Show mbofu, aisee kuna manzi nilikuwa nmafuatilia tangu tukiwa chuo huko alikuwa na jamaa yake chuo kingine, hapa na pale mpaka tumemaliza chuo sikuwahi kula mzigo ila kumchezea sana tuu, mzigo hanipi ghafla kama miak miwili baada ya kumaliza chuo ananicheki anakuja kwenye interview anaomba kama vipi nimtafutie lodge, nkaona hii mbuzi inajileta na mchinjaji ndio mimi mwenyeweee, nikashafish room ya wageni panga vizuri nikamuambia ipo tayari booked, mida ya jioni nkasogea ubungo kumpokea haoo straight home, nilikuwa nnakaa na sister yangu alinitembelea pia, sister kapika tukala piga story mpaka mida ya saa 5 kila mtu anaaga kulala
Imefika saa 6 pixel kasimama hatari, nnaandika text nimtumie mgeni nataka kuja tuongee, nnaona text inaingia “are you coming?” Hata sikujibu nikafungua mlango wangu nikanyata kibingwa mpaka kwa mgeni chumba cha sister kipo katikati hapo, ha ha nimefika napokelewa na mahaba mazito kisses za kufa mtu dah kukuru kakara mzigo nimetengewa huu hapa, nachomeka tuu wazungu haoooo [emoji23][emoji23][emoji23], akacheka
Daah nikaanza upya ile nnaingiza tena wazungu haooo...nkamuaga usiku mwema
Hiyo kesi niliimaliza alfajiri maana nilirudi tena, mbaya zaidi haikuwa kificho tena maana kila mtu alisikia hadi majirani