Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Yule afande NYUNDO mzee wa vitisho nasikia alifukuzwa jeshi
 
rikiboy wee lazima nitakuwa nakujua maana nilidoj Sana porini kule kwenye kisima na Hadi kule bwawani nilidoji, nilidoji Sana asubuhi kule nyuma ya D coy kuwasha Moto , asubuhi naamkia pale, nikadoji Kwemye Ngoma kwa afande Mbuge, tukawa tunaombia kule mesi.Kna demu alikuwa wa C coy anasauti nyororo alikuwa anatuimbisha,jina alikuwa Anita au happy .

Noma Sana .Yule demu aliyemfanya private apige goti kule uwanja wa damu mbovu Sana , libonge ila baba yake Maj general, hapo ndo mziki ulipoanzia.... Na yule anasimulia sisi pushapu unamkumbuka?
 
Mabichi [emoji16][emoji16]
Alikuwa anapenda chenja ile ya Helena dada helena
 

Sagaya:-Afande Sumu ya Mamba!
 
Bulombora 821 KJ
OP UCHUMI WA KATI

Mkuu wa kikosi Major general Victatus
OC BM Alphonce

Eagle coy (E Coy)

My favorite soldiers
-Private Mweta (huyu afande alikuwa mtata [emoji119][emoji119])
-Private Khamis
-Private Mwamvua
-Private Tarimo (michezo ya nyani fisi haiwezi [emoji16][emoji16])
-Koplo Kadulege (hapa ni mahali pa takatifu hairuhusiwi kupiga kelele)
-Koplo Ambari ( uwanja wa damu, kwata)
-Sir Major Mushi
 
Kanembwa pale kwa mzee mbiji,, Afande kibutu,,Teddi mtu m-bad kabsa serengeti wanachura sema mda wa kusimamisha jogoo ndo aupo[emoji34]
 
Kwani wote walikwenda JKT na kwanini JKT na siyo shule au mambo mengine ya maana?
 
Majirani zetu nyie, sisi tulikua Eagle coy
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kule kisimani noma sana mzee... pale danger tumewasha moto kinoama kipindi kile unaona kombania yako inakula kazii wewe umetulia tu dadekii... tulibeba kigodoro tukapeleka kule juu kwenye mashamba ambayo kuna Vifutu kule tukawa tunatumia na kasimu flani kuchat... yule manzi alituponza sana

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya jandoni kuyaweka kijiweni ni noumaa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…