Je, Unajua nini kuhusu "Psychological Manipulations",Jinsi ya kuziepuka Na sheria Ya Tanzania inasemaje kuzihusu?

Je, Unajua nini kuhusu "Psychological Manipulations",Jinsi ya kuziepuka Na sheria Ya Tanzania inasemaje kuzihusu?

Mfano Aristotle 👉Galileo 👉 Newton 👉 etc,,
Huwezi kungangania theory Aristotle wakati Galileo kaja Kazi improve Newton nae kaja ka improve so , tunajifunza kutokana na mazingira.

Hatuwezi kungangania utamaduni, tutakuwa kama wamasai,wahdazabe
So nakuja kwenye swali langu lile lile kwahyo reality inabadilika?
Na kama reality inabadilika kwanini bado tunatumia Ramani ya Dunia iliyochorwa na abraham ortelius?
 
So nakuja kwenye swali langu lile lile kwahyo reality inabadilika?
Na kama reality inabadilika kwanini bado tunatumia Ramani ya Dunia iliyochorwa na Leornado Da vinci?
Kama unayo Ramani ya dunia aliyochora da Vinci, ukipata Muda mkuu naomba tuma humu kwenye hii Post ili watu tuelimike
 
Kama unayo Ramani ya dunia aliyochora da Vinci, ukipata Muda mkuu naomba tuma humu kwenye hii Post ili watu tuelimike
No nilikosea yaani mawazo nilikuwa nawaza sijui monalisa 😅😅 Huku naandika World Map...
I ment Abraham Ortelius..
Sorry..
Nilikuwa namaanisha kuwa kama science inabadilika kwanini hawajabadilisha mpaka leo Ramani iliyochorwa na Abraham ortelius miaka mingi iliyopita
 
So nakuja kwenye swali langu lile lile kwahyo reality inabadilika?
Na kama reality inabadilika kwanini bado tunatumia Ramani ya Dunia iliyochorwa na Leornado Da vinci?
Hali ya Jana ni tofauti na Leo, na Kesho ni tofauti kabisa na siku zilizopita, kama mambo yangekuwa yamesimama kusingekwa na maisha
 
Hali ya Jana ni tofauti na Leo, na Kesho ni tofauti kabisa na siku zilizopita, kama mambo yangekuwa yamesimama kusingekwa na maisha
Then why tunatumia Ramani iliyo chorwa zamani kipindi hicho hata satelite zenye ubora wa kupima Ramani na kukadiria hazikuwepo na wala kujua mipaka Hatukujua vizuri still raman ya dunia tunatumia ya karne ya 16 wkati now tuko karne ya 21 unaweza kujibu hoja hiyo ukiambatanisha na hoja yako hapo juu....?
Hiyo haikupi Wasiwasi kwamba kuna kitu unafichwa?
 
No nilikosea yaani mawazo nilikuwa nawaza sijui monalisa 😅😅 Huku naandika World Map...
I ment Abraham Ortelius..
Sorry..
Nilikuwa namaanisha kuwa kama science inabadilika kwanini hawajabadilisha mpaka leo Ramani iliyochorwa na Abraham ortelius miaka mingi iliyopita
images (2).jpeg


Watafiti wengi walijaribu kuchora kutokana na utafiti waliofanya , wengi Wao walikuwa ni watu wenye kusafiri maeneo mbalimbali ya dunia
 
Then why tunatumia Ramani iliyo chorwa zamani kipindi hicho hata satelite zenye ubora wa kupima Ramani na kukadiria hazikuwepo na wala kujua mipaka Hatukujua vizuri still raman ya dunia tunatumia ya karne ya 16 wkati now tuko karne ya 21 unaweza kujibu hoja hiyo ukiambatanisha na hoja yako hapo juu....?
Hiyo haikupi Wasiwasi kwamba kuna kitu unafichwa?
Zipo Ramani mbalimbali zilizo chorwa na watafiti mbalimbali
 
View attachment 2789329

Watafiti wengi walijaribu kuchora kutokana na utafiti waliofanya , wengi Wao walikuwa ni watu wenye kusafiri maeneo mbalimbali ya dunia
Sasa jiulize alisafiri kutumia nini na akachore snapshot ya Raman inayohitaji Satelite kuichora..
Na kama alitumia Jahazi kuzunguka dunia..
Kwanini isichorwe Ramani mpya yenye mipaka mipya kwa kutumia Satelite na sio hii ya mwaka 1400s
 
Mkuu siunaona it looks likely, kumbuka hii ni taaluma Sio kila MTU anajichorea,
Its looks likely to what? 😅 to itself? or to "theatrum orbis terrarum". Modern version 😅😅...

MKuu wangu Nachokuambia jaribu kukifikiria sana huenda ukapata jibu...
au huenda swali ni Gumu sana kwako...


Nahii ilipelekea msukumo mkubwa, wa kutengeneza setelite
Then why hawajarelease the new Map since then ambayo itaonyesha the real Map of the world Ukipata Ramani ambayo sio modification ya Theatrum orbis terrarum naomba nitumie..

Na why wamezuia Mtu ,Nchi wala Shirika lolote kuchora ramani yoyote na itumike hiyo hiyo wakati huwa wanatuambia kuna baadhi ya maeneo duniani yanapungua kutokana na kuongezeka kwa bahari na barafu kwenye bara?....

Kuna alot of spaceship zimeenda kwenye space iwe ni Robotic mission kama ya mars au real people mission kama za mwezini then why hiyo raman haichorwi? Tunatumia ya 1400s kipindi ambacho hata space ,ilikuwa hazipo mkuu hiyo haikushtui wewe..?

THE WORLD MAP IS IMPRACTICAL

Angalia kidgo video hii kwa ajili ya burudani ya Ramani
 
Mkuu umewahi kufanya uchunguzi ukagundua ulichosema au kuna watu walikuambia Hivyo..

Kuna aina moja ya psychological manipulation sikuitaja Inaitwa Brain washing..
Hii humfanya mtu kuamini kwamba kinachosemwa ni kweli kwa kutengeneza Facts ambazo ni za kweli kwenye kitu cha uongo..
Ndo maana mpaka leo kuna Watu bado wanadebate kuna wanasayansi wengine wanasema Dunia iko flat wanajiita Flat Earth scientis na kuna wanaosema iko round..
Na mkuu Hizo theory za Mwanga and everything it was brainwashing mechanism kukuandaa kwa ajili ya kukubali baadhi ya theory kubwa
"Hii humfanya mtu kuamini kwamba kinachosemwa ni kweli kwa kutengeneza Facts ambazo ni za kweli kwenye kitu cha uongo.."

Inawezekanaje ukweli uwe kwenye jambo la uongo ? Mean's ni ukweli ( Real always is real )

Au ni aina gani ya lugha umeitumia hapa [emoji848]
 
"Hii humfanya mtu kuamini kwamba kinachosemwa ni kweli kwa kutengeneza Facts ambazo ni za kweli kwenye kitu cha uongo.."

Inawezekanaje ukweli uwe kwenye jambo la uongo ? Means ni ukweli ( Real always is real )

Au ni aina gani ya lugha umeitumia hapa [emoji848]
Ni kweli binadamu wa kwanza alikuwa Tanzania?
 
Naweka Kambi hapa Uzi uendelee hiv hivi kabla Wavuta Bangi hawajauharibu
Pengine mtoa mada ni mtumiaji mzuri wa mjani huoni kama unamkosea,, Alafu mada aliyoandika imekuhusu pia, Bangi ilikukosea nini ? Umeaminishwa na watu kuwa ni mbaya na wewe unaiona ni mbaya...Hii mada inakuhusu aise [emoji16]
 
"Hii humfanya mtu kuamini kwamba kinachosemwa ni kweli kwa kutengeneza Facts ambazo ni za kweli kwenye kitu cha uongo.."

Inawezekanaje ukweli uwe kwenye jambo la uongo ? Mean's ni ukweli ( Real always is real )

Au ni aina gani ya lugha umeitumia hapa [emoji848]
Real always Real huh!
Ok How did you know this Is real?
Did you know that Theology comes from Mythology?
Did you know Principles and Facts establishments comes from theory and thesis?
Are familia with science?
All science Facts comes from unreal Theory until proved!
 
Ni kweli binadamu wa kwanza alikuwa Tanzania?
Nice catch....
So akikukujibu hili swali Nitaona majibu yake...

Maana science inaamini binadamu wa Kwanza aliishi Tanzania na hiyo ni facts yao na wameprove hivo na hio ndo point ya reality kwao .....
Cc: Chosen Rich
 
Back
Top Bottom