Je, una imani na Jeshi la Polisi?

Una imani na utendaji wa Jeshi la polisi?


  • Total voters
    111
Naliamini.siyo kila mahali ni wabovu kwani ingelikuwa hivyo hata amani hii kidogo tuliyonayo isingelikuwepo.

Amani kidogo tuliyonayo ni kwa sababu watatnzania ni wastaarabu tu, Lakini Police ndio wavuruga amani nambari one hapa nchini wakitumiwa na Chama Cha Majambazi
 

Aidha utafiti huu ni wauongo au mtafiti hajui kanuni za utafiti au kitu anachotafiti. Subject ya utafiti wake ni mahusiano ya vyombo vya dola na raia ila anaomba wachangiaji waeleze imani yao kwa jeshi la polisi. Mpunga na mafenesi.

Je vyombo vya dola ni polisi tu? Iweje maoni ya polisi ndio yatumike kutoa matokeo ya utafiti kwa vyombo vingine?

Je mtafiti anatolea maelezo gani juu ya wachangiaji au watoa maoni wa JF wanaotumia ID zaidi ya moja?

Je mtafiti anatueleza nini juu ya sampling techniques ya utafiti wake?

Je mtafiti ataomba maoni ya polisi kwenye utafiti wake au polisi hawatakiwi kuwa sehemu ya utafiti huu?

Je matokeo ya utafiti huu yatasaidia kufanya maamuzi gani na chombo gani kitafanya maamuzi haya?

Je utafiti huu unadhaminiwa na nani?

Kama maswali haya hayana majibu au haya hitaji majibu nadhani utafiti huu utakuwa ni uchochezi ambao unaweza kuvaa sura ya ugaidi au uhaini.
 
Mimi naliamini Jeshi la polisi kwa 5%.

Na hiyo asilimia 5 nagawa kama ifuatavyo:
1. 2% kwa ajili ya kulinda msafara wa Rais
2. 2% kwa ajili ya kukimbiza mwenge
3. 1% kwa ajili ya kupiga doria kwa RC na Majaji
 
Amani kidogo tuliyonayo ni kwa sababu watatnzania ni wastaarabu tu, Lakini Police ndio wavuruga amani nambari one hapa nchini wakitumiwa na Chama Cha Majambazi
Usijidanganye ndugu yangu.sisi siyo wastaarabu wa kiasi hicho.mfano mzuri Angalia tunavyofungana barabarani hata Kama taa zinaongoza Magari asipokuwepo Askari wa usalama barabarani ni lazima tutafungana hapo kati kati.huo ndo ustaarabu wetu?
 
 
..............Hawa jamaa nawaamini 10% kwa utendaji mzuri na 90% kwa rushwa, ujambazi, wizi, uzuzu, kutumiwa ovyo na CCM, Mauaji, Ulevi, Upeo mdogo, Udhaifu, uvunjifu wa amani na haki za binadamu, unyanyasaji, kutojitambua n.k
 
mimi nawapa asilimia 10 na hii ni kwa ajili ya wale tu polisi wanaopokea matatizo mapokezi wanafanya kazi yao vizuri kuwapokea watu wenye kuleta matatizo baada ya hapo kinachofatia ni ubabaishaji tu.
 
Naliaminia kwa asilimia 100 kwa ufafanuzi huu:

1.Ni watekelezaji wazuri wa maagizo/amri kutoka kwa wakubwa wao (NIDHAMU) -60%
2.Wengi walijiunga na jeshi hilo kwa kuwa hawakufaulu vizuri elimu yao (UELEWA MDOGO) - 20%
3.Hawafundishwa namna nyingine ya utendaji kazi (Hawajui ni kwanini wao wapo) - 10%
4.Kupora na Rushwa ni kwa ajili ya kujikimu kwakuwa maisha magumu (kota wanazoishi pamoja na mishahara yao zinadhihirisha hilo) - 5%
5.Kupiga watu wameruhusiwa na PM na ndio kazi ya rungu (RUNGU NI SEHEMU YA SARE YA POLISI) - 5%
 
10% . Polisi wanadhani wao wako juu ya sheria, hawaheshimu haki za binadamu, hupiga WATUHUMIWA VIBAO hata kama tayari wapo under arrest kitu ambacho ni KINYUME NA SHERIA, RUSHWA isiyomithilika nk
 
mimi nawapa asilimia 10 na hii ni kwa ajili ya wale tu polisi wanaopokea matatizo mapokezi wanafanya kazi yao vizuri kuwapokea watu wenye kuleta matatizo baada ya hapo kinachofatia ni ubabaishaji tu.
 
Inategemea imani ipi,kama ni
1. kuua raia imani yangu 100%
2.kulinda raia na mali zao 0.5%3.kujihusisha na madawa ya kulevya ni 100%
4.Kubambikizia watu gesi naamini kwa 100%
5.Uzinzi nina imani kwa 75%
6.rushwa nina imani kwa 100%
7.Wizi kushirikiana na majambazi ni 80% n.k
 
Inategemea imani ipi,kama ni
1. kuua raia imani yangu 100%
2.kulinda raia na mali zao 0.5%3.kujihusisha na madawa ya kulevya ni 100%
4.Kubambikizia watu kesi naamini kwa 100%
5.Uzinzi nina imani kwa 75%
6.rushwa nina imani kwa 100%
7.Wizi kushirikiana na majambazi ni 80% n.k
 

kwangu mimi ni 0%, wote wanatumikia CCM na wananuka Rushwa.
 
Nikiwapa 0% nitakuwa nimeongopa mbele za Bwana.Nawapa -100%(I mean negative a hundred percent)
 
0.1% na hii ni kwa sababu ya ndugu yangu ambaye polisi'
 
Labda magereza naweza waamini zaidi kwani ni mara chache wafungwa kutoroka au mahabusu.

Jeshi la Polisi No kwani ni katika kipindi hiki usalama wa raia uko mashakani kuliko kipindi kingine chochote ktk historia ya nchi yetu. "Pale Polisi wanapoaumua maksudi kuwaua raia tena kwa bomu badala ya kuwalinda lazima turudi kwenye drawing table na maswali mengi ya kujibu na sio blah blah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…