Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba mpyaKiufupi Tanzania inahitaji revanmping kubwa sana kwenye mifumo ya kiutawala. Bila kufumua hii mifumo iliyoota mizizi hatutatoboa.
Kipindi limevunjwa na wakati wa mchakato wa kuliunda tena nani atakuwa anasimamia ulinzi na usalama? Mawazo mfu haya. Pendekeza mageuzi na maboresho unapoona pana kasoro ila kulivunja haiwezekaniNahisi wananchi walio wengi wamepoteza imani kwa jeshi lao la polisi,ni bora taratibu zikafuatwa na jeshi hili likavunjwa na kuundwa upya,hata yale maelezo wanayoyatoa Polisi hawa baada ya tukio na wao wakiwa ndio wasemaji wakuu katika kutoa maelezo yawe ya wizi,ya ubakaji,ya mauaji ya uchaguzi ,kwa kweli wananchi walio wengi wanawabeza na kurusha madongo.
Nahizi sio vizuri kwa jeshi hili kuwepo kama lilivyo linahitaji ukarabati wa uweledi sana,maana kwa masikizi ya wananchi hili jeshi ni mzigo usio na faida,hata wakuu wa polisi kama wataweza kusema ukweli bila ya shaka yeyote watakuwa na la kusema juu ya imani ya wananchi dhidi yao.tulimsikia mmoja juzi akitoa maelezo mengi,,huku akionesha kusikitika kuwa huko mitandaoni kunasemwa hili na lile,wananchi mitaani wanasema hivi na hvyo,mradi alisikitika sana kwa kuona wananchi hawana imani na yale wanayoyatenda.
Nahisi wananchi walio wengi wamepoteza imani kwa jeshi lao la polisi,ni bora taratibu zikafuatwa na jeshi hili likavunjwa na kuundwa upya, hata yale maelezo wanayoyatoa Polisi hawa baada ya tukio na wao wakiwa ndio wasemaji wakuu katika kutoa maelezo yawe ya wizi,ya ubakaji,ya mauaji ya uchaguzi ,kwa kweli wananchi walio wengi wanawabeza na kurusha madongo.
Nahizi sio vizuri kwa jeshi hili kuwepo kama lilivyo linahitaji ukarabati wa uweledi sana,maana kwa masikizi ya wananchi hili jeshi ni mzigo usio na faida,hata wakuu wa polisi kama wataweza kusema ukweli bila ya shaka yeyote watakuwa na la kusema juu ya imani ya wananchi dhidi yao.tulimsikia mmoja juzi akitoa maelezo mengi, huku akionesha kusikitika kuwa huko mitandaoni kunasemwa hili na lile,wananchi mitaani wanasema hivi na hvyo,mradi alisikitika sana kwa kuona wananchi hawana imani na yale wanayoyatenda.
kwa wananchi imani imepotea kwa watawala imani imekuaNahisi wananchi walio wengi wamepoteza imani kwa jeshi lao la polisi,ni bora taratibu zikafuatwa na jeshi hili likavunjwa na kuundwa upya, hata yale maelezo wanayoyatoa Polisi hawa baada ya tukio na wao wakiwa ndio wasemaji wakuu katika kutoa maelezo yawe ya wizi,ya ubakaji,ya mauaji ya uchaguzi ,kwa kweli wananchi walio wengi wanawabeza na kurusha madongo.
Nahizi sio vizuri kwa jeshi hili kuwepo kama lilivyo linahitaji ukarabati wa uweledi sana,maana kwa masikizi ya wananchi hili jeshi ni mzigo usio na faida,hata wakuu wa polisi kama wataweza kusema ukweli bila ya shaka yeyote watakuwa na la kusema juu ya imani ya wananchi dhidi yao.tulimsikia mmoja juzi akitoa maelezo mengi, huku akionesha kusikitika kuwa huko mitandaoni kunasemwa hili na lile,wananchi mitaani wanasema hivi na hvyo,mradi alisikitika sana kwa kuona wananchi hawana imani na yale wanayoyatenda.
Ni rahisi kuandika mkiwa nyuma ya keyboard,ila ulishawahi kuimagine hata masaa 3 tu bila jeshi la police?,yaani mateja,wezi,majambazi na wahalifu wote wajue kwa mda huu hakuna bank police,hata wakifanya uhalifu wowote hawataguswa,wabakaji wote wajue wanaweza kula dem yoyote kwa mda huu bila kuguswa,bado hatujawagusa watu wenye visasi vyao.Labda kama haujaandika fanya simple observation uone ni kesi ngapi zinaripotiwa kwa siku kwa kituo kimoja tu kama cha buguruni.Nahisi wananchi walio wengi wamepoteza imani kwa jeshi lao la polisi,ni bora taratibu zikafuatwa na jeshi hili likavunjwa na kuundwa upya, hata yale maelezo wanayoyatoa Polisi hawa baada ya tukio na wao wakiwa ndio wasemaji wakuu katika kutoa maelezo yawe ya wizi,ya ubakaji,ya mauaji ya uchaguzi ,kwa kweli wananchi walio wengi wanawabeza na kurusha madongo.
Nahizi sio vizuri kwa jeshi hili kuwepo kama lilivyo linahitaji ukarabati wa uweledi sana,maana kwa masikizi ya wananchi hili jeshi ni mzigo usio na faida,hata wakuu wa polisi kama wataweza kusema ukweli bila ya shaka yeyote watakuwa na la kusema juu ya imani ya wananchi dhidi yao.tulimsikia mmoja juzi akitoa maelezo mengi, huku akionesha kusikitika kuwa huko mitandaoni kunasemwa hili na lile,wananchi mitaani wanasema hivi na hvyo,mradi alisikitika sana kwa kuona wananchi hawana imani na yale wanayoyatenda.
Kwani hivi sasa nani anasimamia! Si wanapiga deal tu na kabambikia watu kesi.Kipindi limevunjwa na wakati wa mchakato wa kuliunda tena nani atakuwa anasimamia ulinzi na usalama? Mawazo mfu haya. Pendekeza mageuzi na maboresho unapoona pana kasoro ila kulivunja haiwezekani