Mhh😂Namuhitaji mke ambaye Yupo tayari kwa ndoa na siyo utani
WelcomeMhh😂
Kama ana mwingine hajapata mume niongezeTuliopo kwenye ndoa! Je una lolote la kumwambia mama mkwe kuhusu mtoto wake?
Kila nikiandika nafutaaa, naandika nafutaaaa 🤣🤣
Watu mna raha mpk wengne tunajiulza tulkuwa wap mkichaguana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama mkwe popotee ulipooo
Ahsantee kwa kunileteaa huyu kijanaa,.
Ubarikiwe sanaaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee tafuta bhanaaa.Watu mna raha mpk wengne tunajiulza tulkuwa wap mkichaguana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yupo ila sizioni hizo raha mnazosimulia humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee tafuta bhanaaa.
Ili ufurahie Dunia.