dah nishawahi kupiga show moja mbovu sana, huyu mtoto alinisumbua kalenda nyingi na mzinga mingi basi ikawa nimemshtukia, hela situmi nae nikimwomba ananinyima
siku ya siku akasomeka baada ya kunipiga mzinga nami nikamwambia aifate hela, so akaja ile kufika geto tupo ndani sasa akataka hela before nami nikaomba mzigo. yeye akasisitiza hela, tatizo sasa hela aliyoiomba nami nikamuahidi sikuwa nayo kamili bali pungufu yake, ila nilimwambia aje ninayo ili tu aibuke magetoni
basi kuona pungufu, hela akasusa na mzigo nikanyimwa sumbuana usiku kucha wapi basi nami nikapotezea
kufika alfajiri manzi akaona atakosa mwana na maji ya moto,akasema naomba hiyo hiyo nami nikasema nipe si akawa mpole, unaambiwa hata haijasimama vizuri nikafosi niweke ili iamkie humo humo aisee sekunde 30 nyingi unaambiwa mtoto alipiga uno la kwanza, la pili wakoloni hawa hapa
niliona noma sana, na ukizingatia sikuweza kufosi abaki mpaka baadae maana ilipaswa nimtoe mida ile ile ya kigiza kabla wanoko wengine (majirani zangu) hawajaamka pale magetoni. Nilimsindikiza ila nilijisikia chenga sana, na sikiwahi kupata rematch. Hapo ndio mahali ambako nimeacha CV mbovu