Maisha safari ndefu sana Op mkapa A-coy tulikuwa na kuruta mwenzetu alikuwa alikiw anaitwa Henry paul kinemelo,Now ni major kuna siku nilimuona Ubungo,huyu jamaa sasa nakumbu wakati tunaanza kuingia kambini ruvu tukitokea mikoani,sisi wa kutoka mkoa wa Dar es sallam tuliwa ruvu pale sasa kama ujuavyo wadareslam tuna kawaida ya kujifanya sisi ndo wajuaji wa kila kitu,wakaja jamaa wa kutoka Rukwa bwana ,sisi tumetangulia tunajifanya tunajua mambo yote,wakati wa kukesha usiku huyo jamaa niliymtaja hapo juu akajifanya ni afande achamkua mmoja wapo wa wageni kutoka rukwa akampeleka kwenye giza akaanza kumpa doso la nguvu,la haula kumbe kuna afande intelegence oficcer kavaa kama kuruta kachanganyika na sisi,sisi tunajua ni mwenzetu kumbe kila kitu kinachofanyika kati yetu kinafika headquoter kwa wakati,sasa likaitishwa paredi la utambuzi ili yule jamaa aliyepewa doso amtambue alimuazibu,bwana weee Hendry akatambuliwa moja kwa moja akatermshwa main guar selo moja kwa moja adhabu ikaanza kesho yake,iyo kesho yake mi wakati wa chai mkiwa mmekusanyika wote ,iyo kazi aliyopewa Hendry ili iwe fundisho kwa wengine walahii akuna aliyeweza hata kunywa chai kwa asubuhi hiyo ,alafu mbaya zaid iyo adhabu inakwenda kwa siku tatu mfululizo,JKT ya op Mkapa inabaki kuwa ya pekee daima.