Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Mambo ya ndoa, mkewe alikuwa nyanda za juu kusini huko sijui ndio kisa kilianzia huko. Uzi wake wa msiba umo humu jf ila siukumbuki title yake, unaweza utafuta unaelezea mkasa wake. Nilisikitika sana kwa kifo chake ukizingatia ni mtu niliyekwisha muona ana kwa ana. I think id yake ilikuwa shayo ama shio, sina uhakika bado jina limenitoka
Dah aisee kumbe watu wapo serious hivi na mahusiano!!?
 
Mkuu habari.....

kindly, ulichapisha comment kwenye uzi mmoja ukisema utaandaa baadhi ya info za pharmaceutical industry... Nauliza ulichapisha huo uzi if yes naomba nitag nikaupitie.. good luck
Huwa nadonoa donoa some hints hope before end of this December ntapata wasaa kwa utulivu ntaandika
 
Nilikutana na mwana jf kwenye mauzo ya bidhaa yangu baada ya kuinadi jukwaani. Alikuja hadi kwangu nikampa bidhaa nikapokea mpungu akasepa, hakuwa na mambo mengi na alionyesha ustarabu sana .

Sikumjua ni nani kwa id mana niliweka namba tu na jamaa alinipgia. ila yeye alinijua fika, 2018 hiyo.

Ila wengi nawaona kwenye daladala na japo sijaona id zao
 
Wewe tena ndio unafahamiana na watu wengi sana humu kuliko wana Jf wengi,na kama ningekutana na mtu humu basi ungekuwa wa kwanza, miaka mingi tuliweka miadi kuhusu kuja kuona nyumba niliyokuwa naiuza Dodoma, bahati mbaya mambo yakaingiliana nikashindwa kutokea. Nakumbuka ulinieleza jinsi ulivyokuwa dissapointed!.
Hahaaahaaaa....🤣
 
Habari za muda huu wanajamvi!

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?

Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana

Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.

#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Nimewala sana mademu wengi wa Jf kwa kutumia Id nyingine ambayo ni maarufu sana humu ndani.

Pia nimekutana na wanaume wenzangu kadhaa humu ndani wenye heshima zao ila katika uhalisia hawajiheshimu , ni waongowaongo na matapeli ukikaa vibaya mara mia hata demu wa Jf ukiwa mwanaume anakupa pussy.

Nb: nashangaaga sana wale wanaotafuta wake Jf
 
Back
Top Bottom