Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,604
Kama unajua tafadhali nielimishe, nimeijiwa tu na hili wazo from nowhere nikiwaza ingekuwaje siku ingekuwa na saa 48 kwa mfano; ningeweza kuwa na muda zaidi?
Si nadra siku kuisha ukiwa na viporo vya majukumu...
Anyways back to the topic, ni nani aliamua siku iwe na saa 24 tu?
Si nadra siku kuisha ukiwa na viporo vya majukumu...
Anyways back to the topic, ni nani aliamua siku iwe na saa 24 tu?