Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Dah noma sana watoto wa mpuku
 
Tupo mkuu ila mie op kikwete
 
Ukijongo andaa nguvu sasa nyie nguvu hamna halafu mnadoji

Lazima mnuke mavi tu
[emoji23] [emoji23] ....
Hili songi "....sauti ya afandeee, inanichunguliaaa,hata kama nikidojiiiiiii inanichunguliaaa...."

Ukijongo usikae angani, kaaa around na eneo la CoY...ikiwezekana unafanya uchunguzi kama wiki hivi, bt usi doji daily, doji siku unayoona leo nisipo lala nitadata.
 
nakumbuka wimbo wa ---Tutawakumbuka makamanda wetu waliokufa kwenye mapambano...
Bhana huuu wimbo, una nkumbusha tulikuwa tume doji chimbo moja hivi.

Mara nyingi sio mbali na eneo la kazi ili movement za kurudi zikianza tusikie na kuanza ku move.

Sasa kuna muda mchiz wangu niliyekuwa naye , alikuwa kamwaga mate tu, huku anaota mindoto yake.

Ile ndoto ilimpelekea katika tukio kuwa tulidakwa na afande mmoja mnaaa kichizi, katupiga tifu jamaa aka kata ringi, hasa watu wakaenda kutoa heshima za mwisho.
Hii ndoto , ukijumuisha na hiii nyimbo anayo isikia kwa mbali, ili mfanya jamaaa aanze kupiga kelele acha tu....
 
Hatari bravo coy mkipangwa shamba na wame mmeumia nawakumbuka kina mgeta kina agustino na yule ahadhi mnoko kishenzi[emoji2] [emoji2]
 
2001 operesheni Mkapa ruvu Jkt,A-coy mpo??bila kumsahau Afande salamba,kifaru ,kimpingu,mwambingu,na wengineo leo nimekumbuka mbali mno
 
Maisha safari ndefu sana Op mkapa A-coy tulikuwa na kuruta mwenzetu alikuwa alikiw anaitwa Henry paul kinemelo,Now ni major kuna siku nilimuona Ubungo,huyu jamaa sasa nakumbu wakati tunaanza kuingia kambini ruvu tukitokea mikoani,sisi wa kutoka mkoa wa Dar es sallam tuliwa ruvu pale sasa kama ujuavyo wadareslam tuna kawaida ya kujifanya sisi ndo wajuaji wa kila kitu,wakaja jamaa wa kutoka Rukwa bwana ,sisi tumetangulia tunajifanya tunajua mambo yote,wakati wa kukesha usiku huyo jamaa niliymtaja hapo juu akajifanya ni afande achamkua mmoja wapo wa wageni kutoka rukwa akampeleka kwenye giza akaanza kumpa doso la nguvu,la haula kumbe kuna afande intelegence oficcer kavaa kama kuruta kachanganyika na sisi,sisi tunajua ni mwenzetu kumbe kila kitu kinachofanyika kati yetu kinafika headquoter kwa wakati,sasa likaitishwa paredi la utambuzi ili yule jamaa aliyepewa doso amtambue alimuazibu,bwana weee Hendry akatambuliwa moja kwa moja akatermshwa main guar selo moja kwa moja adhabu ikaanza kesho yake,iyo kesho yake mi wakati wa chai mkiwa mmekusanyika wote ,iyo kazi aliyopewa Hendry ili iwe fundisho kwa wengine walahii akuna aliyeweza hata kunywa chai kwa asubuhi hiyo ,alafu mbaya zaid iyo adhabu inakwenda kwa siku tatu mfululizo,JKT ya op Mkapa inabaki kuwa ya pekee daima.
 
Ni kweli tulikuwa tunajifunza ukakamavu na mbinu nyingine za kukuwezesha kuishi. Ukifika wakati wa kwenda "usawa wa gudulia" hapo ndo palikuwa na tatizo. Utakuta afande "anatoa ruti" na anasema atakamata watatu wa mwanzo, kwahiyo wengine mnaendelea kukimbia huku njaa unauma! Operation NIDHAMU
 
Wewe tulikuwa operation moja (NIDHAMU) tulianzia kambi tofauti lakini tukawa wote Maramba kwa major Urio kama sijakosea. Maramba uraiani tulikuwa tunatafuna nazi kama vile hatukuwa na akili nzuri!
 
Hatari bravo coy mkipangwa shamba na wame mmeumia nawakumbuka kina mgeta kina agustino na yule ahadhi mnoko kishenzi[emoji2] [emoji2]
Nishakusoma, ww si ulikuwa ST ? mimi yule Doja ambaye siku ile tunagaiwa kombani nikairuka ile aliyonirushia ahadhi....mkala doso mlipo mzomea hahahaaha raha sana jkt...
 
Wewe tulikuwa operation moja (NIDHAMU) tulianzia kambi tofauti lakini tukawa wote Maramba kwa major Urio kama sijakosea. Maramba uraiani tulikuwa tunatafuna nazi kama vile hatukuwa na akili nzuri!
Duuuh.. shikamoo kaka hiyo 1987 ndio nimezaliwa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…