Je, unajua kuwa Roho huwa ina kawaida ya kutoka tulalapo?

Je, unajua kuwa Roho huwa ina kawaida ya kutoka tulalapo?

Mkuu yanayo mfanya mwanadamu afaulu Kwanza amtambue Mola wake kuwa Ni mmoja Tu Hana mshirika
Na mengine ni kufanya mema na kuacha mabaya.

Na mwisho wa siku kuna mizani ya kupima matendo yetu,ikiwa matendo yako ni mazito kuliko maovu yako umefaulu na ikiwa maovu Yako ni mazito kuliko mema umefeli.

Haina haja kucomplain tuwajibike Kwa matendo yetu
Hii dunia mfumo uliopo huwezi ishi bila kutenda ubaya kwa wengine na viumbe vingine.
Ukichunguza factors zinazosababisha wewe kuwa hai tangu unazaliwa utakuta uwepo wako umepelekea mwingine kuwa na njaa, kuna wanyama wamekufa n.k Resoures zipo limited. Kama viumbe vingine vina roho basi si ubaya kuvichinja ili tuendelee kuwa hai?
 
Kwakwel sijui kama ni dhambi Ila nilidhibitisha kitu kimoja kuwa,kwanini tukiota usiku tunakimbia au kucheza au kupigana mbona huwa mwili umetulia Tu kitandani?

Kumbe mara tuanzapo kulala kuna ganzi ya asili ambayo huja mwilini na Kutofanya mwili utulie la sivyo tungekuwa tunaamka na majeraha Sana kutokana na ndoto tunazoota.

Binafsi mara moja moja Sana hujikuta narusha mguu usingizini na kugonga kitanda huenda ganzi ya asili huwa inapotea kiaina
Yawezekana mkuu sayansi ya roho ina mambo mengi sana
 
mi jana roho yangu ilikuwa Ujerumani kabisa yani kuna mitaa nimezurula kinoma kule
Mi niliota nipo kwenye Jimbo la Maryland US na sijawahi kufika hadi sasa nikikumbuka naona kabisa mandhari ya hilo State na kiuhalisia oako hivyo
 
Mkuu naona uko vizur Sana

Maana tukio umeliona mara thelathini inaonyesha ulikuwa unapewa msisitizo WA maana

Kweli mkuu na nilimwambia mke wangu pekee yake. Siku yule anafariki ndipo niligundua kuna mambo mengi duniani. Sasa bado natafakari hii issue ya kuwa kwenye gari ya rais pamoja na body guard wake imekaaje?.

Kuna kipindi nilikuwa wa naandika mambo niliyokuwa naona mpaka nikjaza begi dogo la mgongoni. Mengi huwa yanatokea na mengine bado hayajatokea. Kwa mfano kuna siku nimeona nimebeba silaaha na nimevaa kijeshi na tupo kwenye jengo kubwa tuakawa tunaficha watu kwenye jengo ila majeshi ya adui yasiwakamate. Ile kuangalia nje jeshi la adui ni kama lilikuwa karibu, nikamwambia mwanajeshi mwenzangu kuwa haya yote kasabisha urusi. Sijajua mpaka leo.
 
Sio kutoka tu sometimes roho hufanya time traveling... Spiritual time traveling.

Ndio maana unaweza kufika sehemu for the first time ukawa unahisi sio mara yako ya kwanza. The truth ni kua roho yako ilianza kufika kabla ya physical body yako.

Ps. Miili yetu hua nalimit uwezo wa roho zetu.
Hii kweli ishanitokea
 
Kweli mkuu na nilimwambia mke wangu pekee yake. Siku yule anafariki ndipo niligundua kuna mambo mengi duniani. Sasa bado natafakari hii issue ya kuwa kwenye gari ya rais pamoja na body guard wake imekaaje?.

Kuna kipindi nilikuwa wa naandika mambo niliyokuwa naona mpaka nikjaza begi dogo la mgongoni. Mengi huwa yanatokea na mengine bado hayajatokea. Kwa mfano kuna siku nimeona nimebeba silaaha na nimevaa kijeshi na tupo kwenye jengo kubwa tuakawa tunaficha watu kwenye jengo ila majeshi ya adui yasiwakamate. Ile kuangalia nje jeshi la adui ni kama lilikuwa karibu, nikamwambia mwanajeshi mwenzangu kuwa haya yote kasabisha urusi. Sijajua mpaka leo.
Naona Una nguvu Fulani ya kiroho mkuu,kuna ambao wanahisi uwepo wa Jambo Fulani ,wengine machale,wengine kutabiri na mambo kadha WA kadha
 
Hii dunia mfumo uliopo huwezi ishi bila kutenda ubaya kwa wengine na viumbe vingine.
Ukichunguza factors zinazosababisha wewe kuwa hai tangu unazaliwa utakuta uwepo wako umepelekea mwingine kuwa na njaa, kuna wanyama wamekufa n.k Resoures zipo limited. Kama viumbe vingine vina roho basi si ubaya kuvichinja ili tuendelee kuwa hai?
Mkuu kuchinja wanyama na kuwatumia Kwa mahitaji hakuna ubaya hata kidogo, naomba nitumie neno Allah kwasababu ndio Jina unique likimaanisha Mwenyezi Mungu.

Kwani yeye amevidhalilisha hivyo viumbe Kwa manufaa yetu Sisi,humo tunapata nishati na vinywaji nikimaanisha maziwa nakadhalika,kwahiyo hakuna ubaya Kwa kuchinja na Kula,lkn katuwekea utaratibu pale tunapo chinja basi tuhakikishe vichinjio viwe vikali ili afe mara moja na kumpunguzia maumivu.

Kuwapiga wanyama na kuwaumiza ni kosa,Kwa mfano kuna mwanamke mmoja enzi za Mtume alimfungia paka ndani Bila chakula akahukumiwa adhabu Kali Allah,ni Bora angemwacha nje akajiokotee chakula mwenyewe,kuna watu Leo hii wanafuga mbwa lakini kuwapa chakula ni mtihani hayo ni makosa

Lakini

Kuna viumbe hawa nyoka,ng'e,panya ni WA kuwa uwa kwasababu ya madhara Yao.
 
Back
Top Bottom