DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #61
So nakuja kwenye swali langu lile lile kwahyo reality inabadilika?Mfano Aristotle ๐Galileo ๐ Newton ๐ etc,,
Huwezi kungangania theory Aristotle wakati Galileo kaja Kazi improve Newton nae kaja ka improve so , tunajifunza kutokana na mazingira.
Hatuwezi kungangania utamaduni, tutakuwa kama wamasai,wahdazabe
Soma kuanzia mwanzo utaona kuna mifano mingi cha kwanza kikiwelo Dini yako wewwnaomba uongeze mifano ili nizidi kukuelewa, au weka hata uhalisia wa maisha yetu wabongo tunavyonaswa na hadaa za kisaikolojia
nmesoma ila umefanya nijione naishi dunia iliyojaa hadaa.Soma kuanzia mwanzo utaona kuna mifano mingi cha kwanza kikiwelo Dini yako weww
Kama unayo Ramani ya dunia aliyochora da Vinci, ukipata Muda mkuu naomba tuma humu kwenye hii Post ili watu tuelimikeSo nakuja kwenye swali langu lile lile kwahyo reality inabadilika?
Na kama reality inabadilika kwanini bado tunatumia Ramani ya Dunia iliyochorwa na Leornado Da vinci?
Yeah ni kweli kabisa! kama umewahi kuangalia Matrix utagundua kila kitu ni set up...Its like we are living in simulationnmesoma ila umefanya nijione naishi dunia iliyojaa hadaa.
No nilikosea yaani mawazo nilikuwa nawaza sijui monalisa ๐ ๐ Huku naandika World Map...Kama unayo Ramani ya dunia aliyochora da Vinci, ukipata Muda mkuu naomba tuma humu kwenye hii Post ili watu tuelimike
Hali ya Jana ni tofauti na Leo, na Kesho ni tofauti kabisa na siku zilizopita, kama mambo yangekuwa yamesimama kusingekwa na maishaSo nakuja kwenye swali langu lile lile kwahyo reality inabadilika?
Na kama reality inabadilika kwanini bado tunatumia Ramani ya Dunia iliyochorwa na Leornado Da vinci?
Then why tunatumia Ramani iliyo chorwa zamani kipindi hicho hata satelite zenye ubora wa kupima Ramani na kukadiria hazikuwepo na wala kujua mipaka Hatukujua vizuri still raman ya dunia tunatumia ya karne ya 16 wkati now tuko karne ya 21 unaweza kujibu hoja hiyo ukiambatanisha na hoja yako hapo juu....?Hali ya Jana ni tofauti na Leo, na Kesho ni tofauti kabisa na siku zilizopita, kama mambo yangekuwa yamesimama kusingekwa na maisha
No nilikosea yaani mawazo nilikuwa nawaza sijui monalisa ๐ ๐ Huku naandika World Map...
I ment Abraham Ortelius..
Sorry..
Nilikuwa namaanisha kuwa kama science inabadilika kwanini hawajabadilisha mpaka leo Ramani iliyochorwa na Abraham ortelius miaka mingi iliyopita
Zipo Ramani mbalimbali zilizo chorwa na watafiti mbalimbaliThen why tunatumia Ramani iliyo chorwa zamani kipindi hicho hata satelite zenye ubora wa kupima Ramani na kukadiria hazikuwepo na wala kujua mipaka Hatukujua vizuri still raman ya dunia tunatumia ya karne ya 16 wkati now tuko karne ya 21 unaweza kujibu hoja hiyo ukiambatanisha na hoja yako hapo juu....?
Hiyo haikupi Wasiwasi kwamba kuna kitu unafichwa?
Sasa jiulize alisafiri kutumia nini na akachore snapshot ya Raman inayohitaji Satelite kuichora..View attachment 2789329
Watafiti wengi walijaribu kuchora kutokana na utafiti waliofanya , wengi Wao walikuwa ni watu wenye kusafiri maeneo mbalimbali ya dunia
Yeah then why hii bado inatumikaZipo Ramani mbalimbali zilizo chorwa na watafiti mbalimbali
Mkuu siunaona it looks likely, kumbuka hii ni taaluma Sio kila MTU anajichorea,Yeah then why hii bado inatumika
Its looks likely to what? ๐ to itself? or to "theatrum orbis terrarum". Modern version ๐ ๐ ...Mkuu siunaona it looks likely, kumbuka hii ni taaluma Sio kila MTU anajichorea,
Then why hawajarelease the new Map since then ambayo itaonyesha the real Map of the world Ukipata Ramani ambayo sio modification ya Theatrum orbis terrarum naomba nitumie..Nahii ilipelekea msukumo mkubwa, wa kutengeneza setelite
"Hii humfanya mtu kuamini kwamba kinachosemwa ni kweli kwa kutengeneza Facts ambazo ni za kweli kwenye kitu cha uongo.."Mkuu umewahi kufanya uchunguzi ukagundua ulichosema au kuna watu walikuambia Hivyo..
Kuna aina moja ya psychological manipulation sikuitaja Inaitwa Brain washing..
Hii humfanya mtu kuamini kwamba kinachosemwa ni kweli kwa kutengeneza Facts ambazo ni za kweli kwenye kitu cha uongo..
Ndo maana mpaka leo kuna Watu bado wanadebate kuna wanasayansi wengine wanasema Dunia iko flat wanajiita Flat Earth scientis na kuna wanaosema iko round..
Na mkuu Hizo theory za Mwanga and everything it was brainwashing mechanism kukuandaa kwa ajili ya kukubali baadhi ya theory kubwa
Ni kweli binadamu wa kwanza alikuwa Tanzania?"Hii humfanya mtu kuamini kwamba kinachosemwa ni kweli kwa kutengeneza Facts ambazo ni za kweli kwenye kitu cha uongo.."
Inawezekanaje ukweli uwe kwenye jambo la uongo ? Means ni ukweli ( Real always is real )
Au ni aina gani ya lugha umeitumia hapa [emoji848]
Pengine mtoa mada ni mtumiaji mzuri wa mjani huoni kama unamkosea,, Alafu mada aliyoandika imekuhusu pia, Bangi ilikukosea nini ? Umeaminishwa na watu kuwa ni mbaya na wewe unaiona ni mbaya...Hii mada inakuhusu aise [emoji16]Naweka Kambi hapa Uzi uendelee hiv hivi kabla Wavuta Bangi hawajauharibu
Swali lako limetokana na nini ? Mimi nmequote maelezo ya mtoa mada, ni vyema hilo swali ungemuuliza yeyeNi kweli binadamu wa kwanza alikuwa Tanzania?
Real always Real huh!"Hii humfanya mtu kuamini kwamba kinachosemwa ni kweli kwa kutengeneza Facts ambazo ni za kweli kwenye kitu cha uongo.."
Inawezekanaje ukweli uwe kwenye jambo la uongo ? Mean's ni ukweli ( Real always is real )
Au ni aina gani ya lugha umeitumia hapa [emoji848]
Nice catch....Ni kweli binadamu wa kwanza alikuwa Tanzania?