bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,072
- 186
Weeee acha kabisa, hapa kwenye ukuruti na uservice kiasi kuna mazoezi, walahi ukimpa raia kama wewe lazma uchizike.....
mchakamchaka dairly hadi mara 6 kwa siku, kuna route match upto 80 KM roughly
Nimekuwa jeshini sijaona hiki ulichoandika!!
"Ahsante mheshimiwa.vipi kuhusu target ya kuingia jwtz au intelligence inakuaje hasa ili kukamata hizo nafasi?na kama una professional ya IT and Network Engineering uhakika upo wa kupangiwa hiyo au ndio unaweza kutupwa kitengo kingine?"vipi kuhusu hili wadau?
Huwa kambini watu wanaenda miezi gani? Magonjwa gani wanapima? Cc. Activister
Kama kungekuwa na uwezekano wa kukubondea like zaidi ya moja, ningekupa thumb up mara buku...
Kama us wanatoa mpaka video za recruit wa jeshi (sio national service), tena kupitia u tube, kunaubaya gani sasa wa kusema kuwa kule jkt wananyoa mapara, wanalima, wanafanya phys training, wanaenda mchakamchaka na route match, wanaimba, jinsi ya kuingia nk nk.......
Ndo maana nakupenda jamii forum, where we dare to speak openly....
inategemea na uhitaji wa jeshi na profession yako ! kama we ni baharia faster tu unaenda JW hata kama una miaka thelathini.
kuna profession zinahitajika jeshini,swala la umri wanalipotezea. mimi personally nimepiga depo na watu wazima na wengi wao wameenda JW
Unatoa hadi mshahara hadharani kweli wewe nanga japo inaonesha hujui kitu lakini si vema kutoa info kama mishahara hizo ni confidential matters/ unataka kujifanya umefika mpk TMA lkn yaonesha ulibebwa mbeleko ya chuma kama hujui vyeo, umeulizwa mkasi na .... umechemka. Hakuna mwanajeshi nanga kiasi hicho lkn pia jua nini kinaweza kuelezwa hadharani na kipi ni classified (tambua daraja la usiri) ndio maana kuna wasemaji wanajua what to say in publicYani kuhusu hilo we usihofu, wanachukuliwa watu wenye fani za kubeba mafile sembuse wewe....
uhasibu una mashiko sana tu tena na diploma yako, ukifaulu coz ya TMA unakula chuma 1 (2nd lutenant) na take home is 1. 1 roughly japo kuna virupurupu, posho nk....
usaili hauchukui muda mrefu sana nadhati hata wiki ni ndefu, sina uhakika sana coz mimi sikupitia huku
Mafunzo ya askari wa ngazi ipi?
Kama ni jkt washaanza kufanya usaili
ngazi ya degree mkuu.. naomba kufahamu juu ya hao!
Cadets wanatoka jkt
In short ili uajiliwe jeshini lazima upitie jkt
Baada ya miezi sita jkt unaenda miez 4 JW kozi ya TS
Baada ya hiyo miezi minne ndo unakuwa eligible for army officer training
ahsante mkuu kwa maelezo mazuri!
naomba kufahamu kwa wale ambao wanaenda uhamiaji, process zao zikoje?
na pia naomba kujuzwa katika idara ya uhamiaji wanachukua watu wa sifa gani?
ahsante!