Je, una imani na Jeshi la Polisi?

Je, una imani na Jeshi la Polisi?

Una imani na utendaji wa Jeshi la polisi?


  • Total voters
    111
Yaani mtu ana Ak47 ulitaka raia wahangaike nao kivipi mkuu ?
 
HAPANA IPO HIVI KWANINI WATANZANIA WAMEPOTEZA IMANI KWA JESHI LA POLISI?


Kumekuwepo na matamko mbalimbali kwa jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi kwa raia , kwanini jeshi limepoteza imani kwa raia ambao ndio jukumu lake kubwa kuwalinda raia hao , katika mkutano na Rais Samia leo amewaambia kuwa jeshi la polisi limepoteza umalidadi wote na kufanya kwa kuwakandamiza raia ambao ndio msingi wa wao kuwepo kazini .
Leo katika la mtua hasiyejulikana ameua askari wawili lakini raia waliokuwa wapo katika daladala , bodaboda na wale waliopo katika vituo vyao vya kazi hajaangaika nao , hii imeonyesha hali halisi baina ya imani na polisi imefikia hatua watu wanafuraia askari kuuwawa.

Hii inatafakarisha nini kwa usalama wa taifa letu , je raia wanaweza kuungana na adui katika kukamilisha misheni , kwasababu raia wamewachoka polisi?
Kwa sababu linawalinda mafisadi wa Ccm kwa ngu vu zote huku likikandamiza raia wanyonge
 
HAPANA IPO HIVI KWANINI WATANZANIA WAMEPOTEZA IMANI KWA JESHI LA POLISI?


Kumekuwepo na matamko mbalimbali kwa jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi kwa raia , kwanini jeshi limepoteza imani kwa raia ambao ndio jukumu lake kubwa kuwalinda raia hao , katika mkutano na Rais Samia leo amewaambia kuwa jeshi la polisi limepoteza umalidadi wote na kufanya kwa kuwakandamiza raia ambao ndio msingi wa wao kuwepo kazini .
Leo katika la mtua hasiyejulikana ameua askari wawili lakini raia waliokuwa wapo katika daladala , bodaboda na wale waliopo katika vituo vyao vya kazi hajaangaika nao , hii imeonyesha hali halisi baina ya imani na polisi imefikia hatua watu wanafuraia askari kuuwawa.

Hii inatafakarisha nini kwa usalama wa taifa letu , je raia wanaweza kuungana na adui katika kukamilisha misheni , kwasababu raia wamewachoka polisi?
kwanini unauliza maswali rahisi sana ?
 
Yaani mtu ana Ak47 ulitaka raia wahangaike nao kivipi mkuu ?
Mtoa mada amemaanisha polisi wanatakiwa wabadilike. Akichukulia mfano wa hilo tukio la huyo mtuhimiwa kuwa target polisi pekee, na kuwaacha raia!!
 
Polisi wangesikia KATIBA MPYA WANGEKUAMBIA WANA INTELEJENSIA.
 
HAPANA IPO HIVI KWANINI WATANZANIA WAMEPOTEZA IMANI KWA JESHI LA POLISI?


Kumekuwepo na matamko mbalimbali kwa jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi kwa raia , kwanini jeshi limepoteza imani kwa raia ambao ndio jukumu lake kubwa kuwalinda raia hao , katika mkutano na Rais Samia leo amewaambia kuwa jeshi la polisi limepoteza umalidadi wote na kufanya kwa kuwakandamiza raia ambao ndio msingi wa wao kuwepo kazini .
Leo katika la mtua hasiyejulikana ameua askari wawili lakini raia waliokuwa wapo katika daladala , bodaboda na wale waliopo katika vituo vyao vya kazi hajaangaika nao , hii imeonyesha hali halisi baina ya imani na polisi imefikia hatua watu wanafuraia askari kuuwawa.

Hii inatafakarisha nini kwa usalama wa taifa letu , je raia wanaweza kuungana na adui katika kukamilisha misheni , kwasababu raia wamewachoka polisi?

1-kubambikia watu kesi.
2-kupendelea chama kimoja na kuminya uhuru
3-wasijulikana kushindwa kuwekwa bayana.
 
HAPANA IPO HIVI KWANINI WATANZANIA WAMEPOTEZA IMANI KWA JESHI LA POLISI?


Kumekuwepo na matamko mbalimbali kwa jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi kwa raia , kwanini jeshi limepoteza imani kwa raia ambao ndio jukumu lake kubwa kuwalinda raia hao , katika mkutano na Rais Samia leo amewaambia kuwa jeshi la polisi limepoteza umalidadi wote na kufanya kwa kuwakandamiza raia ambao ndio msingi wa wao kuwepo kazini .
Leo katika la mtua hasiyejulikana ameua askari wawili lakini raia waliokuwa wapo katika daladala , bodaboda na wale waliopo katika vituo vyao vya kazi hajaangaika nao , hii imeonyesha hali halisi baina ya imani na polisi imefikia hatua watu wanafuraia askari kuuwawa.

Hii inatafakarisha nini kwa usalama wa taifa letu , je raia wanaweza kuungana na adui katika kukamilisha misheni , kwasababu raia wamewachoka polisi?
Kwa sababu wanabambikia watu kesi, wanawapiga watuhumiwa na kuwatesa na kuita watu magaidi. Sasa Magaidi mmoja mmoja wanaanza kuchomoza kama uyoga... tuombe mungu tu wasitapakae kila mikoa...
 
Sababu ni moja tuu, IGP linafanya kazi kama kada la CCM and very unprofessional, kazi yake ni kudhibiti wapinzani na sio ulinzi wa wananchi
 
Back
Top Bottom