Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu linawalinda mafisadi wa Ccm kwa ngu vu zote huku likikandamiza raia wanyongeHAPANA IPO HIVI KWANINI WATANZANIA WAMEPOTEZA IMANI KWA JESHI LA POLISI?
Kumekuwepo na matamko mbalimbali kwa jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi kwa raia , kwanini jeshi limepoteza imani kwa raia ambao ndio jukumu lake kubwa kuwalinda raia hao , katika mkutano na Rais Samia leo amewaambia kuwa jeshi la polisi limepoteza umalidadi wote na kufanya kwa kuwakandamiza raia ambao ndio msingi wa wao kuwepo kazini .
Leo katika la mtua hasiyejulikana ameua askari wawili lakini raia waliokuwa wapo katika daladala , bodaboda na wale waliopo katika vituo vyao vya kazi hajaangaika nao , hii imeonyesha hali halisi baina ya imani na polisi imefikia hatua watu wanafuraia askari kuuwawa.
Hii inatafakarisha nini kwa usalama wa taifa letu , je raia wanaweza kuungana na adui katika kukamilisha misheni , kwasababu raia wamewachoka polisi?
ule sio mchezo wa rede hivyo heshimu kazi za watu. Mapigano ya risasi si jambo la kawaida.mtu mmoja kudhibitiwa imechukua zaid ya risas 20,je wangekwa 100?
Ni kweli kabisa.Matukio kama haya yanasaidia kuchangamsha polisi wetu. Au nasema uongo ndugu zangu?
kwanini unauliza maswali rahisi sana ?HAPANA IPO HIVI KWANINI WATANZANIA WAMEPOTEZA IMANI KWA JESHI LA POLISI?
Kumekuwepo na matamko mbalimbali kwa jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi kwa raia , kwanini jeshi limepoteza imani kwa raia ambao ndio jukumu lake kubwa kuwalinda raia hao , katika mkutano na Rais Samia leo amewaambia kuwa jeshi la polisi limepoteza umalidadi wote na kufanya kwa kuwakandamiza raia ambao ndio msingi wa wao kuwepo kazini .
Leo katika la mtua hasiyejulikana ameua askari wawili lakini raia waliokuwa wapo katika daladala , bodaboda na wale waliopo katika vituo vyao vya kazi hajaangaika nao , hii imeonyesha hali halisi baina ya imani na polisi imefikia hatua watu wanafuraia askari kuuwawa.
Hii inatafakarisha nini kwa usalama wa taifa letu , je raia wanaweza kuungana na adui katika kukamilisha misheni , kwasababu raia wamewachoka polisi?
Mtoa mada amemaanisha polisi wanatakiwa wabadilike. Akichukulia mfano wa hilo tukio la huyo mtuhimiwa kuwa target polisi pekee, na kuwaacha raia!!Yaani mtu ana Ak47 ulitaka raia wahangaike nao kivipi mkuu ?
HAPANA IPO HIVI KWANINI WATANZANIA WAMEPOTEZA IMANI KWA JESHI LA POLISI?
Kumekuwepo na matamko mbalimbali kwa jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi kwa raia , kwanini jeshi limepoteza imani kwa raia ambao ndio jukumu lake kubwa kuwalinda raia hao , katika mkutano na Rais Samia leo amewaambia kuwa jeshi la polisi limepoteza umalidadi wote na kufanya kwa kuwakandamiza raia ambao ndio msingi wa wao kuwepo kazini .
Leo katika la mtua hasiyejulikana ameua askari wawili lakini raia waliokuwa wapo katika daladala , bodaboda na wale waliopo katika vituo vyao vya kazi hajaangaika nao , hii imeonyesha hali halisi baina ya imani na polisi imefikia hatua watu wanafuraia askari kuuwawa.
Hii inatafakarisha nini kwa usalama wa taifa letu , je raia wanaweza kuungana na adui katika kukamilisha misheni , kwasababu raia wamewachoka polisi?
Kwa sababu wanabambikia watu kesi, wanawapiga watuhumiwa na kuwatesa na kuita watu magaidi. Sasa Magaidi mmoja mmoja wanaanza kuchomoza kama uyoga... tuombe mungu tu wasitapakae kila mikoa...HAPANA IPO HIVI KWANINI WATANZANIA WAMEPOTEZA IMANI KWA JESHI LA POLISI?
Kumekuwepo na matamko mbalimbali kwa jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi kwa raia , kwanini jeshi limepoteza imani kwa raia ambao ndio jukumu lake kubwa kuwalinda raia hao , katika mkutano na Rais Samia leo amewaambia kuwa jeshi la polisi limepoteza umalidadi wote na kufanya kwa kuwakandamiza raia ambao ndio msingi wa wao kuwepo kazini .
Leo katika la mtua hasiyejulikana ameua askari wawili lakini raia waliokuwa wapo katika daladala , bodaboda na wale waliopo katika vituo vyao vya kazi hajaangaika nao , hii imeonyesha hali halisi baina ya imani na polisi imefikia hatua watu wanafuraia askari kuuwawa.
Hii inatafakarisha nini kwa usalama wa taifa letu , je raia wanaweza kuungana na adui katika kukamilisha misheni , kwasababu raia wamewachoka polisi?