Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Em kama kuna watu humu waliopitia JKT kuanzia op Miaka 50 ya uhuru/ya JKT op sensa na uzalendo.
Naomba mje tupige swaga kidogo kama atakuwepo aliepita 821 itapendeza zaidi.
Mimi ni op Uzalendo.
Karibuni.
Mike umenikumbusha kitambo sanaa, kurutu ni mdudu, nimemtafta sana malela, mguu mbele mguu nyuma, ubata ubata, kuroli, kuna Afande alikua anaanza kujipiga nua kama ndoo 5 ivi, inamaanisha kinachofata ni nua mwanzo mwinga, Afande Meja mtoto hatari sana, tobo tobo kawaida asubuhi ileeee! Ni kula doso na kufanya kazi za watu, Usawa wa kulia,Over.
 
Baba wewe tulikuwa intake moja.Mimi nilikuwa Denjalo na akina afande Veno, Nyingo, Mshanga, Gwamaka, Erasto n.k kwa CO Major Mpuku ! ILIKUWA NI MOTO.Saiv nahtaj kurudiko mazima lkn usawa ni tight vbay Kamanda.
 
Mwakibinga nmekutana nae mwaka jana milambo tabora amekua captain
 
Matiko n hatari Mimi nilikua C-Coy kwa afande chavala na R.P mshanga huyu alikua anakupiga doso hadi uhisi upo course ya ukomando
 
Baba wewe tulikuwa intake moja.Mimi nilikuwa Denjalo na akina afande Veno, Nyingo, Mshanga, Gwamaka, Erasto n.k kwa CO Major Mpuku ! ILIKUWA NI MOTO.Saiv nahtaj kurudiko mazima lkn usawa ni tight vbay Kamanda.
Mimi nilikua o.p miaka 50 ya muungano mshanga alihamishiwa C coy n hatari huyo kamanda cku tumedoj kombania na wana akaja saa 6 kutuamsha alitupiga doso had saa 9 afu baada ya hapo bustani
 
Mimi nilikua o.p miaka 50 ya muungano mshanga alihamishiwa C coy n hatari huyo kamanda cku tumedoj kombania na wana akaja saa 6 kutuamsha alitupiga doso had saa 9 afu baada ya hapo bustani
MSHANGA BHANA, ET KURUTUUUU... "NITAKUNYAKUAAAA ? WE TEATEA TUU " HAHAHAH YULE JESHI LIKO DAMUNI
 
835 Kj tupo pamoja Mgambo.

Route ya chai
Vipi unamkumbuka Private magera? Asee ilikuwa noma sana
Magera namkumbuka mkuu.Kama sikosei OP yetu alikuwa Danger au Eagle Coy ..

Kuna koplo alikuwa anaitwa MAYAI.Huyu jamaa ukikutana nae tu ujue umeisha(hata kama huna kosa).

Kuna kamanda mwingine anaitwa KABEYA na BABU WA LOLIONDO..
 
MSHANGA BHANA, ET KURUTUUUU... "NITAKUNYAKUAAAA ? WE TEATEA TUU " HAHAHAH YULE JESHI LIKO DAMUNI
Akija kuamsha mchaka mchaka au bustani utasikia anapita katikat ya hanga anasema "we lalaaaaa si ulikuja kulalaa" hapo ishatoka sa we usiamke
 
Akija kuamsha mchaka mchaka au bustani utasikia anapita katikat ya hanga anasema "we lalaaaaa si ulikuja kulalaa" hapo ishatoka sa we usiamke
Ahahah nna namba yake ya simu bhan, huwa nafurahia sana nikongea nae nikakumbuka madoido yake hahah
 
Niko michungwani naelekea bwawani hapa,
 
Danger coy ya mpemba
 
Magera namkumbuka mkuu.Kama sikosei OP yetu alikuwa Danger au Eagle Coy ..

Kuna koplo alikuwa anaitwa MAYAI.Huyu jamaa ukikutana nae tu ujue umeisha(hata kama huna kosa).

Kuna kamanda mwingine anaitwa KABEYA na BABU WA LOLIONDO..
Hakuna kamanda aliyekuwa anatisha kama babu wa loliondo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…