Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Wee binfsi upo addicted na lipi..
 
Will come the day when everyone one will want to shake hand with that worthless n useless guy!
😒😒😒😒😒😒😒😒
 
Yaani wewe una undugu na mods au una nini lakini?
Unabadili I'd daily kwani uko kwenye tafiti?
Usiwe kigeugeu kwenye maisha yako mengine pia..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina undugu na mod yoyote ila tu nikiona jina nimelipenda nabadiri tu..
mie sio kigeugeu. I'm straight forward person. Usinihofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…