Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Huyu Mwakyobwe ni jamaa yangu sana.

Hapendi mtu aonewe
 
😂😂😂😂 Nimecheka balaa, ukageuka samaki bhana dah et unaibuka kidogo kuvuta pumzi afu unazama tena dah 😂😂😂🤣🤣🤣
 
Hahahahaha Wapi hiyo mwanangu!
 
Kenge wa Pakistan [emoji23][emoji23]daah umenikumbusha 822kj!!!
[emoji3][emoji3][emoji3] daàh nimemkumbuka kenge wa Pakistan 822kj doso lake ni kumbukumbu niliyobaki nayo,mkuu ulikua combania gani????
 
Yule sajenti alikuwa anatufundisha somo la darasani alikuwa anaitwa nani vile, namkubali sana yule mwamba
Itakuwa walikuja wengine, sisi tulipita mwanzo upande wa JKT baada ya hapo kuwa kituo Cha ulinzi(DET).

Tulikuwa tukijificha porini kwenye magofu ya makanisa ya warundi na hakuna hata mtu anayekuja kututafuta, kule ilikuwa ukiwa mzembe utafanya kazi mpaka ukome.

Ilikuwa una risk kujificha wiki ila ukikamatwa siku moja unakuwa tayari kwa drill nzito.
 
Kama ni 2015 utakuwa unamjua sema jina tu
 
[emoji3][emoji3][emoji3] daàh nimemkumbuka kenge wa Pakistan 822kj doso lake ni kumbukumbu niliyobaki nayo,mkuu ulikua combania gani????

A coy ya SM Bangu ..sema nilipita pale mujibu[emoji23][emoji23][emoji23]vip unamkumbuka Jeneza??!
 
Sisi wakati tunapita hapo mgambo machungwa yalikuwa mengi sana yaani tulikuwa tunayala kila siku na hayaishi kabisa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
DANGER COY nipo hapa we ulikuwa kujitolea ?
Muujibu,

Nilikuwa C COY, hapo danger namkumbuka yule afande mzee wa mikwara alikuwa akipita kwetu anatuambia lazima au kurutu wa5, pia hapo danger namkumbuka volunteer mmoja alikuwa anaitwa BENZEMA mzeee wa bebebeeeeeeee mnaitikia Benzemaaaaa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…