
Huwa nadonoa donoa some hints hope before end of this December ntapata wasaa kwa utulivu ntaandikaMkuu habari.....
kindly, ulichapisha comment kwenye uzi mmoja ukisema utaandaa baadhi ya info za pharmaceutical industry... Nauliza ulichapisha huo uzi if yes naomba nitag nikaupitie.. good luck
Hahaaahaaaa....🤣Wewe tena ndio unafahamiana na watu wengi sana humu kuliko wana Jf wengi,na kama ningekutana na mtu humu basi ungekuwa wa kwanza, miaka mingi tuliweka miadi kuhusu kuja kuona nyumba niliyokuwa naiuza Dodoma, bahati mbaya mambo yakaingiliana nikashindwa kutokea. Nakumbuka ulinieleza jinsi ulivyokuwa dissapointed!.
Kuvaa sare za Kijani Kama Mami wata ( Malkia wa Majini ) nayo ni ibada na makada mmerogwa vibaya sana.ulirogwa wakati wa Ibada inaendelea gentleman ndiyo maana una mawenge ya aina hiyo 🐒
Nimewala sana mademu wengi wa Jf kwa kutumia Id nyingine ambayo ni maarufu sana humu ndani.Habari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako