Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
- Thread starter
- #301
Wee binfsi upo addicted na lipi..Jamaaa umetisha sana kwa maelezo yako kuntu, ila kuhusu hili suala la kuwa addicted wa mambo haya yafuatayo 1.matumizi ya vileo, 2. Kupenda starehe, 3. Master(kujichua) nk nk ni moja kati ya mambo magumu mtu kujinasua..ila yataka moyo kuyashinda!
Sent using Jamii Forums mobile app