Je, una imani na jeshi la polisi kuomba escort unapokuwa na fedha au madini?

Je, una imani na jeshi la polisi kuomba escort unapokuwa na fedha au madini?

Kuna kitu aidha huekilewi au umeamua tu kujifanya hukielewi.
Sio sikielewi, tabia ni kitu kingine na kazi ni kitu kingine. Tatizo letu kila kitu tz kwa polisi ni kibaya.
Polisi tz tumewaweka kwenye fungu la kukosa, ila Mungu hajawaandikia siduri kua wao fungu lao ni la kukusa.
 
Sio sikielewi, tabia ni kitu kingine na kazi ni kitu kingine. Tatizo letu kila kitu tz kwa polisi ni kibaya.
Polisi tz tumewaweka kwenye fungu la kukosa, ila Mungu hajawaandikia siduri kua wao fungu lao ni la kukusa.
Sawa Afande
 
Katika watu ambao hawana bahati nchi hii, No.
1) Polisi. Kuanzia utotoni hadi unakua, malezi tunayopewa ni kuwa Polisi sio mtu kabisa. Kila ukoseapo ktk makuzi yako, fimbo NITAKUITIA POLISI, NITAMUAMBIA POLISI au NITAKUPELEKA POLISI. Kwamba polisi ni kitu/dude/jitu moja baya sana.
Hii hupelekea mtu ukimuuliza kwa nini unachukia polisi, hana sababu yeye akiliyake ni kumchukia polisi tu, ndio amekulia ktk maisha hayo.
2) Wasukuma. Wanaonekana watu wa hovyo kila kitu kimewapita kushoto, yani hawajui kila kitu, lakini hao ndio wakurugenzi maofisini.
3) Wamasai. Hawatakiwi hata kuja mjini.
 
Mimi kama mhanga wa hili sishauri raia kuomba escort,kusafirisha pesa ni salama kamahujashirikisha watu wengine,lakini kumshirikisha polisi ni hatari zaidi kuliko kutembea bila polisi na ukakutana na majambazi yakitaka kukupola ,na ukapambana mwenyewe,maana majambazi yanaweza ondoka na pesa na kukuachia roho yako,polisi wanaondoka na pesa pamoja na roho yako,jeshi letu limejaa watu wahuni,hawana utu wala huruma leo hii ulishirikishe kwenye kusafirisha pesa!? Wanataka mauaji yaongezeke au
 
Mimi kama mhanga wa hili sishauri raia kuomba escort,kusafirisha pesa ni salama kamahujashirikisha watu wengine,lakini kumshirikisha polisi ni hatari zaidi kuliko kutembea bila polisi na ukakutana na majambazi yakitaka kukupola ,na ukapambana mwenyewe,maana majambazi yanaweza ondoka na pesa na kukuachia roho yako,polisi wanaondoka na pesa pamoja na roho yako,jeshi letu limejaa watu wahuni,hawana utu wala huruma leo hii ulishirikishe kwenye kusafirisha pesa!? Wanataka mauaji yaongezeke au
Unadanganya umma. Wewe uliomba wapi escort ya polisi wakachukua pesa zako na uhai wako?
 
Huu mtego ndo ulimuumiza hamza
Hamza alistahili kupata kile alichokipata kwa mujibu wa imani yake. Imani yake inamruhusu kulipa kisasi ila kwa sharti ulipe kisasi kwa yule tu alie kukosea.
Hukmu ya mtu aliyeuwa nafsi isiyopaswa kuuliwa kwa makusudi basi naya auliwe. Hamza alipaswa kupata kile alichokipata kwa kuuwa nafsi isiofaa kuuliwa maana aliowauwa hawakumkosea.
 
Kama hujui kitu pita tuu braza kama hujui kero za polisi unataka nikuelezee kama upo China ?
Hiki kitu nilishakiongea ya kuwa. Kumbe na wewe ni miongoni mwa hao.
Unamchukio Polisi bila sababu ya msingi kisa akili ilishalishwa sumu kua polisi ni mbaya. Kakukusea nini, hakuna alichonikosea, shida nini wa tz?
 
Hata BOT escort wanalipia. Hata serekali yenyewe kutoka benki kwenda halmashauri tu, ndani ya KM 01 tunalipa escort kwa polisi ili tuwe salama, na hatujawahi pata shida kwa uwepo wao, lakini watu kila siku wanalizwa na pesa zao hapa hapa mtaani wakitoka kuchukua pesa benki.
pale benki kuna mijitu huwa inasimama kwenye foleni ikikaribia atm inarudi nyuma inaacha nafasi kadhaa mbele ijazwe na wa nyuma yake, kumbe huwa inasikilizia mlio wa atm ikilia muda mrefu inajua hapo zimetoka hela nyingi na itaanza kukufuatilia wewe uliyotoa hela nyingi wakutapeli. Kuweni waangalifu na watu wanaojirudisha nyuma ya mstari wanabaini nani kadroo hela nyingi
 
Back
Top Bottom