Je, unajua kuwa Roho huwa ina kawaida ya kutoka tulalapo?

Je, unajua kuwa Roho huwa ina kawaida ya kutoka tulalapo?

Kama ingekuwa hivyo basi tungekuta miili ya masela kibao imelala hovyo
Kama unachosema ni kweli sio kwamba pangekuwa na matukio mengi ya watu kufa na kufufuka? Au roho ikiiacha mwili usingizini mwili haufi? Au kuna muda ikakaa nje ndo unakufa? Wanyama nao wanalala wanaota, vipi na wao roho zao? Au hawana?
 
Niliposoma uzi wako akili iliwaza de javu nikaona niende kweny quran kusoma hyo aya ya juu yake na inayofwata kisha nikaenda kwenye tafsir ya ibn kathir , hakika quran haijaacha kitu na ni kitabu kisicho na shaka ndani mwake Allah Akbar,
Nimependa kuona comment leo za watu zimekubaliana na hili ila niwakumbushe mwisho wa aya hiyo
"hakika katika hayo bila shaka zipo ishara kwa wanao fikiri"
Na kumalizia dua ni muhimu sana kabla ya kulala , baada ya kukung'uta kitanda hata kama ni kisafi tauri basi dua hii ni muhimu
" In Your Name, O Lord, I lay down my side and in Your Name I raise it up; if You take my soul, have mercy on it, and if You send it back, protect it with that which You protect Your righteous servants.''
HV
Niliposoma uzi wako akili iliwaza de javu nikaona niende kweny quran kusoma hyo aya ya juu yake na inayofwata kisha nikaenda kwenye tafsir ya ibn kathir , hakika quran haijaacha kitu na ni kitabu kisicho na shaka ndani mwake Allah Akbar,
Nimependa kuona comment leo za watu zimekubaliana na hili ila niwakumbushe mwisho wa aya hiyo
"hakika katika hayo bila shaka zipo ishara kwa wanao fikiri"
Na kumalizia dua ni muhimu sana kabla ya kulala , baada ya kukung'uta kitanda hata kama ni kisafi tauri basi dua hii ni muhimu
" In Your Name, O Lord, I lay down my side and in Your Name I raise it up; if You take my soul, have mercy on it, and if You send it back, protect it with that which You protect Your righteous servants.''
Mashallah nimependa Sana hii
 
Kama unachosema ni kweli sio kwamba pangekuwa na matukio mengi ya watu kufa na kufufuka? Au roho ikiiacha mwili usingizini mwili haufi? Au kuna muda ikakaa nje ndo unakufa? Wanyama nao wanalala wanaota, vipi na wao roho zao? Au hawana?
Kwanza kwakuwa roho inatoka Kwa mda mchache naona hatufi,kwasababu kufa hakuji Kwa bahati mbaya Ila visa ya kuisha duniani inakuwa imekwisha.

Kwa mfano unaweza jiuliza je wakati roho inatoka je tunaacha Kuota ndoto au tunaota?

Binafsi naona tunaota kama kawaida,Ila haya ni maono yangu Tu.

Viumbe vyote ambavyo vipo hai vina roho akiwemo sisimizi
 
Ujue ni mdogo.ndo miezi minne na hajaanza kula chochote
Kuna kisichana kilisoma mpaka mimba ikafika miezi 9 siku hiyo katoka darasani jioni kaenda leba kashusha engine, kakaa mwezi mmoja karudi darasani, yaani huyo wa kwetu tunaweza kusema ni level za wapigania uhuru kabisa usimchukulie poa miezi minne ni mingi sana.
 
Kuna kisichana kilisoma mpaka mimba ikafika miezi 9 siku hiyo katoka darasani jioni kaenda leba kashusha engine, kakaa mwezi mmoja karudi darasani, yaani huyo wa kwetu tunaweza kusema ni level za wapigania uhuru kabisa usimchukulie poa miezi minne ni mingi sana.
Ma shaa allah, nitajitahidi sana wiki ya.kwanz mwezi wa pili
 
Back
Top Bottom