Kama unajua tafadhali nielimishe, nimeijiwa tu na hili wazo from nowhere nikiwaza ingekuwaje siku ingekuwa na saa 48 kwa mfano; ningeweza kuwa na muda zaidi?
Si nadra siku kuisha ukiwa na viporo vya majukumu...
Anyways back to the topic, ni nani aliamua siku iwe na saa 24 tu?
Lukansola hata kama siku ingekuwa na saa 48, mambo yangekuwa yale yale, mimba ungebebwa miezi 18, labda tofauti ni kwamba watu waliokufa juzi juzi wangekuwa bado wapo na wengi angekuwa hajazaliwa!Nimesoma maoni yako Mshana jr, acha niyatafakali.
Lukansola hata kama siku ingekuwa na saa 48, mambo yangekuwa yale yale, mimba ungebebwa miezi 18, labda tofauti ni kwamba watu waliokufa juzi juzi wangekuwa bado wapo na wengi angekuwa hajazaliwa!
na kwa zamani siku ilikuwa ina timia pale jua linapozama.
Ref.
Alikufa ijumaa saa 9 akafufuka j'pili alfajiri ni masaa mangapi?
confusion depertment.🙂
Umechemka Wile GAMBA, kama ni mimba; kwa saa 48 kwa siku ingekuwa miezi minne na nusu au?
Na hivi mwezi usingekuwepo, siku zingekuwa zinaishia tarehe ngapi?
Wafanyakazi mshahara tungekuwa tunalipwa tarehe ngapi?
alaa!:A S 13:Hakuna, wakati anakufa kulikuwa hakuna Ijumaa wala jumapili!! Kasome tena kiongozi
alaa!:A S 13: