Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Wanangu wa rwamkoma sasa tujuane..
Captain hassan(saivi meja),kinana
Wanoko Kama jeneza, shebuge.
Mimi Op:Tz ya viwanda
 
Nilikuepo Ruvu Op flani hv kuna huyo afande anaitwa Kahonda So poa yaani akiwakuta shambani hata kama ni wawili kazi aliyoipanga lazima iishe,
Mpaka ikafika muda mkiona gari lake kwa mbali mnapita migazini hao kurudi kambini.Mwingine ni afande Mariwa mtu poa sana yaani ila hatakagi ujinga kwenye kazi,ukipiga kazi kwa kujituma unakula zako tano mapemaa
LONG LIVE 833 KJ💪
 
Najiulizaga ngurutu wenzangu walipata wapi nguvu za kupigana mitiii??? Yani zile six weeks zilinichosha mashine haikusimama miezi mitatuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
six week mi mwenyewe mtambo ulikuwa kimya,ila baada ya hapo sifa wepesi,kuna kaserengeti kamoja kakaleta urafiki urafiki,sikukalazia damu asee
 
832 KJ bhana duh ni atar...............doso la kufa mtu,bustani kwa sana, afande Best na mabio yake ya mchana yalikera sana, ila nilikuwa napenda kuwah sana kule officers mess ili nkachukue kijogooo....hizi lugha ni walopta huko tu ndo wanaelewa.
 
Duh wakuu, nyie ni wahenga kabsa........ nimechangia mambo current sana, nisubiri kama after 40 yrs hivi ndo nianzshe huu uzi pia.
 
 
Daah mm nilipigana na afande, nanika mpiga vibaya mno


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…