Mungu yupo fair Sana Kwa mfano wale watu ambao hawajafikiwa na Mitume Kwa maana moja ama nyingine anajua namna ya kuwahukumu,Kwa maana ambao hawajapa kusikia neno lake.
Na hata huko nyuma hakuangamiza mji wowote maadam hakupeleka Mtume wa kuwaonya, huko sodoma na Gomora alifanya hivyo baada ya kuwaonya na kuwakanya waache upuuzi wao.
Ninachotaka kusema hapa hawa wasio na Imani na Mwenyezi Mungu hawana sababu ya kufanya hivyo kwakuwa vitabu vipo na mawaidha yanatolewa kila kukicha.
Na ebu tuwe kwakweli kama sio upuuzi ni nini,ebu ajiulize binadamu mwenyewe ameumbwa na Nani,je ulimwengu huu imetokana na Nani na akitafakari Kwa ujumla wake hakika utajua kuna muanzilishi WA haya yote.
Kwahiyo wanajifanya viburi Tu pasina sababu yoyote ile