Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kuna siku niliokota shilingi 60 uwanja wa mpira. Nilijisikia kama mfalme wiki nzima.Ukibana matumizi unabaki na akiba kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku niliokota shilingi 60 uwanja wa mpira. Nilijisikia kama mfalme wiki nzima.Ukibana matumizi unabaki na akiba kabisa
Binafsi niliwahi kuokota shilingi hamsini, ilikuwa tunasafisha darasa. Nikawa nina hofu sana kumiliki ukwasi mkubwa kiasi kile hadi kufikia hatua ya kuwa rank moja kiuchumi na afisa elimu 😂😂😂.. ilibidi niwatonye wanangu wawili ili tukapondeKuna siku niliokota shilingi 60 uwanja wa mpira. Nilijisikia kama mfalme wiki nzima.
Enzi zile mtoto ukimiliki shilingi hamsini au sitini inabidi uifiche, kwa sababu ikijulikana una hela hiyo kitu cha kwanza watu watafikiri ni kwamba umeiba tu hiyo hela.Binafsi niliwahi kuokota shilingi hamsini, ilikuwa tunasafisha darasa. Nikawa nina hofu sana kumiliki ukwasi mkubwa kiasi kile hadi kufikia hatua ya kuwa rank moja kiuchumi na afisa elimu 😂😂😂.. ilibidi niwatonye wanangu wawili ili tukaponde
niliwahi kuokota sarafu, ebwanae ile wiki haikuisha nilitokewa nundu ngumu kichwani nkajua enhee ile ela imeniponza😆kumbe ilikuwa jipuBinafsi niliwahi kuokota shilingi hamsini, ilikuwa tunasafisha darasa.
Ulianza kuhisi ndugu wameanza kukuroga baada ya kufanikiwaniliwahi kuokota sarafu, ebwanae ile wiki haikuisha nilitokewa nundu ngumu kichwani nkajua enhee ile ela imeniponza😆kumbe ilikuwa jipu
Umenikumbusha tamthiliya ya miaka ya nyuma iliyoandikwa na Mbunda Msokile inaitwa usiku utakapokwisha ndani yake kulikuwa na nukuu inayohusu maswala ya madala yaani pesa, nukuu inasema.Liliitwa dala kwa sababu thamani yake ilikuwa sawa na US dollar moja.
Na hiyo ndiyo ilikuwa nauli ya kwanza ya "Daladala", nauli ilikuwa hiyo "dala" ndiyo maana mabasi yakaitwa "daladala".
Makondakta walikuwa wanatangaza nauli "dala dala" ndiyo jina la mabasi likapatikana.
😆sana aiseeUlianza kuhisi ndugu wameanza kukuroga baada ya kufanikiwa
Hahahahaha daah kwanini mzeee😂😂😂Ili nchi ipate katiba mpya inabidi kizazi chote kilichotumia hizo sarafu kifutike kwenye uso wa dunia yaani kife
HaaahaaNiliwahi kuhonga demu wa utotoni/ujanani senti 5. Hela yenyewe niliiokota! Kweli muda umesonga . Shikamoo zinazidi kuongezeka kila siku!