Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Kuna coplo... asee yule muuaji hajali hii coy yake au laa nakumbuka alikuwa anawavua shat wadudu(kurut ) then mnaroll kwny mbigili+baridi la arusha ahaa asee yule sio mtu kuna mwamba aliwahi kumwambia afande me nina pumu tukiwa tunaruka kichura kwenda kuchota maji basi akamwmbia njoo kaa mbele apo ruka kichura nataka nikuone ukizidiwa na vumbi kama utakufa...

sema kule unafunzwa uvumilivu wa kwl nilishangaa siku moja watt wa ruvu walikuwa wameoverpopulation ikabidi 200 waletwe makuyuni 200 wengine oljoro asee wale jamaa walipiga intro ndogo tu kesho yake wakasepa 6 *****

Sitosahau kuna m1 uyo hakutokea ruvu lakin alitoroka kufika kwao mzaz wake akamrudisha kambini.
 
Sisi tulizima mara moja ila sitakaa nisahau aisee. Mimi nikiona moto mtaani nageuza njia yani maana nyuma kulikua na fimbo, mbele moto na juu jua. Hapo ni mwezi wa saba na lile jani lilivyo kauka yani. Ah...hadi kero.
 
Dah hao wazazi ni mamafya. Hilo doso aliliweza kweli? Unaweza kuwachukia wazazi wako milele maana huwa hawaelewi kitakachoendelea wakiondoka. Yani hapo unalaani vibaya mno.
 
Dah hao wazazi ni mamafya. Hilo doso aliliweza kweli? Unaweza kuwachukia wazazi wako milele maana huwa hawaelewi kitakachoendelea wakiondoka. Yani hapo unalaani vibaya mno.
Alimaliza ila hata mm kama mwanangu wa kiume kama hana ugonjwa lazima aende
 
Wakongwe wa Mafinga JKT (1980), Eagle Coy, Operation Tija hatutamsahau Afande Masoda, Kapteni Mangwembe na Sajenti Mungure. Kero ya pale ilikuwa baridi kali mno na unapangwa gadi Changarawe; Dah hakuna rangi utaacha kuona. Kingine ni kutokuwepo kwa viti au fomu za kukalia. Kila siku kwenye Chenja lazima ukae chini kwenye mchanga/vumbi sio kuchuchumaa i.e makalio lazima yaguse ardhi - Unachafukaje!!
Kero nyingine ilikuwa ni kufyagia asubuhi- kuna giza na mifagio tunaikata wenyewe kwenye kapori ka miti ya Miwati pembeni mwa barabara (smart Area). Hako kapori kalikuwa ni mahali pa kujisaidia haja kubwa wale wanaokuwa Kota gadi. Sasa kwa giza hilo huoni chini na utakanyaga sana mavi. Matokeo yake Mnanukaje mtakapoenda kwenye uji kwa mwendo wa kunyakuwa-nyakua..😂
Sali/Omba siku hiyo usikutane na Afande Nusumungu.... yupo "Heey! Zoezi limebadilika... Nyumaaa geuka'....." na ngarambe ndo inaanzia hapo.
...I love those Old Good Days .
 
Ulikua B coy?. Mwamba nimedili nae 2013 July. Mshenzi alitufungulisha kozi we chamoto tulikiona ile siku. Ila mwili huwa unazoea aisee
 
Ulale Kanembwa? kwa kina nyang'anyi, dakanyama au magesa? hapana aisee. Ila at time i miss those days. They were not pleasant but they created a worthy memories aisee
 
Duh kwa hiyo unanusa makimba ya wenzako
 
Duh kwa hiyo unanusa makimba ya wenzako
Yap. JKT ilitufundisha kwamba yale tunayodhani kuwa hayawezekani huwa yanawezekana. Naikumbuka sana Mafinga JKT(841KJ) tuliiba sana nyama za nguruwe tukishirikiana na Watoto wa mama mdogo.
 
Yap. JKT ilitufundisha kwamba yale tunayodhani kuwa hayawezekani huwa yanawezekana. Naikumbuka sana Mafinga JKT(841KJ) tuliiba sana nyama za nguruwe tukishirikiana na Watoto wa mama mdogo.
Aisee
 
Amini saa sita umewahi kulala sana jeshi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]***** Mgambo ilikuwa Jiko ngaingai mpaka moniii yani hutaamini ngurutu ila hapa husinzii mpaka asubuhi kuna kulalia mgongo tuu...


Kuna siku mvua ilipiga ya maana ***** nilikoroma huku maji yanapita chini ya kitshirt cha jest kile na pitshot nikasema kesho nikiala kwenye Mvua tena yani Jeshi watanisikia tu dadekii natorokaaa boda to boda... Uzuri wake kesho mkuu wa kikosi akapiga marufuku ngurutu kulala kwenye mvua.. Yani wame na eriki wale maafande hapana
 
Oya sio mchezo mzee kuna mwamba uyo aliingia chaka akanya mafungugmfungu yy na mwenzie then wakaweka majani kama chumba alaf Kwny mlango ndo kinyesi wakalala ndani ila kuna private mnoko aliwashtukia[emoji1][emoji1] walipiga kitu kinaitwa Vasco da Gama
 
Erick pumbav sana yule jamaa asee daaag na kuna jamaa alikua anaitwa magera aseee op kikwete 2015 aliwasha moto danger coy
 
Erick pumbav sana yule jamaa asee daaag na kuna jamaa alikua anaitwa magera aseee op kikwete 2015 aliwasha moto danger coy
Magera na mwenziw Sais OP yetu JK walihenyeshwa sababu kuna katoto ka brigedia walikuwa wanakazingua aisee si ndo simu ikapigwaa toka juu mbona kiliwakaa palee...!! Ilikuwa jau sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…