Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Mashamba dunia!![emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikumbusha mbal sana!!
 
Danger coy 835kj Mgambo OP siri yangu [emoji23][emoji23][emoji23] mpoo
 
duuuh mmenikumbusha pale ruvu nilipojifanya fundi wa tv baadaye afande akanikuta ndani kwake na mgegeda mwanae kilichotokea nakijua mwenyewe lkn nashukuru nipo hai had I sasa
 
Ruvu JKT tulikuwa tunatoroka thru Vimbwende. Nikamalizia Mlale. Nilikatwa bogi. Shamba lilikuwa linaitwa Dunia. Magu rudisha hawa vijana kabla ya kuanza waanze JKT,adabu ilikuwa inapendeza
 
Basi na wewe utakuwa mdogo wangu mama 70 hajazaliwa.

Ila humu kuna watu wazima aiseeh heshima inatakiwa.

Mtu 70 yupo form six hapungui 68 min.
Inabidi wawe wanatusimulia na hadithi kabisa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
nimecheka sana mkuu, hasa hapo kupiga filimbi na kuruka kichura
 
Nakumbuka nilikuwa Ruvu. Coy B. Nilipata kitengo cha kufuga kuku phase 2. Asubuhi lazima ubugie mayai mabichi km matatu hivi. Ukipata nafasi siku unachoma takataka unaficha mayai kwenye moto. Moto ukiisha linatokea yai km limechemshwa. Kuruta mwenzangu alikuwa A-Coy. Alikuwa anatuibia sana kuni zetu B-Coy. 93 to 94. Sasa hivi ni Dr. Dr Kipingu upo? Nasikia upo Dar
 
Hii thread bado tu ipo hai hadi leo tokea Mwaka 2008? πŸ˜‰πŸ˜‰
Amka na badilika. Hivi ndiyo wewe ulianzishaga hii thread? Kipindi hicho nilikuwa bado sijakufahamu. Mzee uko safi sana, naona vitu vyako kwenye Jassons TV, pamoja na kwenye Tamthilia. TV inaonekana imetulia sana pamoja na Tamthilia pia. Hongera sana mzee
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Em kama kuna watu humu waliopitia JKT kuanzia op Miaka 50 ya uhuru/ya JKT op sensa na uzalendo.
Naomba mje tupige swaga kidogo kama atakuwepo aliepita 821 itapendeza zaidi.
Mimi ni op Uzalendo.
Karibuni.
 
Mimi nimepita 821 KJ kwenye OP Miaka Hamsini ya JKT.Nilikua kombania F chini ya sargeant major Abednego na O.C wetu alikua Lt Ntwa (RIP) baade Lt. Sheng'oma Wakati huo C.O alikua Major Mrosso ambae alistaafu mwaka uliofuata.

Namkumbuka private mwenye visa na vituko sana anaaitwa John a.k.a Wezele Wezele ,namkumbuka matron Manento ,namkumbuka Lt. Minzi na Mwakibinga na private mnaa wa kwata kikosi kizima anaitwa Tarimo

Moments za bustani,shamba la mahindi na mkesha pale uwanja wa damu.Mbio za cross country na mazoezi ya pori na kupiga risasi bandia kule kwenye vijiji vya raia

Kikubwa kuliko vyote nakumbuka chenja aisee

Namkumbuka afande RSM Mundeba E.B[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana mikwara ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…