Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Mtoto uliyenaye ni wa kike au kiume?na ana umri gan?Kabila gan?
 
Hahaaaa mi sikufai labda; niko chuo, cna ajira lakini nimeona unanifaa
 
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.

Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.

Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.

Madam B kama umepata tunaomba mrejesho,au bado short list haijakamlika.
 
Wewe unaonekana mwanamke fulani hivi "dictator" kiaina...Ila too modern, ambacho sijaweza ku_extract kutoka kwenye maneno yako ni kuwa you need a "good" man to father your child/children ili wakue vizuri kisaikolojia or you need a man as kama symbol of "respect" kwenye jamii maana nikiona umri wako uko kwenye "red lights". Mimi Naomba kujua zaidi kwa hilo....
 
Wewe unaonekana mwanamke fulani hivi "dictator" kiaina...Ila too modern, ambacho sijaweza ku_extract kutoka kwenye maneno yako ni kuwa you need a "good" man to father your child/children ili wakue vizuri kisaikolojia or you need a man as kama symbol of "respect" kwenye jamii maana nikiona umri wako uko kwenye "red lights". Mimi Naomba kujua zaidi kwa hilo....

ukiPM ndo utajibiwa mzee kwan hujasoma? au unataka kujisubirisha bila sababu?
 
Angekuwa mwingine ningetupia nyavu Kumbe ni madam B. Napita tu.
 
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.

Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.

Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.

una elimu ya chuo kipi au modern commercial institute?
 
I have all what you need............so lets meet and begin our love journey.
Cheers babe!:love:
 
Back
Top Bottom