Je unajua mtaji wa Milioni 10 utatosha kufanya biashara gani mwaka 2025? Nimekuelezea

Je unajua mtaji wa Milioni 10 utatosha kufanya biashara gani mwaka 2025? Nimekuelezea

Kaka nilikuwa na MILIONI 14 nikapata partnership na jamaa. Zangu wawili wao waliweka pesa zaidi yangu ila baada ya miaka 7 ya biashara Kwa bahati mbaya mmoja wa partners alifariki Familia ya marehemu ilihitaji pesa yote iliyomuhusu marehemu walipewa mwingine baadae alihitaji kufanya biashara tofauti hivyo akichukua chale nikabaki mwenyewe mpaka Leo Nina lodge 3
Ndo umejenga Lodge kwa million 10?
 
Toa sh milioni 7 ilete huku kwenye ufugaji wa samaki kwa vizimba, utaanza na kizimba cha vifaranga vya samaki elfu 15 hadi elfu 17 aina ya Sato, kilo moja ya samaki ni sh elfu 7 baada ya miezi 6 kwa uchache unaweza kuvuna kuanzia tan 10 hadi tani 12
 
Ndo umejenga Lodge kwa million 10?
Biashara sio pesa hata ukiwa na kidogo tafuta Njia ya ushirikiano ukiwa na hicho kidogo sio lazima uwe na Kingi kama ujuavyo mkono mtu haulambwi
 
Toa sh milioni 7 ilete huku kwenye ufugaji wa samaki kwa vizimba, utaanza na kizimba cha vifaranga vya samaki elfu 15 hadi elfu 17 aina ya Sato, kilo moja ya samaki ni sh elfu 7 baada ya miezi 6 kwa uchache unaweza kuvuna kuanzia tan 10 hadi tani 12
Wap huko mkuu hii biashara inafanyika wap ni mwanza au sehem yoyote
 
Kilimo cha matikiti mtandaoni kinalipa sana, lakini ukilima shambani jiandae kisaikolojia.

Lakini pia, we jamaa unashauri watu waanzishe shule kwa mtaji wa milioni 10? Unajua kujenga darasa moja ni shilingi ngapi au umelewa?
Tusiwaze sana kujenga, si unaweza kukodi pia?

Hususani hata dispensary, unaweza kukodi majengo... (Ni mfano tu)

Namaanisha mambo mengi yanaweza kuwezekana, ni mipango tu na kuwaza nje ya box
 
Usifanye biashara ambayo bila kugharamikia marketing haiendi. Marketing ni muhimu ila kama biashara yako inahitaji kushawishi watu utapoteza mtaji kutafuta wateja. Nenda na biashara sana inayotafutwa na wateja alafu jiongeze from there
 
Toa sh milioni 7 ilete huku kwenye ufugaji wa samaki kwa vizimba, utaanza na kizimba cha vifaranga vya samaki elfu 15 hadi elfu 17 aina ya Sato, kilo moja ya samaki ni sh elfu 7 baada ya miezi 6 kwa uchache unaweza kuvuna kuanzia tan 10 hadi tani 12
Kulisha, kutibu ,maji nk?
 
Kilimo cha matikiti mtandaoni kinalipa sana, lakini ukilima shambani jiandae kisaikolojia.

Lakini pia, we jamaa unashauri watu waanzishe shule kwa mtaji wa milioni 10? Unajua kujenga darasa moja ni shilingi ngapi au umelewa?
Uyo jamaa anazingua ivi anajua hata bei ya bundle Moja ya bati ?
 
Kaka nilikuwa na MILIONI 14 nikapata partnership na jamaa. Zangu wawili wao waliweka pesa zaidi yangu ila baada ya miaka 7 ya biashara Kwa bahati mbaya mmoja wa partners alifariki Familia ya marehemu ilihitaji pesa yote iliyomuhusu marehemu walipewa mwingine baadae alihitaji kufanya biashara tofauti hivyo akichukua chale nikabaki mwenyewe mpaka Leo Nina lodge 3
Jiheshimu mdogo wangu…

Mambo ya kutype umejifunika shuka la shemeji yako sisi hatupendi ujue!!
 
DANGANYA TOTO JAZZ BAND.
acha kudanganya watu mr, anza kuchambua biashara kuanzia laki moja(100,000/=) ambayo mTanzania yeyote anaweza kuifanya.
 
1739317448329.png
 
HOngera kwa kuwa na mtaji mzuri ,pia ni ngumu kupata biashara inayo lipa then haina hasara kwa karne hii tuliyo nayo.
Ushauri wangu fanya biashara ya dagaa wakavu kutoka ziwa victoria kupeleka mikoani maana hii ni biashara ambayo una deal na mahitaji muhimu kwa binadamu (chakula) automatically una deal na population kubwa ya watu wenye uchumi wa kati na chini ambao ndio watumiaji wengi wa hiki chakula.

Hivyo kwa vile wewe hutakuwa mzoefu kwenye hii biashara anza na kiasi ili kujua changamoto ndogo ndogo za kazi pia kwa vile wewe una mtaji utauza kwa bei ya jumla kwa kuwauzia wanao enda kuuza .ukikomaa hutojutia na hii kazi.
Mimi nauza dagaa pia hapa MWANZA KIRUMBA(MWALONI) soko la kimataifa dagaa na samaki.0657886964
PIGA SIMU;
 
Toa sh milioni 7 ilete huku kwenye ufugaji wa samaki kwa vizimba, utaanza na kizimba cha vifaranga vya samaki elfu 15 hadi elfu 17 aina ya Sato, kilo moja ya samaki ni sh elfu 7 baada ya miezi 6 kwa uchache unaweza kuvuna kuanzia tan 10 hadi tani 12
Hii naomba niijue Zaidi naona kuna fursa hapa.
 
Unaweza kutafuta Eneo la Ardhi kama hekari moja maeneo ya Mjini, kama upo Dar nenda kanunue Homboza au kitonga baada ya miezi Miwili au mitatu unakata viwanja inalipa sana.
 
Back
Top Bottom