rikiboy wee lazima nitakuwa nakujua maana nilidoj Sana porini kule kwenye kisima na Hadi kule bwawani nilidoji, nilidoji Sana asubuhi kule nyuma ya D coy kuwasha Moto , asubuhi naamkia pale, nikadoji Kwemye Ngoma kwa afande Mbuge, tukawa tunaombia kule mesi.Kna demu alikuwa wa C coy anasauti nyororo alikuwa anatuimbisha,jina alikuwa Anita au happy .
Noma Sana .Yule demu aliyemfanya private apige goti kule uwanja wa damu mbovu Sana , libonge ila baba yake Maj general, hapo ndo mziki ulipoanzia.... Na yule anasimulia sisi pushapu unamkumbuka?