Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unachosema ni kweli sio kwamba pangekuwa na matukio mengi ya watu kufa na kufufuka? Au roho ikiiacha mwili usingizini mwili haufi? Au kuna muda ikakaa nje ndo unakufa? Wanyama nao wanalala wanaota, vipi na wao roho zao? Au hawana?Kama ingekuwa hivyo basi tungekuta miili ya masela kibao imelala hovyo
Msalimie kachanga.M
Ma shaa allah
Zimefika, alhamdulillah yupo njema , ndo nawaza jmos moja niende nae nitest kama atasumbua afu nianze mfululizo in shaa allahMsalimie kachanga.
Usitest akisumbua wamama wanashikiana na kusaidiana kubembeleza wewe jilipue tu, utanishukuru baadae.Zimefika, alhamdulillah yupo njema , ndo nawaza jmos moja niende nae nitest kama atasumbua afu nianze mfululizo in shaa allah
In shaa allah wiki ya kwanza ya february, utaniambia madrasa ipiUsitest akisumbua wamama wanashikiana na kusaidiana kubembeleza wewe jilipue tu, utanishukuru baadae.
Hivi sio kwamba uliniambia january? usije ukawa umeniongezea sifuri kimasihara.In shaa allah wiki ya kwanza ya february, utaniambia madrasa ipi
Hahahahaha naam lakin si unajua mambo yenu wa baba😂😂😂😂 ruhusa february dogo asogeeeHivi sio kwamba uliniambia january? usije ukawa umeniongezea sifuri kimasihara.
Asije akasema marchHivi sio kwamba uliniambia january? usije ukawa umeniongezea sifuri kimasihara.
Hapana jamanAsije akasema march
Duu hiyo k vant mkuu hahahaKuna siku nimeota eti nimempiga kabali matata spika ndugai hadi akapiga kelele hizi roho hapana
Ohoo we endelea atakwambia atleast aache kunyonya mi nawaangalia hapa.Hahahahaha naam lakin si unajua mambo yenu wa baba😂😂😂😂 ruhusa february dogo asogeee
Nimeshaona dalili mwisho tuskie atleast apate mdogo wake ndio nianze.Asije akasema march
HVNiliposoma uzi wako akili iliwaza de javu nikaona niende kweny quran kusoma hyo aya ya juu yake na inayofwata kisha nikaenda kwenye tafsir ya ibn kathir , hakika quran haijaacha kitu na ni kitabu kisicho na shaka ndani mwake Allah Akbar,
Nimependa kuona comment leo za watu zimekubaliana na hili ila niwakumbushe mwisho wa aya hiyo
"hakika katika hayo bila shaka zipo ishara kwa wanao fikiri"
Na kumalizia dua ni muhimu sana kabla ya kulala , baada ya kukung'uta kitanda hata kama ni kisafi tauri basi dua hii ni muhimu
" In Your Name, O Lord, I lay down my side and in Your Name I raise it up; if You take my soul, have mercy on it, and if You send it back, protect it with that which You protect Your righteous servants.''
Mashallah nimependa Sana hiiNiliposoma uzi wako akili iliwaza de javu nikaona niende kweny quran kusoma hyo aya ya juu yake na inayofwata kisha nikaenda kwenye tafsir ya ibn kathir , hakika quran haijaacha kitu na ni kitabu kisicho na shaka ndani mwake Allah Akbar,
Nimependa kuona comment leo za watu zimekubaliana na hili ila niwakumbushe mwisho wa aya hiyo
"hakika katika hayo bila shaka zipo ishara kwa wanao fikiri"
Na kumalizia dua ni muhimu sana kabla ya kulala , baada ya kukung'uta kitanda hata kama ni kisafi tauri basi dua hii ni muhimu
" In Your Name, O Lord, I lay down my side and in Your Name I raise it up; if You take my soul, have mercy on it, and if You send it back, protect it with that which You protect Your righteous servants.''
Ujue ni mdogo.ndo miezi minne na hajaanza kula chochoteOhoo we endelea atakwambia atleast aache kunyonya mi nawaangalia hapa.
SubhanAllah, jaman mwezi wa pili wiki ya kwanza in shaa allahNimeshaona dalili mwisho tuskie atleast apate mdogo wake ndio nianze.
Kwanza kwakuwa roho inatoka Kwa mda mchache naona hatufi,kwasababu kufa hakuji Kwa bahati mbaya Ila visa ya kuisha duniani inakuwa imekwisha.Kama unachosema ni kweli sio kwamba pangekuwa na matukio mengi ya watu kufa na kufufuka? Au roho ikiiacha mwili usingizini mwili haufi? Au kuna muda ikakaa nje ndo unakufa? Wanyama nao wanalala wanaota, vipi na wao roho zao? Au hawana?
Kuna kisichana kilisoma mpaka mimba ikafika miezi 9 siku hiyo katoka darasani jioni kaenda leba kashusha engine, kakaa mwezi mmoja karudi darasani, yaani huyo wa kwetu tunaweza kusema ni level za wapigania uhuru kabisa usimchukulie poa miezi minne ni mingi sana.Ujue ni mdogo.ndo miezi minne na hajaanza kula chochote
Sawa unadhani ni mbali? niko nahesabu hapa.SubhanAllah, jaman mwezi wa pili wiki ya kwanza in shaa allah
Ma shaa allah, nitajitahidi sana wiki ya.kwanz mwezi wa piliKuna kisichana kilisoma mpaka mimba ikafika miezi 9 siku hiyo katoka darasani jioni kaenda leba kashusha engine, kakaa mwezi mmoja karudi darasani, yaani huyo wa kwetu tunaweza kusema ni level za wapigania uhuru kabisa usimchukulie poa miezi minne ni mingi sana.