Je, unaamini kuwa uchawi upo?

Kweli mkuu uchawi Upo nashangaa baadhi yetu wanabisha kabisa kanakwamba hawaishi Tz

critical thinker
 
Njoo kusini kuna kijiji kimoja kinaitwa Ngende , Walimu wanakimbia mpaka shule kisa uchawi.
Mkuu ngende masasi au?hakuna makanisa ya kilokole?

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Nataka nine kufungua kanisa hapo

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hapo kiwalala hapana makanisa mkuuu?has a ya kilokoleeee,,kama VP niunganishe niende fungus kanisa hapo

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Kuna Ngende mbili moja masasi, nyingine Newala zote hatari mpaka makanisa yanafungwa. Watoto wadogo wachawii hatari
At u sure mkuuu,,?

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Kama unaishi mjini tu huwezi jua jaribu kuzunguka maeneo mbalimbali mkuu,uchawi Upo kabisa nimeprove kwa macho yangu

critical thinker
hapana hata maeneo ambayo nimeish yanatokea mambo ambayo watu hushikana uchawi,ila katika misingi wanayoelezea ndipo napata shida kukubali au kuelewa kwamba huo,uchawi uko vp?
hivi mfano mtu kaumwa ama kaugua halafu,huyo mtu anasema kuna mtu kamroga,nawaza inakuwa vp au huo ugonjwa unakuwa vp na ubongo au moyo unapataje hayo maradhi bila kuguswa au kwa imani kama hiyo?
 
Chief, umeshuhudia hao wanakijiji walichokueleza. Nani alimmilikisha Nyoka hivyo vijiji? Huyo Nyoka alikufaje "kizembe" kama ana power za ajabu? Hizi ni imani tu.
kwanza mkuu yule nyoka aliyeuliwa na mtu wake akafa mbna alikufa kizembe zaidi ya huyo
 
Nyoka za songea hzo hazijawahi kuwaacha watu salama
Hii scenario ya pili kuacha ile ya yule mzee aliyebeba nyoka kwenye boksi
Inaonekana songea wanatumia sana nyoka
Kiwalala iko Lindi haiko songea

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Njooni sumbawanga,kutembea tuu.halafu mseme kwenu kuna uchawi.

Sent from my TECNO-N6 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni kweli ehee ? Asee umenikumbusha story za uchawi tukiwa bwenini acha tu vilikua vinatisha kweli.
 
Nyoka ni kiumbe tu ambaye binadamu mwenye akili anaweza kum control.

Sisi Wasukuma tunawachukua nyoka na kucheza nao ngoma, ni sehemuya mila na desturi.

Katika dini za asili za Afrika, tulifundishwa kuishi vizuri na mazingira, jinsi gani ya kuishi sehemu yenye nyoka wengi na kuwaacha hawa nyoka waishi kivyao na sisi tuishi kivyetu bila kudhuriana, ndiyo maana wazee wengine wakikuona unataka kumuua nyoka ambaye anajipitia zake wanakukataza, kwa sababu yule naye ni kiumbe anapenda kuishi na hataki kufa kama wewe.

Sasa, kuna koo zilizama sana katika mafundisho hayo mpaka kufikia uwezo wa kuwasiliana na wale nyoka na kuweza kukaa nao na kuweza kuwatumia katika kazi zao.

Huu si uchawi. Ni sayansi tu, kama wewe unavyoweza kukaa na mbwa ukamfuga na kumfundisha jinsi ya kucheza nawe.

Kibaya ni kwamba sanaa hii ya zamani imekufa baada ya watu weupe kuja kwetu na kutuambia kwamba utamaduni wetu ni ushenzi.

Wametuambia nyokani shetani.

Sasa wakitokea watu wachache wanaojua sanaa hizi kwakuwa wamerithishwa kwao, wanaitwa wachawi.

Hiyo habari yako haina kitu chochote kinachothibitisha kwamba uchawi upo hata kama hayo yote uliyosema yametokea.

Tatizo ukishaamini uchawi,hata jambo la kawaida, au lisilo la kawaida ambalo halijajulikana vizuri likitokea, badalaya kufanya uchunguzi wa kutosha ujue nini kimetokea,unakimbilia kutoa jibu la haraka la uchawi.
 
Njooni sumbawanga,kutembea tuu.halafu mseme kwenu kuna uchawi.

Sent from my TECNO-N6 using JamiiForums mobile app
Nasikia wafipa ni wachawi balaa ila sasa mbona mkoa wenu maskini mkuu ? Bora uchawi wa mbesa/pesa ndio dili uchawi wa mwenzako unamfanyia fitna mngeacha looh dunia imebadilika
 
Kule Sumbawanga kuna wazee wanahamisha nyumba za wenzao kishirikina..yaani unaamka asubuhi uko sehemu tofauti lakini nyumba ileile..hii sio chai,its true..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…