makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Haiwezekani akawa mmoja tu, wapo wengi, shida vijana wanaolea akili za nyege.. 😂Shida ni kwamba yupo mmoja tu na binadam hatufanani kama Maharage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani akawa mmoja tu, wapo wengi, shida vijana wanaolea akili za nyege.. 😂Shida ni kwamba yupo mmoja tu na binadam hatufanani kama Maharage
Tatizo kijana anawadanganya wenzake, lakini kule FB naona ametupia picha za kutosha akiwa na kimwana wake, tena amemkumbatia mujarab na dunia yote imeona...😂🤣Urafiki wa mashaka! Hahahahah
Hahahahaaha ila dahTatizo kijana anawadanganya wenzake, lakini kule FB naona ametupia picha za kutosha akiwa na kimwana wake, tena amemkumbatia mujarab na dunia yote imeona...😂🤣
Mimi mawazo yangu ni Yale ya kizamani, hivyo kwangu ndoa ni lazima.
Lakini ni lazima Kwa vile nipo na MTU ambaye naye anatumia mifumo ya kale.
Kwangu Maisha ni kuwa na Familia.
Ila kamwe sitokubali kuwa na familia ya kijinga na kipuuzi Kwa kisingizio cha ndoa.
Hilo kwangu halitavumilika
Makala ili iwe standard inatakiwa ipitishwe na nani?For you...perhaps.
To many....he is an offshoot of personas of Sigmud freud, oswald spengler and the likes....Misogynist Racist Bigoted twaats.
He has no moral authority to lecture Tanzanians. He has no Scientific Background, no verifiable work or Scientific research anywhere on this planet.
Makala yake sio makala by any standards whatsoever. Ni tapeli.
Wekeni wasifu wake jamani basi!
Unachagua kukataa(inatakiwa uombe talaka) au kukubali hiyo ndoa kwa furaha maana ni jambo jemaMi nimeolewa Leo asubuhi kwahiyo nichagueje🤔
Mm toka kwanzo nimemchukulia km character wa story ni muwakilishiNdugu mto mada mbona Robert mwenyewe hapingi ndoa, maana mwenyewe ana ndoa na anasema yeye kwake ndoa ni familia au ndio Ile tunasema fuata maneno yangu na sio vitendo?
Unachagua kukataa(inatakiwa uombe talaka) au kukubali hiyo ndoa kwa furaha maana ni jambo jemaMi nimeolewa Leo asubuhi kwahiyo nichagueje🤔
Kiimani ndoa sio bahati nasibu ila unapata wa kufanana naye.Ujue ndoa ni Kubahatishana tu hakuna Formula ya kupata Mke mwema, kwanini tucheze patapotea. Wewe kwakua umebahatisha usijione Mjanja na usituhakikishie bahati wote.
AminaUnachagua kukataa(inatakiwa uombe talaka) au kukubali hiyo ndoa kwa furaha maana ni jambo jema
Swali zuri sanaMakala ili iwe standard inatakiwa
Kabla sijakujibuWewe umeona makala zake wapi? Niwekee link ya Gazeti au Jarida lelote lile....nitaacha kusema ninayoyasema.ipitishwe na nani?
Shida watu hawataki kutoka nje ya mfumo wa kidunia
Hapo ilibidi awekwe kuhani mkuu wa chaputaBasi atolewe kwenyw huo uwakilishi wa wanaopinga ndoa au ndio yale una kadi ya ccm huku unatetea upinzani
Weka link tumuone....Ubaya baharia Heriel ana post picha kakumbatiana na manzi wake Face book alafu anakuja kuturusha stimu tu hapa.
Mmmh Hizo kauli za Wa Kufanana nae zimewacost wengiiiiiii, Tuseme kweli ndoa ni kuthibitisha tu kua Mke na Mume hayo yafuatayo Mtajua wenyeweKiimani ndoa sio bahati nasibu ila unapata wa kufanana naye.
😔😔😔😔si wahuni? Mm naamin hii petition tutapindua mezaMpaka Sasa wanaume 70% na wahuni 26% ,,, Wahuni wakishinda nipigwe Ban na Simu yangu naitumbukiza chooni..
Maana itakuwa jamii iliyolaanika kushindwa na wahuni.