Je, una imani na jeshi la polisi kuomba escort unapokuwa na fedha au madini?

Je, una imani na jeshi la polisi kuomba escort unapokuwa na fedha au madini?

Daah kesi ya Mtwara bado ipo mbichi harafu tena uwatumie Wauaji kupeleka dhahabu kupimwa ni bora ukakutane na majambazi Road kuliko ukasafiri nao huku wakiwa na uhakika wa Mzigo waliobeba na ukienda kutoa taarifa kesi unapewa nyepesi mno maana mashahidi ni wenyewe.

Mtuhumiwa aliiba dhahabu na kutaka kuwatoroka Polisi kwenye kizuizi na siraha itawekwa ubaoni kama kidhibiti ndugu watagomea kuchukua maiti mpaka ipimwe ila baadae watachukua tuu na ndio mwisho wa Movie yenyewe.
 
Mawazo/ushauri wake ni mzuri tunauheshimu wote lakini unakuja wakati jeshi la polisi wanazo damu za watu mikononi mwao, umekuja wakati sio sahihi kwa jeshi la polisi.

Fikilia raia kufia mikononi mwao

Yule kijana mpambanaji wa Mtwara ndoto zake zikifikishwa mwisho na hao jamaa japo haijadhibitishwa lakini kutuhumiwa tu hiyo ni kupoteza imani,

Juzi tu hapa mlinzi kala chuma hapo kwa Chalamila.

Polisi hao hao mara wanakamatwa wakisindikiza madawa ya kulevya

Raia anakamatwa na polisi anafikishwa kabisa kituoni mara mnaambiwa kafa sababu et kajinyonga kwa dekio!! aisee kwa selo zetu hizi za bongo inawezekanaje wakati selo zimejaa watuhumiwa!!

Polisi anakuja kukamata mtu kama anakamata jambazi wakati ni raia tena mtuhumiwa tu.


Acha nife nazo lakini sio kwenda kukitafuta kifo kibaya
 
Daah kesi ya Mtwara bado ipo mbichi harafu tena uwatumie Wauaji kupeleka dhahabu kupimwa ni bora ukakutane na majambazi Road kuliko ukasafiri nao huku wakiwa na uhakika wa Mzigo waliobeba na ukienda kutoa taarifa kesi unapewa nyepesi mno maana mashahidi ni wenyewe...

Mtuhumiwa aliiba dhahabu na kutaka kuwatoroka Polisi kwenye kizuizi na siraha itawekwa ubaoni kama kidhibiti ndugu watagomea kuchukua maiti mpaka ipimwe ila baadae watachukua tuu na ndio mwisho wa Movie yenyewe...
Wizi ni tabia ya mtu na sio tabia ya Jeshi.
 
sasa wakiomba escort gharama ya kulipia hiyo escort itatoka wapi? Kwanza haitakiwi mtu mwingine ajue nina kiasi gani cha pesa nasafirisha. Je hao polisi wakiingiwa na tamaa usalama wangu na pesa zangu utakuaje? Labda niandae bajeti ya kulipia hiyo escort na niridhike nitakuwa salama mimi na fedha zangu
 
Daah kesi ya Mtwara bado ipo mbichi harafu tena uwatumie Wauaji kupeleka dhahabu kupimwa ni bora ukakutane na majambazi Road kuliko ukasafiri nao huku wakiwa na uhakika wa Mzigo waliobeba na ukienda kutoa taarifa kesi unapewa nyepesi mno maana mashahidi ni wenyewe...

Mtuhumiwa aliiba dhahabu na kutaka kuwatoroka Polisi kwenye kizuizi na siraha itawekwa ubaoni kama kidhibiti ndugu watagomea kuchukua maiti mpaka ipimwe ila baadae watachukua tuu na ndio mwisho wa Movie yenyewe...
Kuna kaukwel ndan yake
 
Habari Wakuu!
Binafsi naomba nichangie hivi,

Kutokana na mfululizo wa matukio ya hivi karibu kutoka kwa Jeshi la Polisi sina imani kabsa na escort yao, kwani imani yangu ni ndogo kama umepata kutazama tamthilia ya The Kill Point ndo uhalisia wa maisha sasa hivi. Sio Polisi wa Tanzania tu hata Marekani, pesa ama madini ni yangu hivyo ni juu yangu kutafuta ulinzi kutoka makampuni binafsi ya usalama kama GardaWorld na mengine ambayo yanaweza kutoa huduma hiyo kwa ufanisi zaidi.

Kwa mtu ambaye ana macho na masikio sio mara ya kwanza au ya pili kuona polisi wakibariki matukio ya ovyo sana kwenye ulinzi na usalama. David Mack alikuwa ni polisi ila alikwenda kuiba zaidi ya 1,812,220,000 kwa pesa za madafu, André Stander alikuwa ni polisi ila aliwatesa Waafrika kusini balaa. Sina imani kabsa na mtu linapokuja suala la fedha au mali yangu.
Point
 
sasa wakiomba escort gharama ya kulipia hiyo escort itatoka wapi? Kwanza haitakiwi mtu mwingine ajue nina kiasi gani cha pesa nasafirisha. Je hao polisi wakiingiwa na tamaa usalama wangu na pesa zangu utakuaje? Labda niandae bajeti ya kulipia hiyo escort na niridhike nitakuwa salama mimi na fedha zangu
Hata BOT escort wanalipia. Hata serekali yenyewe kutoka benki kwenda halmashauri tu, ndani ya KM 01 tunalipa escort kwa polisi ili tuwe salama, na hatujawahi pata shida kwa uwepo wao, lakini watu kila siku wanalizwa na pesa zao hapa hapa mtaani wakitoka kuchukua pesa benki.
 
Jeshi la polisi lina kazi kubwa sana kurudisha imani ya wananchi. Naona hata hawajishughulishi na hilo hata yakitokea matukukio mabaya yanayo wahusu.
 
Back
Top Bottom