Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
- Thread starter
-
- #21
Vizoezi hivyo vitafanyika wakiwa pamoja"Ikiwa ikitokea hiyo mwanamke cha kwanza anatakiwa a relax asipanik atulie kisha afanye vizoez vidogo vidogo hii itasaidia kuondoa lile wazo la akili juu ya kitendo hicho kisha uke utaachia tu"
Hivyo vizoez vidogo atafanyaje akiwa na mwanamme aliekatalia ndani ya uke wake?
Tuogope kulanaIli iweje sasa?
Sasa hapo kutakuwa kuna raha gan tena dunia ya kufurahisha maemotion yetu?Tuogope kulana
sasa hili nalo linahitaji ufafanuzi mkuu, mtu na mke wake ubaki kuwa Siri yao. Ila hao walioiba wanahusisha na imani za kishirikina na pindi wanapoomba back up vyumba vya jirani basi siri ufichuka na kuwa hadharani.Sawa
Lakini mbona wanaonasa n wale waliochepuka katka ndoa yaan mke wa mtu anachepuka na hawala yake
Sijawahi kusikia mtu na mke wake wame nasa hebu fafanua hapa.
Kwamba aje kwanini itokee kwa mabikiraKw ufahamu wangu mkuu, mara nyinga na kwa asilimia kubwa vaginismus hutokea kwa mabikira, sijawahi sikia au shuhudia kwa mtu asie bikira akikutana na hio kitu.
Another issue ni kwamba mbona kesi nyingi za kuumana zinatokea Afrika???
Siutukuzi ushirikina but kwa hili, inafikirisha...
😂😂😂Mkuu sio kwamba kiungo Cha uzazi Cha ke kinamng'ang'ania me ili atoe hela asije akatoroka?
Nadhan kinachobana Ni mfupa,mara nyingi uume ukishamwaga,huwa unasinyaa;labda wangesema mifupa ya nyonga ndio inakuja kubana sawa,ingawa pia haiwezakani kutokea
Kinachosababisha mpaka huo mfupa ubane ni nini?Nadhan kinachobana Ni mfupa,
Ni Bora uombe ibane kabla ujaingiza, ila ukishaingiza Ni huchomoiView attachment 2005590
Mkuu kwanza hongera hakika kupitia uzi huu ikanibidi nitafute credible source ili nipate valid information.Sio mara moja wala mara mbili kushuhudia picha mtandaoni zikienea mtu na mpenzi wake kuwa wamegandana mwanaume anajaribu kuchomoa dushelele na haitoki
Watu wengi huhusianisha na uchawi na matego kuwa huenda mume wa Huyu jamaa amemtega mke wake anapochepuka tu aumbuke
Yote yanawezekana ila kunasa kwa uume ndani ya uke ni jambo la nadra sana kutokea ila linatambuliwa kisayansi
Wanasayansi wanasema hivi kuwa kipindi unapofanya mapenzi huweza ikatokea baadhi ya mishipa ndani ya uke kuweza kuubana uume kiasi ambacho mwanaume hawezi kuchomoa uume wake
Kitendo hicho mishipa ya uke kuubana uume kwa nguvu kitaalamu huitwa Vaginismus na mara nyingi husababishwa na matukio ya nyuma ya mwanamke
Kwa mfano ikiwa mwanamke ana kiwewe kutokana na mambo yaliyomtokea awali kwenye tendo la kujamiana labda alipata maumivu makali kwenye sex zilizopita, au pia kupata maumivu makali wakati wa tendo linaenedelea au sababu nyengine za kihisia basi huweza ikatokea hiyo Vaginismus
Unajua Hakuna kisichokuwa na ulinzi kwenye mwili wa binadamu hivyo hata UKE nao una ulinzi wake hivyo mwanamke anavyopata maumivu makali sana kupita maelezo kipindi cha kujamiana akili hujiambia huenda kuna kitu kibaya kinaweza kutokea hivyo hiyo mishipa hufanya Kazi hiyo
Ikiwa ikitokea hiyo mwanamke cha kwanza anatakiwa a relax asipanik atulie kisha afanye vizoez vidogo vidogo hii itasaidia kuondoa lile wazo la akili juu ya kitendo hicho kisha uke utaachia tu
Na kitendo cha uume kushindwa kutoka ukeni kitaalamu huitwa Penis Captivus
Huenda ni mambo ya kishirikina yamekusababishia hivyo ila kwenye sayansi hayo mambo yapo
Je ulishawahi kutokewa na tukio gani lisilo la kawaida kwenye tendo la kujamiana?
View attachment 2005112
Mkuu unge paka mafuta kidogo ktk kichwa cha zakaria na pale getini kwa zabibu kisha zakaria angeruhusiwa kuingia. Lkn kwa case ya hii penis captive ni tofauti na kesi yako mkuuHii Hali nadhan iliwai nikuta miaka ya nyuma sn,
Kuna mwanamke nilikutana nae mara 2, mara zote nilishidwa kuingiza hata kichwa Cha mb**.
Uke ulkua tight Sana,
ata yeye mwnyw alkua anashangaa kwanini nashindwa kuingiza.
ila nilivomuuliza akasema bikra Hana na ilishatoka miaka mingi ilopita sema hajakutana na mwanaume miaka 8 ilopita.
Hiyo hutokea sana hasa mwanamke asipo fanya mapenzi kwa muda mrefuHii Hali nadhan iliwai nikuta miaka ya nyuma sn,
Kuna mwanamke nilikutana nae mara 2, mara zote nilishidwa kuingiza hata kichwa Cha mb**.
Uke ulkua tight Sana,
ata yeye mwnyw alkua anashangaa kwanini nashindwa kuingiza.
ila nilivomuuliza akasema bikra Hana na ilishatoka miaka mingi ilopita sema hajakutana na mwanaume miaka 8 ilopita.
Usemalo Ni kweli,Hiyo hutokea sana hasa mwanamke asipo fanya mapenzi kwa muda mrefu
Hata mm ilinitokea Uke wake upo tight sana na mpk kuingiza unatumia nguvu sana na ikisha ingia hataki uchomoe coz anasema anakuwa anaumia na ukimuuliza anasema hajafanya mapenzi kwa muda wa miaka 4
Inaonekana Uke una tendency ya kurudi ktk natural position yake ikiwa hauta tumika mara nyingi